sayings

1237. GWIDIKULA.

Kwidikula ili gupimila ugweshema. Alihoyi nigini uyo wikalaga muchalo jilebhe. Unigini ng’wunuyo, agalila bho likanza lilihu gete mpaga nose uyupimila kunguno ya gugayiwa imimyuyi ya gweshemela. Hunagwene abhanhu abho bhagamona bhayomba giki, wandya “gwidikula.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhadililaga chiza abhanigini, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalekaga abhana bhaluha mpaga bho gulela likanza lilihu ilya gudula gubhapimija, kunguno ya gubhalekanija sagala abhana bhenabho, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalekaga abhana bhaluka mpaga bhakonda aha kaya yakwe bho nduhu ugubhadilila kunguno ya bhulekanija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Abhana bhenabho bhagikolaga nuyo agalila mpaga upimila, kunguno nabhoyi bhagalenijiyagwa bhaluha mpaga bhakonda bho nduhu ugwambilijiwa, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhabhonaga bhayomba giki, bhandyaga “gwidikula.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhalela chiza abhana bhabho bho gubhadilila chiza, kugiki bhadule gukula chiza, umuwikaji bhobho.

Kumbukumbu la Torati 22:27.

Kutoka 2:6.

KISWAHILI: KUHEMA KWA SHIDA.

Kuhema kwa shida ni kukosa pumzi ya kupumulia. Alikuwepo mtoto aliyekuwa akiishi katika kijiji fulani. Mtoto huyo, aliachwa na wazazi wake akalia mpaka akaanza kuhema kwa shida kwa kasabu ya kukosa pumzi. Ndiyo maana watu waliomuona walisema kwamba, ameanza “kuhema kwa shida.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hawajali vizuri watoto katika maisha yake. Mtu huyo, huwaacha watoto wakateseka mpaka wanalia kwa muda mrefu wa kuweza kuwakosesha pumzi, kwa sababu ya kuwatelekeza hivyo, maishani mwake. Yeye huwaacha watoto wakiteseka hovyo mpaka wanakonda kwenye familia yake, kwa sababu ya kutowajali hivyo, maishani mwake.

Watoto hao, hufanana na yule mtoto aliyelia mpaka akakosa pumzi, kwa sababu nao hutelekezwa katika hali ya kuteseka mpaka wanakonda bila ya kusaidiwa, maishani mwao. Ndiyo maana watu wawaonao husema kwamba, wameanza “kuhema kwa shida.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwalea vyema watoto wao kwa kuwajali vizuri, ili waweze kukua vizuri, maishani mwao.

Kumbukumbu la Torati 22:27.

Kutoka 2:6.

ENGLISH: TO BREATHE WITH DIFFICULTY.

To breathe with difficulty is shortness of inhalation. There was a child who lived in a certain village. This child left by his parents, cried until he began to gasp for breath. That is why the people who saw him said that he had started to “to breathe with difficulty.”

This saying is equaled to the person who does not take good care of the children in his life. That person, leaves the children to suffer until they cry for a long time to be able to suffocate them, because of neglecting them in his life. He leaves the children to suffer carelessly until they are thin in his family, because of such indifference to them, in his life.

Those children are like the child who cried until he was out of breath, because they are also left in a state of suffering until they become thin without help, in their lives. That is why people who see them say that they have begun to “to breathe with difficulty.”

This saying teaches people about raising their children well by taking good care of them, so that they can grow well, in their lives.

Deuteronomy 22:27.

Exodus 2:6.

crying-african-man-4670799_1280

1236. MAMONYONGELE.

Mamonyongele jili jito ja gutumama milimo nulu guyomba mihayo bho sagala sagala. Oho kale olihoyi munhu uyo atumamaga milimo yakwe bho sagala sagala aha kaya yakwe kunguno ya guduma gwitegeleja chiza umumiganiko gakwe. Umunhu ng’wunuyo, agakumuka noyi kunguno ya katumamile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagayung’witana giki, “mamonyongele.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho ndugu gwitegeleja chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalimaga migunda mitale oilekanija duhu kunguno ya kugaiwa witegeleja bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agakelaga bhuli ng’waka aha kaya yakwe kunguno ya gutumama milimo bho nduhu gwiganika bho gwitegeleja chiza, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo otumamaga milimo bho sagala sagala kunguno nuweyi agatumamaga milimo yakwe bho nduhu ugwitegeleja chiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “mamonyongele.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kutumama milimo yabho bho gwiganika na gwitegeleja bhutale, kugiki bhudule gupandika matwajo mingi, umubhutumami bho milimo yabho yiniyo.

