875. NG’WENUYO OGAYUGULA MAKUNGU.

Akahayile kenako, kaholelile higulya ya bhuyuguji bho makungu ubho bhuli bhuyeji bho gusiminzila mabala mingi. Olihoyi nhimi uyo ojaga ubhayelela pye abhatumami bhakwe bho gusiminza. Unimi ng’wunuyo, oponaga majiliwa mingi ayo gagang’wenheleja gukumuka mpaka kumachalo gangi ayo oli adina shika koyi, kunguno ya nume gokwe uyo bhikalaga bhaliguyomba abho bhapandikaga jiliwa ja kufumila kuli weyi, nabho abhamhona. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ng’wenuyo ogayugula makungu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ntongeji obhanhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhayelelaga abhanhu bhakwe bho bhulingisilo ubho bhugenhaga solobho ukubhanhu bhakwe bhenabho. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhake injila ja kupandika solobho nu bhusiminzi bhobho, kunguno adayelaga dalali, umubhutumani bhokwe.

Umunhu ng’wunyo, agikolaga nu nimi unkumuku ukubhanhu bhakwe uyo agapandika majiliwa mingi, kunguno nuweyi agabhatongelaga abhanhu bhakwe bho guyela na bhulingisilo bho gupandika solobho ukuwikaji bhobho, kikila guyunga dalali duhu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wenuyo ogayugula makungu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhulingisilo bho gupandika solobho ya kubheja wikaji bho bhanhu chiza umubhuyeji bhobho, na guleka gulela dalali duhu, kugiki bhadule kupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.

Marko 6: 1 -13.

Luka 4: 42 – 44.

Luka 4: 14 – 15.

 

KISWAHILI: HUYO AMETEMBELEA MAENEO MENGI.

Msemo huo, huongelea juu ya utembeleaji wa maeneo mengi yaliyoko kwenye tawala fulani. Alikuwepo mkulima aliyekuwa akiwatembelea watu wake wote kwa miguu. Mkulima huyo, alifanikiwa kupata mazao mengi yakiwemo yale ya chakula, ambayo yalimwezesha kusifika mpaka kwenye tawala za maeneo mengine, kule ambako hakuwahi kufika, kwa sababu ya kueleweka kwake kulikofikisha na watu waliopata chakula kutoka kakwe, na wengine waliopata nafasi ya kumuona. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “huyo ametembelea maeneo mengi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni kiongozi wa watu katika maisha yake. Mtu huyo, huwatembelea watu wake kwa malengo maalumu, ya kuleta faida katika maendeleo yao. Yeye huwafundisha watu wake njia mbalimbali za kupata faida za kuendelea kuwambelea kwa malengo yenye manufaa kwao, kwa sababu huwa hatembei bila la lengo lenye kuleta maendeleo kwa wananchi wake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mkulimwa aliyepata mazao yalimuwezesha kusifika kwa watu wengi, kwa sababu naye huwaongoza watu wake kupitia maisha yake namna ya kupanga safari zenye malengo ya kuwaendeleza watu wake, badala ya kutembea bure tu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyo ametembelea maeneo mengi.”

Msemo huyo, hufundisha watu juu kupanga safari zenye kuleta manufaa ya kuwaendeleza watu wao, badala ya kusafiri bila faida yoyote, ili waweze kupata maendeleo makubwa, maishani mwao.

Marko 6: 1 -13.

Luka 4: 42 – 44.

Luka 4: 14 – 15.

woman----

 

 

south-africa-1

 

dance-1

ENGLISH: THAT ONE HAS VISITED MANY PLACES.

The above saying refers to the visit of someone to many places which were located in certain administrations. There was a farmer who visited all his people on foot. Such farmer managed to get a lot of produce, including food, which enabled him to be famous to other places, where he had never been there, because of his being understood by the people who received food from him. Others had the opportunity to see him. That is why people said, “that one has visited many places.”

This saying is compared to the person who is the leader of the people in his life. He visits his people for specific purposes, enough to bring benefits to their development. He teaches his people various ways for gaining welfares of continuing to pursue them with goals that are beneficial to them.  He does not walk without a goal that brings development to his people, in his life.

This man resembles the farmer who got produce that made him famous, because he also guides his people through his life on how to plan trips which aim at developing his people, instead of just walking aimlessly, in his life. That is why people say to him, “that one has visited many places.”

This saying teaches people on how to plan successful trips for the betterment of their people, rather than traveling without any benefit, so that they can make great progress in their lives.

Mark 6: 1-13.

Luke 4: 42-44.

Luke 4: 14-15.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.