Uncategorized

886. LEKELAGA KOYI JIZE NGEHU.

Bhalihoyi bhanhu abho bhang’wishaga ng’ombe mumatab’a gabho. Abhanhu bhenano bhagakumbaga matab’a genayo mumongo gagung’wisija ing’ombe jabho ulu gakama aminzi. Abhoyi bhajitinaga ngehu ing’ombe jagang’wa aminzi mpaga nose bhujifuja pye jose, kugiki jikije ugapandagila amatab’a gabho genayo na gugabhipya aminzi. Hunagwene bhiwilaga giki, “lekelaga koyi jize ngehu.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho jelwa ng’holo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agandyaga gutumama bhuli nimo bho witegeleja bhutale mpaga ogumala chiza. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi umubhutumami bhokwe, kunguno ya welwa ng’holo bhokwe bhunubho, ubho gutumama milimo na bhitegeleja bhutale, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na bhag’wisha bha ng’ombe abho bhagang’wishaga bho jelwa ng’holo, kunguno nu weyi agatumamaga milimo yakwe bho jelwa ng’holo na witegeleja bhutale, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “lekelaga koyi jize ngehu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bhutale bho guitumama milimo yabho jelwa ng’holo, kugiki bhadule kupandika sabho ningi ijagujilang’hanila ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yohane 6:8-14.

Kutoka 2:16-19.

KISWAHILI: ACHIA HUKO WAJE WACHACHE.

Walikuwepo watu waliokuwa wakinywesha ng’ombe wao kwenye malambo yao. Watu hao, walikuwa wakiyachimba malambo hayo kwenye mito baada ya mito hiyo kukauka, kwa ajili ya kuwanyweshea ng’ombe wao hao. Wao walikuwa wakikata ng’ombe wachache wanaenda kunywa ili wasije wakayakanyaga maji hayo na kuyachafua, mpaga wakamaliza kuwanywesha wote. Ndiyo maana mmoja wao alimwambia mwenzake, “achia huko waje wachache.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatekeleza majukumu yakwe kwa umakini mkubwa, katika maisha yake. Mtu huyo, huanza kuitekeleza kila kazi kwa umakini huo wa kuielewa vizuri na kuitekeleza itakiwavyo mpaka mwisho. Yeye hupata mafanikio mengi ya mali katika utumishi wake kwa sababu ya umakini wako huo mkubwa alio nao katika utekelezaji wa majukumu yake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na wale wanywesha ng’ombe waliowang’wesha ng’ombe wao kwa umakini mkubwa, kwa sababu naye huyatekeleza majukumu yake kwa umakini huo mkubwa, katika maisha yake. Ndiyo maana husema, “achia huko waje wachache.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini mkubwa wa kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mali za kutosha kuwasaidia katika kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Yohane 6:8-14.

Kutoka 2:16-19.

cow--1

masai--1

holstein-fresian-cows-

 

cows-1

ENGLISH: LET THERE COME A FEW.

There were people who were letting their cows to drink water in their rivers. Those people had dug wells in the rivers after those rivers dried up, for the sake of getting water for their cattle to drink. They were letting a few cows that were going to drink so that they would not trample on the water and pollute it, until the herdsmen would finish such task by making sure that all cattle have drunk water. That is why one of them said to the other that, “let there come a few.”

This saying is applied to the person who carries out his duties with the utmost seriousness, in his life. Such person begins to carry out each task with the utmost care to understand it enough to carry it out to the end. He achieves much of the financial success in his ministry because of the great care he has in carrying out his responsibilities in his life.

This man resembles to the cowboys who let their cows drink clean water in a great care, because he also carries out his duties with the same vigilance, in his life. That is why they say that,
“let there come a few.”

This saying imparts in people a clue on how to be more careful in fulfilling their responsibilities, so that they can earn enough money to help them in taking care of their families, in lives.

John 6: 8-14.

Exodus 2: 16-19.

 

 

 

885. LYENILO LYASEDECHIWA JILAB’U.

Olihoyi nkima umo uyo wikalaga agung’waga walwa mpaka olewa. Unkima ng’wunuyo, oilekanijaga ikaya ogikala mumajib’u agung’waga walwa duhu. Uweyi agayung’wa uwalwa bhonebha mpaga oduma nulu ugutumama imilimo yakwe. Hunagwene abhanhu bhagayiwila giki, “lyenilo lyasedechiwa jilab’u.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumamilaga sagala ijikola jakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agapandikaga jikolo, nulu hela, oilekanija ikaya yakwe bho gujujikenagula ihela jinijo mumito ga sagala. Uweyi agajimalaga ihela jakwe bho nduhu uguyambilija ikaya yakwe yiniyo, naoshoka lulu ikaya, kunguno ya bhubhipya bho masala gakwe, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu nkima uyo agailekanija ikaya yakwe ugikala mumajilab’u, kunguno nuweyi agailekanijaga ikaya yakwe bho gujikenagula sagala isabho jakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagiwilaga giki, “lyenilo lyasedechiwa jilab’u.”