Luka 6:46-49.

Matendo ya mitume 17:1-9.

KISWAHILI: HOVYO HOVYO.

Hovyo hovyo ni kitendo cha kufanya kazi au kuongea maneno vibaya. Hapo zamani alikuwepo mtu aliyekuwa akifanya kazi vibaya kwa maana ya kulipua kazi, kwa sababu ya kukosa umakini katika mawazo yake. Mtu huyo, alijulikana sana katika kijiji chake kwa sababu ya namna yake hiyo kufanya kazi vibaya. Ndiyo maana watu walimuita jina la “hovyo hovyo.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake bila kuwa na umakini katika maisha yake. Mtu huyo, hulima mashamba makubwa na kuyatelekeza bila kuyatunza kwa sababu ya kufanya kazi kwake bila kuwa na umakini wa kufanya utafiti wa kutosha, maishani mwake. Yeye hukosa chakula kila mwaka katika familia yake hiyo, kwa sababu kufanya kazi zake hizo bila kufikiria kwa umakini zaidi, katika utendaji wake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefanya kazi zake vibaya, kwa sababu naye hufanya kazi zake bila kufikiria kwa umakini, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jila la “hovyo hovyo.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa umakini wa kufanya utafiti kwanza kabla ya kuzianza, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika utekelezaji wa majukumu yao hayo.

Luka 6:46-49.

Matendo ya mitume 17:1-9.

ENGLISH: BADLY BADLY.

Careless is an act of doing things or speaking words badly. Once upon a time there was a man who was doing work badly in the sense of blowing up work, because of lacking focus in his thoughts. This man was well known in his village because of his way of working badly. That is why people called him the name of “badly badly.”

This saying is related to a person who does his work without being focused in his life. Such person cultivates large fields and abandons them without taking care of them because of working without having good attention enough to do research in his life. He lacks food every year in his family because of doing his works without thinking more seriously in his performance.

This person is similar to the one who did his work badly, because he also does his works without thinking seriously in his life. That is why people call him the name of “badly badly.”

This saying teaches people about doing their jobs carefully enough to do research first before starting them, so that they can get a lot of success in carrying out of their duties.

Luke 6:46-49.

Acts 17:1-9.

farmer-6318173__480

1235. UNENE NANYIKILAGA.

Olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo, agingila gulala umuchumba jakwe, kugiki adule gwifula. Aliyo lulu, bhagiza bhanhu bhumisha kugiki adule gubhambilija umumakoye gabho. Uweyi agalema ugujileka itulo jakwe bho guyomba giki, olalaga. Hunagwene agayomba giki, “unene nanyikilaga.” Ugunyikila hugulala tulo.

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhambilija chiza abhiye abho walina makoye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adabhadililaga abhiye umutumami bho milimo yakwe kunguno ya bhudoshi bho gwimana weyi duhu, umuwikaji bhobho bhunubho. Uweyi agagawiyigwa abhanhu abha gwikala nanghwe akaya yakwe yiniyo, kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, ubhogwidilila wei duhu bho nduhu ugubhadilila abhiye, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agelema gumishiwa na bhiye abho bhacholaga wambilijiwa, kunguno nuweyi agikalaga wimanile weyi duhu bho nduhu ugubhambilija abhiye abho bhali na makoye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “unene nanyikilaga.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhadilila chiza abhanhu abho bhali na makoye bho gubhambilija, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi, umukaya jabho.

Luka 11:5-8.

Zaburi 44:23.

Zaburi 121:4.

Mithali 3:24.

KISWAHILI: MIMI NIMELALA.

Alikuwepo mtu aliyeishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo, aliingia kulala chumbani mwake, kwa lengo la kupumzika. Lakini watu waliokuwa na shida walimwendea na kumwamusha ili awasaidie katika shida yao. Yeye alikataa kuuacha usingizi wake, akisema kuwa, amelala. Ndiyo maana alisema kwamba, “mimi nimelala.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hasaidii vizuri wenzake walioko kwenye matatizo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hawajali wenzake waomwendea wakiomba msaada wa kusaidiwa kutatua matatizo yao, kwa sababu ya majivuno yake ya kujijali yeye wenyewe tu, maishani mwake. Yeye hukosa watu wa kuishi naye kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya kujijali mwenyewe bila kuwasaidia wenzake walio na matatizo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejali usingizi wake kwa kukataa kuwasaidia wale waliokuwa na matatizo, kwa sababu naye huwa hawasaidii watu walioko kwenye matatizo, maishani mwake. Ndiyo  maana husema kwamba, “mimi nimelala.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwasaidia wenzao walioko kwenye matatizo, kwa kuwajali vizuri, ili waweze kuishi kwa furaha katika familia zao, maishani mwao.

