Uncategorized

891. NDUHU UNFULA UKUNU WELELO.

Olihoyi munhu umo, uyo wikalaga muchalo ja Ng’watuju. Umunhu ng’winuyo, oliakumukile giki alinfula noyi umuchalo jinijo. Lushigu lumo, agiduma na nzenganwa okwe mpaga bhiza bhanhu gubhayangula na gubhona giki uweyi alimhubhi. Abhanhu aho bhabhona chene bhagakumywa noyi kunguno yalilukangala lo gwandya uweyi ugwigela na bhuhubhi. Hunagwene abhanhu bhagayonga giki, “nduhu infula ukunu Welelo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyolechaga giki ali owiza, aliyo umunholo yake agabhizaga na miganiko ga bhub’i, umukikalile kakwe. Umunhu ng’winuyo, agayombaga mihayo ya wiza, aliyo munholo yakwe agiganikaga mihayo ya bhub’i ukubhiye. Uweyi agatumamaga milimo yakwe bho gwiyolecha kubhanhu kugiki bhankumilije, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wikaji o muchalo ja Ng’watuju, uyo aganhubhila unzenganwa okwe aliyo wigelaga giki aliyo wiza, kunguno nuweyi agiyolechaga ukubhanhu giki alinfula aliyo agiganikaga ya bhubhi, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nduhu unfula ukunu Welelo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guwiza bhanhu bha nhana  bho gubhiganikila na gubhiwitila ya wiza abhichabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhanhu bhabho, umuwikaji bhabho.

Mathayo 23:25-28.

Yakobo 1: 26-27,

Yakobo 3: 5-7.

KISWAHILI: HAKUNA MKAMILIFU HUKU DUNIANI.

Alikuwepo mtu mmoja aliyeishi katika kijiji cha Mwatuju. Mtu huyo, alisifika kuwa ni mkamilifu katika kijiji hicho kwa kadiri alivyoonekana kwa watu hao. Siku moja, alikosana na jirani yake mpaka wakaja watu kuwaamua, na kugundua kuwa yeye alikuwa na kosa. Watu walipoona hivyo walishangaa sana kwa sababu ilikuwa mara ya kwanza kwake kupatikana na kosa. Ndiyo maana walisema kwamba, “hakuna mkamilifu huku duniani.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujionesha kwa nje kuwa ni mwaminifu, lakini kwa ndani huwa na mawazo maovu moyoni mwake, katika maisha yake. Mtu huyo, huongea maneno mazuri lakini moyoni mwake huwa anawaza maovu. Yeye hutenda matendo kwa lengo la kujionesha kwa watu ili wamsifu, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mkaaji wa kijiji cha Mwatuji, aliyekosana na jirani yake, akapatikana na kosa wakati alionekana kuwa ni mwema, kwa sababu naye hufanya kazi zake kwa lengo la kujionesha kwa watu kuwa ni mwema wakati huwa ana anawawazia maovu wenzake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hakuna mkamilifu huku duniani.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa wakweli kwa kuwaza na kutenda matendo mema kwa wenzao, ili waweze kuishi vizuri na watu wao, maishani mwao.

Mathayo 23:25-28.

Yakobo 1: 26-27,

Yakobo 3: 5-7.

people----

falling-

 

modelo-mocambicana-

 

ENGLISH: NO ONE IS PERFECT IN THIS WORLD.

There was one man who lived at Mwatuju village. He was known to be perfect in the village as he so appeared to the people. One day, he quarreled with his neighbor until people came to reconcile him, and discovered that he was wrong. When the people saw this, they were amazed because it was the first time that he had been found guilty. That is why they said, “no one is perfect in this world.”

This saying is compared to a person who outwardly appears to be faithful, but inwardly has evil thoughts in his heart. This person speaks good words but in his heart there are evils. He does works for the purpose of showing off to people who can praise Him, in His life.

This man is like the resident of Mwatuji village who was found guilty after quarreling with his neighbor while he appeared to be good, because he also does his work with the aim of showing himself to be good when he thinks evil about his fellows, in life. That is why people say to him that, “no one is perfect in this world.”

This saying imparts in people an idea how to be honest by thinking and doing good deeds to their fellows, so that they can live harmoniously with their people, in their lives.

Matthew 23: 25-28.

James 1: 26-27.

James 3: 5-7.

