Uncategorized

876. JIDAPANDA MANHO.

Olihoyi ngosha o ha kaya imo uyo olialemile uguzuga ijiliwa. Ungosha ng’wunuyo, ozugilagwa ijiliwa jinijo na nkima okwe bhuli lushigu, umukikalile kakwe. Uweyi olidapandaga imanho iyo igajidimilaga ijizugilo ja jiliwa. Hunagwene abhanhu bhagang’witana giki, “jidapanda manho.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo iyo aimanile bho gulola kabhumbilwe kakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe iyo aidulile bho guyandya diyu mpaga nulu mhindi. Uweyi adishadyaga mumilimo iyo adaidebhile chiza, kunguno ahayile bhayitumame abho bhaimanile, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ngosha uyo oliadazugaga ilijiwa, uyo ozugilagwa na nke okwe oli adebhile, kunguno nuweyi agabhalekalaga abhiye bhaitumame imilimo iyo adaimanile chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagag’witanaga giki, “jidapanda manho.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwilanga milimo na gwigulambija guitumama chiza imilimo iyo bhaimanile, bho gubhalekela bhangi iyo bhadaimanile, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:16-19.

Yoshua Bin Sira 36:22 – 27.

1Timotheo 2:9 – 15.

KISWAHILI: ASIYEKANYAGA KISHIKILIA CHOMBO CHA KUPIKIA.

Alikuwepo mwanaume wa kwenye familia moja aliyekuwa amekataa kupika chakula. Mwanaume huyo, alikuwa akipikiwa chakula hicho na mke wake kila siku, katika maisha yake. Yeye hukufahamu kukanyaga kishikilia chombo cha kupikia. Ndiyo maana watu walimuita kwamba, “asiyekanyaga kishikilia chombo cha kupikia.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatekeleza kwa bidii majukumu anayoyaelewa vizuri kwa kufuata maumbile yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kuzifanya kazi ambazo anazifahamu, kwa kuanzia asubuhi hadi hata jioni. Yeye huwa ajiingizi kwenye kazi zile ambazo haizifahamu vizuri, kwa sababu hupenda kuwaachia wazitekeleze wale wanaozielewa, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na mwanaume yule aliyemwachia kazi ya kupika yule anayeilewa ambaye ni mke wake, kwa sababu naye huwaachia wengine wayatekeleze majukumu yale asiyoyafahamu vizuri, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba, “asiyekanyaga kishikilia chombo cha kupikia.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujifunza kazi, na kujibidisha kuzitekeleza zile wanazozifahamu, kwa kuwaachia wengine wanaozifahamu zile wasizozifahamu, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Mwanzo 3: 16-19.

Yoshua Bin Sira 36: 22 – 27.

1Timotheo 2: 9 – 15.

woman-----2

fishing-boat-

woman-----1

ENGLISH: HE WHO DOES NOT STEP ON THE COOKING VESSEL HOLDER.

There was a man in who refused to cook in his family. His wife cooked for him every day. He did not know how to step on a cooking utensil. That is why people called him, “he who does not step on the cooking vessel holder.”

This saying is compared to a person who diligently carries out responsibilities that he fully understands by following in his life. Such person in turn, strives to fulfill those responsibilities which he is familiar with, from morning till evening. He does not engage in activities that he does not know well, because he likes to let those who understand them fulfill them, so that they can have more success in their lives.

This person resembles the man who left his cooking job to his wife; because he also lets others take on responsibilities that he does not know well, in his life. That is why people call him, “he who does not step on the cooking vessel holder.”

This saying imparts in people an idea on how learn a trade, and strives to apply what they know, by letting others do who know what they do not know, so that they may have more success in their lives.

Genesis 3: 16-19.

Joshua Bin Sirach 36: 22-27.

1Timothy 2: 9-15.

