889. ONINYELA NGOKO MHANGA.

Ulusumo lunulo, lulolile bhunyi bho ngoko mhanga. Ingoko ulu ili mu makono ga ng’wa munhu igagabhipyaga bho gunyela kunguno ya guhadikija kupela. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayombaga giki, “oninyela ngoko mhanga.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayigaluchaga imihayo iyo agahoyaga na bhiye bho guyomba mihayo ya bhulomolomo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agahoyaga kihamo na bhiye chiza. Aliyo lulu, ulu ulekana duhu na bhiye bhenabho, agayomgaga mihayo ya bhulomolomo uko alibhitila, bho guyigalucha iyo bhaluhoyaga na bhiye. Uweyi agalisanyaga bhanhu kunguno ya guyomba mihayo ya bhulomolomo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ngoko iyo iganyela undimiji oyo, kunguno nu weyi agayigaluchaga imihayo ya bhiye bho guyomba bhulomolomo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “oninyela ngoko mhanga.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ya guyomba mihayo ya bhulomolomo, umukikalile kakwe, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3: 1 – 5.

Waefeso 5: 6 – 9.

Kutoka 20: 16.

Matendo ya mitume 8: 8 – 14.

Yohane 8: 44.

KISWAHILI: UMENINYEA KUKU MZIMA.

Methali hiyo huangalia kunya kwa mzima. Kuku akiwa kwenye mikono ya mtu fulani huichafua kwa kumnyea kwa sababu ya kutaka kukimbia. Ndiyo maana mtu huyo husema, “umeninyea kuku mzima.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyageuza maneno aliyoongea na wenzake, kwa kusema uongo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anaongea pamoja na wenzake vizuri. Lakini, akiachana tu na wenzake hao, husema maneno ya uongo anakopitia kwa kuyageuza yale waliokuwa wakiongea na wenzake hao. Yeye huwagombanisha watu kwa sababu ya kusema uongo wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule kuku aliyemnyea mshiliaji wake, kwa sababu naye huyageuza maneno ya wenzake kwa kusema uongo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “umeninyea kuku mzima.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kusema maneno ya uongo katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mwanzo 3: 1 – 5.

Waefeso 5: 6 – 9.

Kutoka 20: 16.

Matendo ya mitume 8: 8 – 14.

Yohane 8: 44.

woman---1

women---

chicken--

ENGLISH: YOU HAVE DEFECATED ME A LIVING CHICK.

This proverb looks at a defecation of a hen. A chicken in someone’s arms pollutes when one was scratching it because it wants to run away. That is why he says, “you have defecated me a living chick.”

This proverb is equated to a man who distorts words which he speaks with his associates, by lying, in his life. He communicates well with his colleagues. But, as soon as he leaves his companions, he speaks the false words on the way by twisting what they were speaking with his contemporaries. He confuses people because he tells them lie, in his life.

This man is like the hen that defecated on the hands of the one who held it, because he also distorts words of his fellows by lying, in his life. That is why people say to him that, “you have defecated me a living chick.”

This proverb teaches people about giving up habits of lying in their lives, so that they can live in peace with each other, in their lives.

Genesis 3: 1-5.

Ephesians 5: 6-9.

Exodus 20:16.

Acts 8: 8-14.

John 8:44.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.