 

 

890. BODO WIGI LIMO.

IBodo ili noni iyo iganyelaga igi limo niyo ha ng´wape duhu. Inoni yiniyo, igapandika ikoye lya gugayiwa ng’wana ku likanza lyoselyose kunguno ulu ligatobholwa iligi lyenilo munho nawagayiyagwa. Iyoyi hangi nulu igatulila ung´wana ng´wenuyo iki ali umo duhu ulu ucha munho nawagayiyagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “Bodo wigi limo.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adamanile gulang’hana jikolo jakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, apandikaga jikolo jigehu ijo igajilekanijaga mpaga jajimila, nulu jashila sagala, kunguno ya gukija ugwiganika chiza nzila ja gujilang’hanila ijikolo jinijo. Uweyi agagayiyagwa isabho kunguno ya gugayiwa ilisala lya gujilang’hanila chiza isabho jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni bodo iyo idinisala lya kujilang’hanila ijikolo jayo, kunguno nuweyi adiganikaga amasala gagujilang’hanila chiza isabho jakwe, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “Bodo wigi limo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gub’iza na masala ga gujilang’hanila chiza ijikolo jabho, kugiki bhadule gujitumila kulikanza lilihu gugamalila amakoye gabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 10:1.

Mithali 14:1.

Mathayo 7:26-27.

Luka 20:14.

KISWAHILI: BODO WA YAI MOJA.

Bodo ni ndege ambaye hutaga yai moja tu tena peupe. Ndege huyo, hukumbwa na tatizo la kukosa mtoto kwa sababu kama likivunjwa hilo yai ndiyo kusema kwamba atakosa. Hata kama akiangua mtoto huyo kwa vile ni mmoja tu akifa, yeye hukosa. Ndiyo maana watu husema kwamba, “Bodo wa yai moja.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye haelewi kutunza vitu vyake, katika maisha yake. Mtu huyo, hupata mali kidogo ambayo huitelekeza mpaka ikaisha hovyo, kwa sababu ya kutofikiri vizuri juu ya utunzaji wa mali hiyo. Yeye hukosa mali kwa sababu ya kukosa akili ya kuzitunzia vizuri mali hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na Bodo alisiyekuwa na akili ya kutunzia mali yake, kwa sababu naye huwa hafikilii akili ya kutunzia vizuri mali yake, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kwamba ni “Bodo wa yai moja.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na akili ya kuzitunzia vizuri mali zao, ili waweze kuzitumia kwa muda mrefu katika kutatua matatizo yao, maishani mwao.

Mithali 10:1. “Mwana mwenye hekima huleta furaha kwa baba yake, lakini mwana mpumbavu huleta huzuni kwa mama yake.”

Mithali 14:1. “Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake, bali mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.”

Mathayo 7:26-27. “Naye kila anayesikia haya maneno yangu wala asiyatende, ni kama mtu mjinga aliyejenga nyumba yake kwenye mchanga. Mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, nao upepo ukavuma ukaipiga hiyo nyumba, nayo ikaanguka kwa kishindo kikubwa.”

Luka 20:14. “Lakini wale wakulima waliokodisha shamba walipomwona wakasemezana wao kwa wao na kusema, ‘Huyu ndiye mrithi, basi na tumwue ili urithi uwe wetu.’”

sparrow-

the-birds-nest-

carolina-wren-

ENGLISH: ONE EGG BODO [SMALL BIRD].

A bodo is a small bird that lays only one egg. Such bird has a problem of missing a baby because if her egg is broken means that, she will miss. Even if she loses the child because only one dies, she is also going to miss. That is why people call such bird that, a “One egg bodo [small bird].”

This saying is likened to a person who does not understand how to take care of his belongings, in his life. Such person acquires a small amount of property that he or she abandons until it ends up, because of a lack of good judgment. He/she loses property because of lacking wisdom for taking good care of it, in lifetime.

This person, resembles a small bird ‘Bodo’ that did not have mind for taking care of her baby, because he/she also does not have good mind for taking care of property, in life. That is why people call him/her that a, “One egg bodo [small bird].”

This saying, teaches people on how to have good mind enough to take care of their possessions, so that they can use them for solving their problems, in their lives.

Proverbs 10: 1. “A wise son brings joy to his father, but a foolish son brings grief to his mother.”

Proverbs 14: 1. “The wise woman builds her house, but the foolish one tears it down with her own hands.”

Matthew 7: 26-27 And every one that heard these sayings of mine, and does them not, shall be likened unto a foolish man, which built his house upon the sand: And the rain poured down and the floods came and the winds blew and lashed against that house, and it caved in, and its collapse was great. ”

Luke 20:14 “But when the tenants saw him, they said to one another, ‘This is the heir; let us kill him, that the inheritance may be ours.'”