875. NG’WENUYO OGAYUGULA MAKUNGU.

Akahayile kenako, kaholelile higulya ya bhuyuguji bho makungu ubho bhuli bhuyeji bho gusiminzila mabala mingi. Olihoyi nhimi uyo ojaga ubhayelela pye abhatumami bhakwe bho gusiminza. Unimi ng’wunuyo, oponaga majiliwa mingi ayo gagang’wenheleja gukumuka mpaka kumachalo gangi ayo oli adina shika koyi, kunguno ya nume gokwe uyo bhikalaga bhaliguyomba abho bhapandikaga jiliwa ja kufumila kuli weyi, nabho abhamhona. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ng’wenuyo ogayugula makungu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali ntongeji obhanhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhayelelaga abhanhu bhakwe bho bhulingisilo ubho bhugenhaga solobho ukubhanhu bhakwe bhenabho. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhake injila ja kupandika solobho nu bhusiminzi bhobho, kunguno adayelaga dalali, umubhutumani bhokwe.

Umunhu ng’wunyo, agikolaga nu nimi unkumuku ukubhanhu bhakwe uyo agapandika majiliwa mingi, kunguno nuweyi agabhatongelaga abhanhu bhakwe bho guyela na bhulingisilo bho gupandika solobho ukuwikaji bhobho, kikila guyunga dalali duhu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wenuyo ogayugula makungu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhulingisilo bho gupandika solobho ya kubheja wikaji bho bhanhu chiza umubhuyeji bhobho, na guleka gulela dalali duhu, kugiki bhadule kupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho.

Marko 6: 1 -13.

Luka 4: 42 – 44.

Luka 4: 14 – 15.

 

KISWAHILI: HUYO AMETEMBELEA MAENEO MENGI.

Msemo huo, huongelea juu ya utembeleaji wa maeneo mengi yaliyoko kwenye tawala fulani. Alikuwepo mkulima aliyekuwa akiwatembelea watu wake wote kwa miguu. Mkulima huyo, alifanikiwa kupata mazao mengi yakiwemo yale ya chakula, ambayo yalimwezesha kusifika mpaka kwenye tawala za maeneo mengine, kule ambako hakuwahi kufika, kwa sababu ya kueleweka kwake kulikofikisha na watu waliopata chakula kutoka kakwe, na wengine waliopata nafasi ya kumuona. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “huyo ametembelea maeneo mengi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni kiongozi wa watu katika maisha yake. Mtu huyo, huwatembelea watu wake kwa malengo maalumu, ya kuleta faida katika maendeleo yao. Yeye huwafundisha watu wake njia mbalimbali za kupata faida za kuendelea kuwambelea kwa malengo yenye manufaa kwao, kwa sababu huwa hatembei bila la lengo lenye kuleta maendeleo kwa wananchi wake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mkulimwa aliyepata mazao yalimuwezesha kusifika kwa watu wengi, kwa sababu naye huwaongoza watu wake kupitia maisha yake namna ya kupanga safari zenye malengo ya kuwaendeleza watu wake, badala ya kutembea bure tu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “huyo ametembelea maeneo mengi.”

Msemo huyo, hufundisha watu juu kupanga safari zenye kuleta manufaa ya kuwaendeleza watu wao, badala ya kusafiri bila faida yoyote, ili waweze kupata maendeleo makubwa, maishani mwao.

Marko 6: 1 -13.

Luka 4: 42 – 44.

Luka 4: 14 – 15.

woman----

 

 

south-africa-1

 

dance-1

ENGLISH: THAT ONE HAS VISITED MANY PLACES.

The above saying refers to the visit of someone to many places which were located in certain administrations. There was a farmer who visited all his people on foot. Such farmer managed to get a lot of produce, including food, which enabled him to be famous to other places, where he had never been there, because of his being understood by the people who received food from him. Others had the opportunity to see him. That is why people said, “that one has visited many places.”

This saying is compared to the person who is the leader of the people in his life. He visits his people for specific purposes, enough to bring benefits to their development. He teaches his people various ways for gaining welfares of continuing to pursue them with goals that are beneficial to them.  He does not walk without a goal that brings development to his people, in his life.