Akahayile kenako, kalanga bhabhu higulya ya kuleka nhungwa ja gujikenagula sagala isabho jabho, kugiki bhadule kujitumila bho gujilang’hanila chiza, ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:27-28.

Mathayo 15:19-20.

Habakuki 2:9-16.

Nahumu 3:4-7.

IWakorintho 5:1-13.

1Wakorintho 6:18.

KISWAHILI: HILO LIMECHOSHWA NA KILABU.

Alikuwepo mwanamke mmoja aliyekuwa mlevi wa kunywa sana pombe. Mwanamke huyo, aliitelekeza familia yake kwa kwenda kuishi kwenye vilabu. Yeye alikuwa akinywa pombe na kulewa mpaka kufikia hatua ya kushindwa hata kufanya kazi zake. Ndiyo maana watu waliambiana kwamba, “hilo limechoshwa na kilabu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitumia hovyo mali zake, katika maisha yake. Mtu huyo, hupata hela au mali na kuitelekeza familia yake kwa kuzitumia mali zake hizo kwenye mambo yasiyo na maana. Yeye huimaliza pesa yake bila kuisaidia familia yake kwa sababu ya kuziharibu akili zake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mwanamke yule aliyeitelekeza familia yake kwa kukimbilia kuishi kwenye vilabu vya pombe, huitelekeza familia yake kwa kutumia pesa zake kwenye mambo yasiyo faa, katika maisha yake. Ndiyo maana watu huambiana kwamba, “hilo limechoshwa na kilabu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuziharibu hovyo mali zao, ili waweze kuzitumia kwa kuzilinda vizuri familia zao, maishani mwao.

Mathayo 5:27-28.

Mathayo 15:19-20.

Habakuki 2:9-16.

Nahumu 3:4-7.

IWakorintho 5:1-13.

1Wakorintho 6:18.

alcohol-1

ethiopia--1

drink-2

ENGLISH: THAT ONE HAS BEEN EXHAUSTED BY ALCOHOLIC CENTER.

There was a woman who was an alcoholic drinker. She abandoned her family by going to live in clubs which sold alcohol. She was drinking enough to get drunk to the point of not being able to even do her jobs at home. That is why people said to one another, “that one has been exhausted by alcoholic center.”

This saying is related to a man who squanders his possessions in useless things. He earns money or property and abandons his family by spending his resources on trivial matters. He spends his money without helping his family because of damaging his mind in his life.

This man resembles to the woman who abandoned her family by rushing to live in a liquor club, because he also abandons his family by spending his money on trivial things, in his life. That is why people say to one another, “that one has been exhausted by alcoholic center.”

This saying teaches people on how to stop a habit of wasting their resources uselessly, so that they can use it for protecting and developing their families in their lives.

Matthew 5: 27-28.

Matthew 15: 19-20.

Habakkuk 2: 9-16.

Nahum 3: 4-7.

Corinthians 5: 1-13.

1 Corinthians 6:18.

884. NG’WAB’EJA GULIGINEHE HOYI?

Olihoyi namhala umo uyo agabhatuma bhana bhakwe gujutumama nimo kungunda gokwe. Agabhawila, “jagi mgalimile ingese.” Abhana bhakwe bhagashosha, “nahene B’ab’a.”

Abhana bhakwe bhenabho, bhagaja bhugalimila ingese yiniyo bho gufugila amaswa pye ilibala ilo bhalilimilaga. Unamhala aho oja ugujubhalinguja ugasanga maswa mingi gimilaga ayo bhagafugilaga. Hunagwene agabhabhuja giki, “ng’wab’eja guliginehe hoyi?”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhadatumamaga chiza imilimo iyo bhagatumagwa na bhichacho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagatumama heke umo bhaliganikala bhoyi kunguno bhaditegelejaga chiza ulu bhaliwilwa mhayo. Abhoyi bhagaikenagula imilimo yabho kunguno ya gukija gutungilija umo bhawililagwa na bhichabho, umubhutumami bhobho.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na bhana abho bhadatumamile chiza unimo uyo bhali bhatung’wa gujutumama nu sabho, kunguno nabhoyi bhadatumamaga chiza imilimo iyo bhagatumagwa na bhichabho, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagabhabhujaga giki, “ng’wab’eja guliginehe hoyi?”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guitegeleja chiza imilimo iyo bhagatumagwa guitumama, kugiki bhadule guitumama chiza, umuwikaji bhobho.

Waroma 9: 30 – 33.

Mwanzo 3:12-19.

Mathayo 27:3-5.

