Ulusumo lunulo, luhoyelile higulya ya ng’wi o walwa. Ung’wi o walwa ng’wunuyo, agalelengetaka na gugwa sagala umubhusiminzi b’okwe, kunguno agamalaga inguzu ja gwimila na gutumama milimo yakwe. Uweyi agagayiyagwa ubhudula bho gubhambilija abhanhu bhakwe, kunguno ya bhung’wi bhokwe wa walwa bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagiwilaga giki, “udizung’wisanya uyang’wile walwa nang’ho jaga na milimo yako.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayombaga mihayo ya sagala sagala, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayombaga mihayo bho nduhu uguiganika chiza, kunguno agamanaga uyigalucha bhuli makanza, kuti giki adayiyombile weyi ng’winikili. Uweyi agadumaga ugub’eja ikaya kunguno ya gugayiwa imihayo iyawiza, umumiganiko gakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wi o walwa uyo agagayiwa ubhudula bho gubhambilija abhanhu bhakwe, kunguno nu weyi agagayiyagwa amiganiko ga guyibheja chiza ikaya yakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagiwilaga giki, “udizung’wisanya uyang’wile walwa nang’ho jaga na milimo yako.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka bhukolwa bho walwa umukikalile kabho, kugiki bhadule gwiganika mihayo ya gubhambilija ugujib’eja chiza ikaya jabho.
1Wakorintho 11:17-26.
KISWAHILI: USIMTEGEMEE ALIYEKUNYWA POMBE WEWE NAWE NENDA NA SHUGHULI ZAKO.
Methali hiyo, huongelea juu ya ulevi wa pombe. Mlevi huyo wa pombe hutembea kwa kupepesuka na kuanguka hovyo katika kutembea kwake, kwa sababu ya kukosa nguvu za kumwezesha kusimama na kufanya kazi zake. Yeye hukosa uwezo wa kuwasaidia watu wake kwa sababu ya ulevi wake huo. Ndiyo maana watu huambiana kwamba, “usimtegemee aliyekunywa pombe wewe nawe endelea na shughuli zako.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huongea maneno ya hovyo hovyo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anaongea maneno bila kuyafikiria vizuri sababu huwa anayageuza kila wakati kana kwamba hakuyasema mwenyewe. Yeye hushindwa kuindeleza vizuri familia yake kwa sababu ya kukosa maneno mema katika mawazo yake.
Mtu huyo, hufanana na yule mlevi wa pombe aliyekosa uwezo wa kuwasaidia watu wake, kwa sababu naye hukosa mawazo mema ya kuiendeleza familia yake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu huaambiana kwamba, “usimtegemee aliyekunywa pombe wewe nawe endelea na shughuli zako.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha ulevi wa pombe katika maisha yao, ili waweze kuwaza mema ya kuwasaidia kuziendeleza vizuri, familia zao.
1Wakorintho 11:17-26.
ENGLISH: DO NOT DEPEND ON DRUNKARD YOU JUST GO ON WITH YOUR WORKS.
This proverb speaks of alcoholism. The alcoholic person walks with difficulty and falls unconscious in his walk, due to a lack of strength to stand up and perform his duties. He lacks an ability to help his people because of his drunkenness. That is why people say to one another that “do not depend on a drunkard you just go on with your works.”
This proverb is compared to a person who speaks carelessly in his life. This person speaks words without thinking well because he always twists them as if he did not say them. He fails to provide his family with basic needs because of a lack of good words in his mind.
This person is like the alcoholic person who was unable to help his people, because he also lacks good ideas for supporting his family. That is why people say to one another that “do not depend on a drunkard you just go on with your works.”
This proverb instills in people an idea of giving up alcoholic addiction in their lives, so that they can think of good ideas which are necessary for developing their families.
1 Corinthians 11: 17-26.