889. ONINYELA NGOKO MHANGA.

Ulusumo lunulo, lulolile bhunyi bho ngoko mhanga. Ingoko ulu ili mu makono ga ng’wa munhu igagabhipyaga bho gunyela kunguno ya guhadikija kupela. Hunagwene umunhu ng’wunuyo agayombaga giki, “oninyela ngoko mhanga.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayigaluchaga imihayo iyo agahoyaga na bhiye bho guyomba mihayo ya bhulomolomo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agahoyaga kihamo na bhiye chiza. Aliyo lulu, ulu ulekana duhu na bhiye bhenabho, agayomgaga mihayo ya bhulomolomo uko alibhitila, bho guyigalucha iyo bhaluhoyaga na bhiye. Uweyi agalisanyaga bhanhu kunguno ya guyomba mihayo ya bhulomolomo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ngoko iyo iganyela undimiji oyo, kunguno nu weyi agayigaluchaga imihayo ya bhiye bho guyomba bhulomolomo, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “oninyela ngoko mhanga.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ya guyomba mihayo ya bhulomolomo, umukikalile kakwe, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3: 1 – 5.

Waefeso 5: 6 – 9.

Kutoka 20: 16.

Matendo ya mitume 8: 8 – 14.

Yohane 8: 44.

KISWAHILI: UMENINYEA KUKU MZIMA.

Methali hiyo huangalia kunya kwa mzima. Kuku akiwa kwenye mikono ya mtu fulani huichafua kwa kumnyea kwa sababu ya kutaka kukimbia. Ndiyo maana mtu huyo husema, “umeninyea kuku mzima.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyageuza maneno aliyoongea na wenzake, kwa kusema uongo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anaongea pamoja na wenzake vizuri. Lakini, akiachana tu na wenzake hao, husema maneno ya uongo anakopitia kwa kuyageuza yale waliokuwa wakiongea na wenzake hao. Yeye huwagombanisha watu kwa sababu ya kusema uongo wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule kuku aliyemnyea mshiliaji wake, kwa sababu naye huyageuza maneno ya wenzake kwa kusema uongo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “umeninyea kuku mzima.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kusema maneno ya uongo katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mwanzo 3: 1 – 5.

Waefeso 5: 6 – 9.

Kutoka 20: 16.

Matendo ya mitume 8: 8 – 14.

Yohane 8: 44.

woman---1

women---

chicken--

ENGLISH: YOU HAVE DEFECATED ME A LIVING CHICK.

This proverb looks at a defecation of a hen. A chicken in someone’s arms pollutes when one was scratching it because it wants to run away. That is why he says, “you have defecated me a living chick.”

This proverb is equated to a man who distorts words which he speaks with his associates, by lying, in his life. He communicates well with his colleagues. But, as soon as he leaves his companions, he speaks the false words on the way by twisting what they were speaking with his contemporaries. He confuses people because he tells them lie, in his life.

This man is like the hen that defecated on the hands of the one who held it, because he also distorts words of his fellows by lying, in his life. That is why people say to him that, “you have defecated me a living chick.”

This proverb teaches people about giving up habits of lying in their lives, so that they can live in peace with each other, in their lives.

Genesis 3: 1-5.

Ephesians 5: 6-9.

Exodus 20:16.

Acts 8: 8-14.

John 8:44.

888. NDUHU UCHIMBA O NG’WAKA.

Ochimba ali munhu uyo alinfuuji  o lombo uyo agabhalagilaga abhalingi b’a ndimu ja mumapolu. Umunhu ng’wunuyo, agabhahangilaga abhalingi bhenabho bho gub’awila giki bhagandya gub’ulaga ndimu ndebhe. Uweyi agadeb’aga kunguno yigab’izaga chene nhana makanza gangi. Aliyo lulu, nduhu umani o ng’waka uogugumana igiki gugub’iza na mbula nulu nduhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nduhu uchimba o ng’waka.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina widohya bho gung’wisanya Mulungu, umubhutumami bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga kutumama milimo yakwe iyo ayidulile na gunnekela Mulungu iyo ikililile ubhudula bhokwe, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalangaga na bhiye ahigulya ya gubhiza na widohya bhunubho ubho guitumama chiza imilimo iyo bhayidujije, na gunnekela Mulungu iyo bhadayidujije, umubhutumami bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu chimba uyo obhahangilaga abhalingi bhakwe bho nduhu ugubhawila ginhu umo guli ung’waka, kunguno nu weyi agigulambijaga uguitumama chiza imilimo iyo ayidulile bho gunnekela Mulungu iyo adaidulile, umubhutumami bhokwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “nduhu uchimba o ng’waka.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na widohya bho gwigulambija guitumama chiza imilimo yabho bho gung’wisanya Mulungu uyo adulile yose, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umubhutumami bhobho.