 

KISWAHILI: MUMETENGENEZA LIPI HAPO?

Alikuwepo mzee aliyewatuma watoto wake kwenda kufanya kazi kwenye shamba lake. Aliwaambia, “nendeni mkapalilie palizi.” Watoto wake walijibu, “sawa baba.”

Watoto wake hao, walienda kupalilia ile palizi kwa kufukia majani kwenye sehemu yote waliyoipalilia. Mzee alipoenda kuwakagua alikuta majani mengi waliyoyafukia yamesimama. Ndiyo maana aliwauliza kwamba, “mumetengezeza lipi hapo?”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huwa hawatekelezi vizuri kazi walizotumwa na wenzao, katika maisha yao. Watu hao, huyatekeleza vingine majukumu yale walioagizwa kuyafanya, tofauti na walivyoelekezwa. Wao huziharifu kazi zao kwa sababu ya kuacha kuyazingatia maagizo waliyopewa na  wenzao, katika utumishi wao.

Watu hao hufanana na watoto wale ambao hawakuitekeleza vizuri kazi waliopewa na baba yao, kwa sababu nao huwa hawayatekelezi vizuri majukumu yale waliopewa na wenzao, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huwauliza kwamba, “mumetengezenza lipi hapo?”

Msemo huo, hufundisha watu juu kuwa na umakini wa kuyaelewa maagizo wanayopewa na wenzao, ili waweze kuyatekeleza vizuri, maishani mwao.

Waroma 9: 30 – 33.

Mwanzo 3:12-19.

Mathayo 27:3-5.

dirt-

 

maza-

 

 

 

ENGLISH: WHAT HAVE YOU DONE THERE?

There was an old man who sent his children to work on his farm. He told them, “Go and weed out the weeds.” His children replied, “OK, father.”

His children, however, went to weed the weeds by covering the leaves in all places where they passed. When the old man went to inspect them, he found that most of the leaves which they had covered had appeared. That is why he asked them, “What have you done there?”

This saying is applied to those people who do not perform well the tasks which have been assigned to them by their associates, in their lifetime. These people, in turn, carry out their tasks assigned to them, contrary to their instructions. They ruin their jobs because they do not pay attention to the instructions given to them by their nobles, in their ministry.

These people are like those children who did not do well the work that was given to them by their father, because they also do not fullfill well their responsibilities which have been given to them by their fellows, in their lives. That is why people ask them, “What have you done there?”

This saying instills in people an idea of being careful enough to understand the instructions which have been given to them by their fellows, so that they can carry them out well, in their lives.

Romans 9: 30-33.

Genesis 3: 12-19.

Matthew 27: 3-5.

883. HENAHO WICHA ICHA DUHU.

Alihoyi moji uyo omogaga munhu o wanga. Umoji ng’wunuyo, omogaga numo jalijasagila duhu inzwili umu ntwe go ng’wa munhu ng’wunuyo, kunguno inzwili iningi jalijashila. Uweyi wicha ichaga duhu omala ugumoja umunhu ng’wunuyo. Hunagwene umoji ng’wunuyo agayomba giki, “henaho wicha icha duhu.”

Akahayile kenako, kagalengajiyagwa kuli munhu uyo agalangaga munhu uyo alinmani, umu nhimo gokwe. Umunhu ng’wunuyo, adakoyaga ugulanga kunguno ya bhumani bho wangu ubho alinabho unangwa okwe. Uweyi agatumilaga makanza maguhi duhu agagulanga omana na gumana umunhu ng’wunuyo, kunguno ya masala gakwe gubhiza mangu uguidebha yose iyo alilangwa.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo omogaga munhu o wanga ugumala wangu unimo gunuyo, kunguno nu weyi agatumilaga makanza makuhi duhu agagulanga, odeb’a unangwa okwe, umubhutumami bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “henaho wicha icha duhu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleza bho guidebha wangu imilimo yabho, kugiki bhadule kuimala chiza na wangu, umubhutumami bhobho.

Marko 10:19-20.

 

KISWAHILI: HAPO NI USHUSHA SHUSHAJI TU.

Aliyowepo kinyozi mmoja aliyekuwa akimnyoa mtu mwenye upaa. Kinyozi huyo, alinyoa sehemu zile tu ambazo nywele zilikuwepo kwenye kichwa chake mtu huyo kwa sababu nywele zilizo nyingi zilikuwa zimekwisha. Yeye alishusha shusha tu akamaliza kumnyoa mtu huyo. Ndiyo maana kinyozi huyo alisema kwamba, “hapo ni ushusha shushaji tu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye humfundisha mtu aliye mwelewa, katika kazi yake. Mtu huyo, huwa hahangaiki kumfundisha mwanafunzi wake huyo, kwa sababu ya uelewa wa haraka aliyonao. Yeye hutumia mtu mfupi tu wa kumfundisha, anamaliza kazi yake, kwa sababu ya akili yake hiyo kuwa na wepesi wa kuyaelewa yale yote anayofundishwa.

