885. LYENILO LYASEDECHIWA JILAB’U.

Olihoyi nkima umo uyo wikalaga agung’waga walwa mpaka olewa. Unkima ng’wunuyo, oilekanijaga ikaya ogikala mumajib’u agung’waga walwa duhu. Uweyi agayung’wa uwalwa bhonebha mpaga oduma nulu ugutumama imilimo yakwe. Hunagwene abhanhu bhagayiwila giki, “lyenilo lyasedechiwa jilab’u.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumamilaga sagala ijikola jakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agapandikaga jikolo, nulu hela, oilekanija ikaya yakwe bho gujujikenagula ihela jinijo mumito ga sagala. Uweyi agajimalaga ihela jakwe bho nduhu uguyambilija ikaya yakwe yiniyo, naoshoka lulu ikaya, kunguno ya bhubhipya bho masala gakwe, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nkima uyo agailekanija ikaya yakwe ugikala mumajilab’u, kunguno nuweyi agailekanijaga ikaya yakwe bho gujikenagula sagala isabho jakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagiwilaga giki, “lyenilo lyasedechiwa jilab’u.”

Akahayile kenako, kalanga bhabhu higulya ya kuleka nhungwa ja gujikenagula sagala isabho jabho, kugiki bhadule kujitumila bho gujilang’hanila chiza, ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:27-28.

Mathayo 15:19-20.

Habakuki 2:9-16.

Nahumu 3:4-7.

IWakorintho 5:1-13.

1Wakorintho 6:18.

KISWAHILI: HILO LIMECHOSHWA NA KILABU.

Alikuwepo mwanamke mmoja aliyekuwa mlevi wa kunywa sana pombe. Mwanamke huyo, aliitelekeza familia yake kwa kwenda kuishi kwenye vilabu. Yeye alikuwa akinywa pombe na kulewa mpaka kufikia hatua ya kushindwa hata kufanya kazi zake. Ndiyo maana watu waliambiana kwamba, “hilo limechoshwa na kilabu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitumia hovyo mali zake, katika maisha yake. Mtu huyo, hupata hela au mali na kuitelekeza familia yake kwa kuzitumia mali zake hizo kwenye mambo yasiyo na maana. Yeye huimaliza pesa yake bila kuisaidia familia yake kwa sababu ya kuziharibu akili zake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mwanamke yule aliyeitelekeza familia yake kwa kukimbilia kuishi kwenye vilabu vya pombe, huitelekeza familia yake kwa kutumia pesa zake kwenye mambo yasiyo faa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu huambiana kwamba, “hilo limechoshwa na kilabu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuziharibu hovyo mali zao, ili waweze kuzitumia kwa kuzilinda vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 5:27-28.

Mathayo 15:19-20.

Habakuki 2:9-16.

Nahumu 3:4-7.

IWakorintho 5:1-13.

1Wakorintho 6:18.

alcohol-1

ethiopia--1

drink-2

ENGLISH: THAT ONE HAS BEEN EXHAUSTED BY ALCOHOLIC CENTER.

There was a woman who was an alcoholic drinker. She abandoned her family by going to live in clubs which sold alcohol. She was drinking enough to get drunk to the point of not being able to even do her jobs at home. That is why people said to one another, “that one has been exhausted by alcoholic center.”

This saying is related to a man who squanders his possessions in useless things. He earns money or property and abandons his family by spending his resources on trivial matters. He spends his money without helping his family because of damaging his mind in his life.

This man resembles to the woman who abandoned her family by rushing to live in a liquor club, because he also abandons his family by spending his money on trivial things, in his life. That is why people say to one another, “that one has been exhausted by alcoholic center.”

This saying teaches people on how to stop a habit of wasting their resources uselessly, so that they can use it for protecting and developing their families in their lives.

Matthew 5: 27-28.

Matthew 15: 19-20.

Habakkuk 2: 9-16.

Nahum 3: 4-7.

Corinthians 5: 1-13.

1 Corinthians 6:18.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.