This man resembles the farmer who got produce that made him famous, because he also guides his people through his life on how to plan trips which aim at developing his people, instead of just walking aimlessly, in his life. That is why people say to him, “that one has visited many places.”

This saying teaches people on how to plan successful trips for the betterment of their people, rather than traveling without any benefit, so that they can make great progress in their lives.

Mark 6: 1-13.

Luke 4: 42-44.

Luke 4: 14-15.

874. OLEMA SHADA GIDI UGWIB’ULAJA B’UNGWENE.

Ulusumo lunulo, lulolile b’ulemi bho shada gidi, ubho b’ugenhelejaga gwib’ulaja b’ungwene. Ubhuleni bho shada gidi bhuli bho gulema guleka mihayo ya bhub’i iyo idulile gweng’wenheleja gucha ung’witi oyo.

Olihoyi munhu uyo wib’aga mitugo ja bhanhu. Umunhu ng’wunuyo oli alemile uguleka ugwib’a ulu ohang’wa na bhiye. Lushugu lumo, aho wib’a agading’wa na bhanhu abho bhagantula mpaga upijiwa na polisi. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “olema shada gidi ugwib’ulaja b’ungwene.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja b’ub’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga miito ga bhub’i ayo gadulile kung’wenheleja kupandika makoye matale, kunguno alemile ugugaleka. Uweyi adazunyaga uguhang’wa na bhiye kunguno ya nhinda ijo alinajo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wib’i o mitugo uyo agading’wa na bhanhu otulwa mpaga upijiwa na polisi, kunguno nuweyi adazunyaga ugugaleka amito agabhub’i ulu uhang’wa na bhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “olema shada gidi ugwib’ulaja b’ung’wene.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guzunya guhugulwa na b’ichab’o bho guleka miito ga b’ub’i, kugiki bhadule gwikala bho mholele na b’ichab’o, umuwikaji bhobho.

Yakobo 3: 5-6.

Mathayo 27: 3-5.

Mwanzo 19: 15-26.

 

KISWAHILI: UMEKATAA KATA KATA UTAJISABABISHIA KIFO CHAKO MWENYEWE.

Methali hiyo, huangalia ukataaji wa moja kwa moja ambao humsababishia mtu kifo chake. Ukataaji wa moja kwa moja ni wa kukataa kuupokea ushauri wa kuacha kutenda maovu ambayo huweza kumletea kifo chake mwenyewe aliyeyatenda hayo maovu.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akiiba mifugo ya watu. Mtu huyo, alikataa ushauri aliopewa na wenzake wa kuyaacha maovu. Siku moja alipoiba alikamatwa na watu akapigwa mpaga akaokolewa na polisi. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “umekataa kata kata utajisababishia kifo chako mwenyewe.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu mwenye tabia mbaya, katika maisha yake. Mtu huyo, hutenda matendo maovu ambayo huweza kumsababishia matatizo makubwa, kwa sababu ya kutokukubali kwake kuyaacha. Yeye hakubali kuonywa na wenzake kwa sababu ya kiburi alicho nacho, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwizi wa mifugo alikamatwa na kupigwa mpaka akaokolewa na polisi, kwa sababu naye hakubali kuacha matendo maovu anapoonywa na wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “umekataa kata kata utajisababishia kifo chako mwenyewe.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kukubali kuonywa na wenzao kwa kuacha kutenda maovu katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Yakobo 3: 5-6.

Mathayo 27: 3-5.

Mwanzo 19: 15-26.

drums-

 

african-traditional-dance

ENGLISH: YOU HAVE STRONGLY REFUSED YOU WILL CAUSE YOUR OWN DEATH.

This proverb looks at the rejection of something of someone that results into one self’s death. This denial is the refusal to accept counsel for refraining from wrongdoing that may result in the death of the committer.

There was a man who was stealing people’s livestock. Such man however, rejected the advice which was given to him by his associates to turn away from evil doing. One day when he stole something, he was arrested by people and beaten. Fortunately that he was rescued by police. That is why people told him that, “you have strongly refused you will cause your own death.”