Luka 11:5-8.

Zaburi 44:23.

Zaburi 121:4.

Mithali 3:24.

ENGLISH: I HAVE SLEPT.

There was a man who lived in a certain village. He went to sleep in his room, with an aim of resting. But people who were in problems came to him and asked him to help them in their anxiety. He refused to give up his sleep, saying that he was asleep. That is why he said, “I have slept.”

This saying is compared to a person who does not help well his colleagues who are in tribulations in his life. Such person does not care about his colleagues who come to him asking for help in solving their problems, because of his pride in only caring about himself, in his life. He misses people who can live with in his family because of taking care of himself without helping his colleagues who have problems in their lives.

This person resembles the one who cared about his sleep by refusing to help those who had problems, because he also does not help people who are in problems in his life. That is why he says, “I have slept.”

This saying teaches people about helping their fellows who are in problems, by taking good care of them, so that they can live happily in their families, in their lives.

Luke 11:5-8.

Psalm 44:23.

Psalm 121:4.

Proverbs 3:24.

sleeping-1353562_1280

1233. MPANDAGE ALIYO AGUGULYA.

Olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo, oipandaga isii bho nguvu noyi kunguno ya gulya jiliwa mpaga wiguta noyi. Uweyi wiganikaga giki adalacha na gujikwa umugati ya sii iyo ayipandaga yiniyo, kunguno ya lwiguto lokwe lunulo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “mpandage aliyo agugulya.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu nsabhi uyo agiganikaga giki adalacha, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajisanyaga isabho jakwe bho gwita mihayo iyo atogilwe weyi umusii ng’wenumu, kunguno ya bhudoshi bho gwiganika giki isabho jigung’wingija pye amakoye mpaka nu lufu, umuwikaji bhokwe, bhunubho. Uweyi agadumaga uguilela chiza ikaya yakwe kunguno ya gwisanya sabho jakwe bho gwita mihayo iyo atogilwe weyi, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agiguta jiliwa uipanda isii bho nguzu, kunguno nuweyi agajisanyaga isabho jakwe bho gwita mihayo iyo atogilwe weyi umusii guti giki adalacha, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “mpandage aliyo agugulya.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwita mihayo ya wiza umusi hayo ingelelo yabho idinashiga, kunguno bhuli ng’wene alina ngelelo yakwe, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho bhunubho.

Hesabu 16:29-30.

Ayubu 7:21.

Ayubu 20:11.

KISWAHILI: MKANYAGE LAKINI ATAKULA.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akiishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo, alikuwa akiikanyaga ardhi kwa nguvu sana kwa sababu ya kula chakula mpaka akashiba sana. Yeye alikuwa akifikiri kwamba hatakufa na kuzikwa ndani ya ardhi hiyo aliyokuwa akiikanyaga kwa sababu ya kushiba kwake chakula alichokula. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mkanyage lakini atakula.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu tajiri ambaye hufikiria kwamba, hatakufa, katika maisha yake. Mtu huyo, huutegemea utajiri wa wali zake katika kutatua matatizo yake yote kwa kufanya atakalo yeye kwa sababu ya majivuno ya kuufikiria utajiri wake kwamba utamwondolea matatizo yote hata kumzuia kufa, maishani mwake. Yeye hushindwa kuilea vyema familia yake kwa sababu ya kutegemea mali zake hizo kwa kuzifikiria kama mtatuzi wa matatizo yake yote, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeshiba chakula mpaka akaanza kuikanyaga ardhi kwa mguvu, kwa sababu naye huutegemea utajiri wa mali zake mpaka anafanya anachotaka hapa duniani kama kwamba, hatakufa, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mkanyage lakini atakula.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutenda matendo mema hapa duniani kabla ya kufika mwisho wao, kwa sababu kila mmoja ana mwisho wake, ili waweze kuzilea vyema familia zao, wakati wa uhai wao wote.

Hesabu 16:29-30.

Ayubu 7:21.

Ayubu 20:11.