Mtu huyo, hufanana na yule kinyozi aliyetumia mtu mfupi kumnyoa mtu mwenye upaa akamaliza, kwa sababu naye hutumia mtu mfupi kumfundisha mtu mwenye uelewa wa haraka anaelewa, katika kazi yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “hapo ni ushusha shushaji tu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyaelewa vizuri majukumu yao, ili waweze kuyakeleza vizuri kwa haraka, katika utumishi wao.

Marko 10:19-20.

woman-shaved

 

ENGLISH: THERE IS JUST DOWNLOADING.

There was one barber who was shaving a bald man. The barber shaved off only the remaining hairs on his head because most of the hairs on his head were gone. He just lowered the download and finished shaving the man. That is why the barber said, “There is just a downloading.”

This saying is compared to the one who teaches an intelligent person. This person does not spend so much time in teaching his student, because of the quick understanding he has. He uses only a short time to do so enough to finish his work; because of the mind of his students being so quick to understand everything which he is taught.

This person resembles the barber who spent a very short time in shaving a bald man; because he also uses a short time in teaching a man who has a quick understanding mind, in his work. That is why he says, “there is just a downloading.”

This saying teaches people about being carefully enough to understand their responsibilities well, so that they can successfully in their ministry.

Mark 10: 19-20.

882. SONI JA MISO.

Akahayile kenako, kalolile munhu uyo adajile gujungisha nduguye uyo agapandika makoye malebhe. Umunhu ng’wunuyo, agagigwa amakoye ga nduguye ng’wunuyo wigasha duhu. Lushigu lumo agatung’wana munzila nang’hwe uduguye ng’wunuyo, ubhona soni noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “soni ya miso.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhalungujaga abhanhu abho bhali na makoye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agadililaga milimo yakwe duhu bho nduhu ugubhambilija abhanhu bhenabho abho bhali na mayange, kunguno ya bhujidalonja bhokwe. Uweyi agabhonaga soni ulu bhiza gungisha abhanhu bhenabho abho bhali bhapandika mayange, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agakija ugujungisha unduguye uyo uliopandika mayange mpaga nose bhutung’wanhila munzila nang’hwe, kunguno nuweyi adabhalunguja abhiye abho bhapandikaga makoye, mpaka bhiza kungisha aha kaya yake, umukikalile kakwe. Hunagwene agiigwa ‘soni ja miso’ ulu wibhona nabho.

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhalunguja abhichabho abho bhapandikaga mayange bho gubhayelela uko bhazengile, kugiki bhadule gwikala chiza nabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:6-13.

KISWAHILI: AIBU YA MACHO.

Msemo huo, huangalia mtu yule ambaye hakuenda kumsalimia ndugu yake aliyepata matatizo fulani. Mtu huyo, alisikia juu ya matatizo hayo ya ndugu yake akakaa tu. Siku moja alikutana naye njiani akaona aibu sana. Ndiyo maana watu walisema kwamba ni “aimbu ya macho.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hawafariji watu waliopata matatizo, katika maisha yake. Mtu huyo, hujali kazi zake tu bila kuwasaidia watu hao waliopata matatizo kwa sababu ya kutokujali kwake. Yeye hujisikia aibu watu hao wanapoenda kumsalimia nyumbani kwake, maishani kwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeacha kwenda kumtembelea ndugu yake aliyepata matatizo mpaka mwishowe wakakutana naye njiani, kwa sababu naye huwa hawafariki watu waliopata matatizo mpaka watu hao wanaenda kumsalimu kwenye familia yake, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye hujisikia “aimbu ya macho” anapoonana nao.

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwafariji wenzao waliopata matatizo kwa kuwatembelea kule waliko, ili waweze kuishi nao vizuri, maishani mwao.

Mwanzo 3:6-13.

child----

model-

ENGLISH: THAT IS ‘KAKUNGUBALA (AN ANT).’

The overhead saying refers to a creature which is locally called ‘kakungub’ala.’ This creature is a type of squirrel that always runs away. It does not settle in one place, in its life. That is why people say to one another, “that is ‘kakungubala (an ant).’”

This saying is applied to a person who does not stay at his family, in life. This person, in turn, walks carelessly because of his reluctance to work. He suffers from famine in his family, because of his way of walking here and there without working, in his life.

This person resembles to the kakumgub’ala that ran all the time, without resting in one place, because he also does not stay at his family in life. That is why when people see him, say to one another, “that is ‘kakungubala (an ant).”

This saying, teaches people on how to live well with their families, by striving to fulfill their responsibilities, so that they can better develop their families, in their lives.

Hebrews 13: 9.

1 Peter 5: 8-9.