This proverb is likened to a man who had a wicked attitude, in his life. This person, in turn, commits a crime that could lead him to serious problems, because of his refusal to give up. He does not accept the warnings of his fellows because of his pride in his life.

This man resembles to the cattle thief, who was arrested and beaten until he was rescued by the police, because he too refused to stop doing evils when he was warned by his age group, in his life. That is why people tell him that, “you have strongly refused you will cause your own death.”

This proverb imparts in people an idea on how to accept warnings of others enough to stop doing evils in their lives, so that they can live in peace with one another, in their lives.

James 3: 5-6.

Matthew 27: 3-5.

Genesis 19: 15-26.

portrait-1

873. LYA MACHA NYAU.

Akahayile kenako, kalilola wichobheji bho Nyau mpaka yugacha. Inyau igicholelaga ijiliwa jayo bho bhukungiji bhutale ubho bhuli kihamo na gwikindika kugiki idule gujisanganija ijo ilihayo gujibhulaga. Kuyiniyo lulu, ugushiga mpaga yugacha, mumho yatumamaga nimo ntale. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “lwa macha myau.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumama milimo bho gwandya diyu mpaga ilimi lyugagwa, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo alinkamu noyi uguitumama milimo yakwe kunguno agaitumamaga bho pye ilikanza ilya limi. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi ahakaya yake, kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho ubho guitumama imilimo gufumile dilu mpaga lyugagwa Ilimi, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni nyau iyo igatumama nimo ntale, kunguno nu weyi, agatumama milimo yakwe bho gwingile dilu mpaga lyugagwa Ilimi, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lwa macha nyau.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gujilanija ni likanza lya limo umubhutumami bho milimo yabho bho nduhu ugulibhitilija ilikanza, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumamila ijina gujibheja chiza, ikaya jabho.

Waloma 15:1.

Mathayo 14:14-15,

KISWAHILI: LA KUFA PAKA.

Msemo huo, huangalia ujitafutiaji wa paka mpaka kufa kwake. Paka hujitafutia chakula chake kwa umakini mkubwa ikiwa ni pamoja na kujirusha kwa lengo la kumshutukiza yule anayetaka kumuua. Kwa hiyo basi, kufikia mpaka hatua kufa, humanisha uwepo kwa kazi kubwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, “la kufa paka.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake kuanzia asubuhi mpaka jioni, katika maisha yake. Mtu huyo, ana bidii kubwa sana ya kuyatekeleza majukumu yake yakiwemo yale ya kulima kwa sababu ya yeye kufanya kazi tangia asubuhi hadi jioni. Yeye hupata mali nyingi sana kwenye familia yake, kwa sababu ya kujibidisha kwake kuyatekeleza majukumu yake, muda wote wenye mwanga wa Jua, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule paka aliyefanya kazi kubwa ya kujitafutia mahitaji yake, kwa sababu naye huyatelekeza majukumu yake kuanzia asubuhi hadi jioni, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “la kufa paka.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuendana na mwanga wa Jua katika utekelezaji wa majukumu yao bila ukupitiliza, ili waweze kupata mali za kutumia katika kuziendeleza vizuri familia zao.

Waloma 15:1.

Mathayo 14:14-15.

ethiopia1

africa-11

burundi-1

ENGLISH: IT IS OF DYING CAT.

This saying looks at a cat that hunts for itself until its death enough to get food. This Cat searches for food with the utmost seriousness, including self-mutilation, with the intention of shocking the victim. It does so to the point of dying for making sure that it gets food. That is why people say, “It is of dying cat.”

This saying is applied to a man who performs his duties from morning till evening, in his life. This man is very diligent in carrying out his responsibilities, such as farming because of his hard work from morning till evening. He gets a lot of wealth for his family, because of his being serious hard working enough to carry out his responsibilities all the time, in his life.