ENGLISH: TREAD IT BUT IT WILL EAT YOU.

There was a man who lived in a certain village. Such man was treading the ground very hard because of eating food until he was very full. He was thinking that he will not die and be buried in the ground which he was treading. That is why people told him that, “Tread it but it will eat you.”

This saying is equaled to a rich man who thinks that he will not die in his life. Such person depends on the wealth of his parents in solving all his problems by doing what he wants because of thinking that his wealth will remove all problems and even prevent him from dying in his life. He fails to raise his family well because of relying on his possessions by thinking of them as the solution to all his problems, in his life.

This person resembles the one who ate food until he began to tread the ground with strength, because he also depends on the wealth of his possessions until he does what he wants in this world as if he will not die. That is why people tell him that, “Tread it but it will eat you.”

This saying imparts in people an idea about doing good deeds on this world before reaching their end, because everyone has his/her end, so that they can raise their families well, during their whole lives.

Numbers 16:29-30.

Job 7:21.

Job 20:11.

death-2421821_1280

 

1232. JIDUMULA BHABODO.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile munhu uyo otulaga bhanhu abho abhakile amasala. Umunhu ng’wunuyo, oyelaga na nanha gokwe go guntulila uluumona uyo annebhije amasala kunguno ya miganiko gakwe ayo galigantuula chiniko. Uweyi agakumuka noyi umuchalo jakwe kunguno ya kikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagayung’witana giki, “jidumula bhabodo.”

Akahayile kenako, kagalengijiyagwa kuli munhu uyo agabhibhonelaga abhanhu abho bhali na masala magehu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhibhonelaga abhanhu abho bhali na masala magehu uko alibhitila kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga mamihayo mingi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya wibhoneji bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo obhatulaga abhanhu abho abhalebhije amasala, kunguno nuweyi agabhibhonelaga abhanhu abha masala magehu umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhang’witanaga giki, “jidumula bhabodo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhibhonela abhanhu abho bhadidujije umumasala gabho, bho gubhambilija chiza, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala chiza na bhichabho, umukaya jabho.

1Wakorintho 14:11.

Warumi 2:20.

1Wakorintho 14:16.

Wagalatia 3:3.

KISWAHILI: MPIGA WENYE AKILI PUNGUFU.

Chanzo cha msemo huo, huongelea mtu yule aliyekuwa akiwapiga watu aliowazidi akili. Mtu huyo, alikuwa akitembea na fimbo ya kuwapigia watu hao aliowazidi akili kwa sababu ya mawazo yake kumtuma kufanya hivyo. Yeye alijulikana sana katika kijiji chake kwa sababu ya maisha yake hayo. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mgiga wenye akili pungufu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwaonea watu wenye akili pungufu, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaonea watu hao wenye akili pungufu anakotembelea kwa sababu ya majivuno yakwe ya kuwadharau watu hao, maishani mwake. Yeye hupata matatizo ya kusumbulia na kesi nyingi kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya kuwaonea watu hao wasiona hatia, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewapiga watu aliowazidi akili, kwa sababu naye huwaonea watu walio na akili pungufu, katika maisha yake. Ndio maana watu humuita jina la “mgiga wenye akili pungufu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwaonea watu wasiojiweza maishani mwao, kwa kuwasaidia vizuri watu hao, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa amani na wenzao, katika familia, zao.

1Wakorintho 14:11.

Warumi 2:20.

1Wakorintho 14:16.

Wagalatia 3:3.

ENGLISH: A HITTER OF THOSE WHO HAVE LESS INTELLIGENCE.

The source of this saying speaks of the person who used to beat people who were out of their mind. Such man walked with a stick for hitting those people because of his thoughts that caused him to do so. He was well known in his village because of such behavior. That is why people called him “a hitter of those who have less intelligence.”

This saying is compared to a person who oppresses the mentally retarded ones in his life. Such person treats those people who have are slow in thinking where he visits because of his pride. He gets many problems and lawsuits in his family because of oppressing those innocent people in his life.

This person is similar to the one who beat people who had less intelligent, because he also oppresses people who are slow in thinking in his life. That is why people call him “a hitter of those who have less intelligence.”

This saying teaches people to stop oppressing the less fortunate ones in their lives, by helping them well, so that they can receive blessings of living in peace with their people in their families.

1 Corinthians 14:11.

Romans 2:20.

1 Corinthians 14:16.

Galatians 3:3.

zulu-kingdom-3411052_1280