Akahayile kenako, kahoyelile higulya ya nzagamba na ng’hinda jayo. Inzagamba ili ng’ombe ng’osha iyo igalyaga maswa madoto iguta mpaga yabhiza na ng’hinda ja gubhakoya abhiye. Inzagamba yiniyo, igandyaga guyubatula sagala abhichayo, kunguno ya ng’hinda jayo jinijo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “iyagamba ligatulaga ng’hinda.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhadalahaga abhiye ulu wigutaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalyaga wiguta wandya kubhadalaga abhanhu b’akwe kunguno ya bhusab’i ubho bhugang’winhaga ng’hinda. Uweyi agadumaga ugwikala chiza na bhiye kunguno ya libhengwe lyakwe ilo abhizaga nalyo ulu osabhaga, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzagamba iyo igapandika ng’hinda aho yalya maswa madoto yiguta, kunguno nuweyi agabhadalahaga abhiye ulu osabhaga jikolo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “iyagamba ligatulaga ng’hinda.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka ng’hinda ulu bhasabhaga, umukikalile kabho, kugiki bhadule gubhiza na widohya bho gubhambilija gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.
Mathayo 11:28-30.
Mathayo 20:26-28.
Zaburi 13:1-3.
KISWAHILI: FAHALI HUWA NA KIBURI.
Msemo huo, huongelea juu ya Fahali na kiburi chake. Fahali ni dume la ng’ombe ambaye hula majani mabichi akashiba mpaga akawa na kiburi cha kuwasumbua wenzake. Fahali huyo, huanza kuwapiga hovyo wenzake kwa sababu ya kiburi chake hicho. Ndiyo maana watu husema kwamba, “Fahali huwa na kiburi.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwadharau wenzake anapokula na kushiba, katika maisha yake. Mtu huyo, akila na kushiba huanza kuwadharau watu wake kwa sababu ya utajiri wake huo unaomletea kiburi. Yeye hushindwa kuishi vizuri na wenzake, kwa sababu ya dharau anayokuwa nayo atajilikapo, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na Fahali aliyepata kiburi baada ya kula majani mabichi akashiba, kwa sababu naye huwadharau wenzake anapotajirika, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “Fahali huwa na kiburi.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na kiburi wanapotajirika, katika maisha yao, ili waweze kuwa na unyenyekevu wa kuwawezesha kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.
Mathayo 11:28-30.
Mathayo 20:26-28.
Zaburi 13:1-3.
ENGLISH: THE BULL HAS PRIDE.
This saying speaks of the bull and its pride. The bull is male cattle that eats green grass to the point of being proud enough to bother his fellows after his stomach being full. He begins to beat his fellow bulls because of his arrogance. That is why people say, “the Bull has are pride.”
This saying is compared to a man who despises his fellows when he becomes successfully in life. He eats food to the point of being satisfied enough to despise his people because of his wealth which makes him proud. He fails to get along with his fellows, because of his contempt to others, in his life.
This man is like the bull that got proud after eating green grass and was full, because he also despises his fellows when he gets rich, in his life. That is why people say to him, “the bull has pride.”
This saying teaches people about giving up pride when they get rich, in their lives, so that they can have humility for living well with their societal members, in their lives.
Matthew 11: 28-30.
Matthew 20: 26-28.
Psalm 13: 1-3.