This man resembles the cat that worked hard enough to get its food, because he too fulfills his responsibilities from morning till evening, throughout his life. That is why people say to him that, “it is of dying cat.”

This saying instills in people a clue on how to work hard enough to carry out their responsibilities without being forced, so that they can acquire abundant resources for the betterment of their families.

Romans 15: 1.

Matthew 14: 14-15.

872. NUMBA YAGWA NHUGUB’AJI.

Imbuki ya kahayile kenako, ilolile kagwile ka numba ya ib’anda. Inumba yiniyo, yigazengagwa bho nhingi ja maselele na yezekelwa mafa. Kuyiniyo lulu, ulu yub’inzika idagwaga b’o gushiga hasi, iyoyi igagwaga nhugub’aji, kulwa nguno ya mselele ayo gagayihangijaga ugushigila ihasi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “numba yagwa nhugub’aji.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo apandikaga makoye ogamala bho nduhu ugub’inzike moyo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agacholaga njila ja gung’wingija makoye genayo bho gwigulambija gutumama milimo yakwe chiza, umukikalile kakwe. Uweyi adagwaga ng’holo umutumami b’o milimo yakwe yiniyo, kunguno igampandikilaga sabho ja guib’egeja ikaya yakwe, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni numba iyo idagwaga mpaga yashiga hasi, kunguno nu weyi agapandikaga makoye ogamala bho nduhu ugugwa ing’holo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “numba yagwa nhugub’aji.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na wiyumilija bho gugamala amakoye gab’o bho nduhu ugub’inzike moyo, kugiki bhadule kupandika matwaji mingi, umuwikaji bhobho.

1Timotheo 6:11=15.

Luka 6:46-49.

1Timotheo 1:12-17.

Luka 14:29-33.

 

KISWAHILI: NYUMBA IMEANGUKA KWA KUJIEGESHA.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uangukaji wa nyumba ya kipanda. Nyumba hiyo, hujengwa kwa kutumia nguzo za mlingoti na kuezekwa kwa nyasi. Kwa hiyo, yenyewe ikivunjika huanguka kwa kujiegesha kwa sababu ile mlingoti huizuia kufika chini. Ndiyo maana watu husema kwamba, “nyumba imeanguka kwa kujiegesha.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupata matatizo na kuyamaliza bila kukata tamaa, katika maisha yake. Mtu huyo, hutafuta njia za kumwondolea matatizo hayo kwa kujibidisha kufanya kazi vizuri matika maisha yake. Yeye huwa hakati tamaa katika utekelezaji wa majukumu yake, kwa sababu huwa yanampatia mali za kuiendelezea familia yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na nyumba ile isiyoanguka mpaga chini, kwa sababu naye huyatatua matatizo yake mpaka kuyamaliza bila kukata tamaa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba, “nyumba imeanguka kwa kujiegesha.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuyamaliza matatizo yao bila kukata tamaa, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

1Timotheo 6:11-15.

1Timotheo 1:12-17.

Luka 6:46-49.

Luka 14:29-33.

nyumba

 

woman--4

namibia-1

ENGLISH: THE HOUSE HAS COLLAPSED BY PARKING.

The origin of the overhead saying looks at the collapse of a temporal house. This house was built with mast poles and grass thatched roofs. Therefore, when it breaks, it collapses on its own because the masts prevent it from reaching the ground. That is why people say, “the house has collapsed by parking.”

This saying is likened to a person who gets into trouble and ends it without giving up, in life. This person looks for ways that can get rid of those problems by striving to work well in his or her life. He/she is not discouraged in the performance of his/her duties because they provide him/her with prevent resources enough to support whole family, in life.

This person resembles a temporal house that collapsed by parking, because he/she solves all his/her problems without giving up in life. That is why people tell him/her that, “the house has collapsed by parking.”

This saying imparts in people an idea on how to be patient enough solve their problems without giving up, so that they can have more success in their lives.

1 Timothy 6: 11-15.

1 Timothy 1: 12-17.

Luke 6: 46-49.

Luke 14: 29-33.

himba-