Mathayo 24:32-35.

Matendo ya Mitume 13:4-8.

KISWAHILI: HAKUNA MTABIRI WA MWAKA.

Mtabiri wa wawindaji wa wanyama poli ni mpulizaji wa filimbi ambaye huwaaga wanapoenda kuwinda. Mtu huyo, huwatabiria wawindaji hao kwa kuwaambia juu ya mnyama fulani watakaeanza kumuua. Yeye hupatia kwa sababu wakati mwingine huwa hivyo kweli. Lakini basi, hakuna anayefahamu kuutabiri mwaka kama utakuwa na mvua na hakuna. Ndiyo maana watu husema kwamba, “hakuna mtabiri wa mwaka.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana unyenyekevu wa kumtegemea Mungu, katika utekelezaji wa majukumu yake. Mtu huyo, hujibidisha kuzitekeleza vizuri kazi zile anazoziweza, na kumuachia Mungu zile zinazozidi uwezo wake. Yeye huwafundisha  wenzake juu ya kuwa na unyenyekevu huo wa kuyatekeleza vizuri majukumu wanayoyaweza na kumtegemea Mungu kwa yale yanayozidi uwezo wao, katika utumishi wao.

Mtu huyo, hufanana na yule mtabiri wa wawindaji aliyewatabiria juu ya kazi yao, bila kuwaambia kitu juu ya mwaka ulivyo, kwa sababu naye hujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yale anayoyaweza, na kumtegemea Mungu kwa yale yanayozidi uwezo wake, katika utumishi wake. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, “hakuna mtabiri wa mwaka.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kijibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao kwa kumtegemea Mungu, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi, katika utumishi wao.

Mathayo 24:32-35.

Matendo ya Mitume 13:4-8.

kenya-1

hadzabe-1

hadzabe--

ENGLISH: THERE IS NO FORECASTER OF THE YEAR.

The forecaster of hunters is a whistle-blower who bids farewell when they go hunting. This man predicts to them by telling them about what kind of an animal which they will start to kill. It sometimes becomes true what he predicts. But then, no one knows how to predict the year if it will rain or not. That is why people say that, “there is no forecaster of the year.”

This proverb is related to a man who has humility in trusting in God, in the discharge of his duties. This person, in effect, strives to accomplish the tasks which he or she is capable of doing enough surrender the outcomes to God. He/she teaches others to be humble enough to carry out their duties well and to rely on God for what is beyond their abilities in their service.

This person is like the forecater of hunters who predicted their work, without telling them anything about the year, because he/she too strives to fulfill the daily responsibilities, enough to rely on God for what will happen from service. That is why he/she tells people that, “there is no forecaster of the year.”

This proverb imparts in people a clue on how to be humble and diligent in fulfilling their responsibilities by relying on God, so that they may be more successful in their ministries.

Matthew 24: 32-35

Acts 13: 4-8.

887. NHULA MAGONJI IDAB’ONAGWA KAB’ILI.

Inhula majonji yili kubhona jisumva ja lubhango giti Mhulugaga, nulu Sado. Ijisumva guti jinijo jidab’onagwa sagala uwikalo bho bhanhu. Kuyiniyo lulu, uyo ujibhona agajilolelaga bho witegeleja bhutale kugiki jikije ugung’wijimija sagala, kunguno ulu jujimila ilidamu ugujibhona hangi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nhula magonji idab’onagwa kab’ili.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandikaga sabho ojilabhila chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajitumilaga bho witegeleja pye isabho ijo agajipandikaga, umubhutumami bhokwe, kunguno adebhile isolobho yajo, nu bhudamu bho gujipandika ulu jushila. Uweyi agikalaga na sabho ningi aha kaya yakwe, kunguno ya wigulambija bho gutumama milimo na witegeleja bhokwe bhunubho ubho gujitumila chiza ijo agajipandikaga, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agabhona jisumva jalubhango ujilang’hana chiza, kunguno nuweyi agajilabhilaga bho witegeleja bhutale isabho ijo agajipandikaga, umubhutumami bhokwe. Uweyi agabhalangaga na abhanhu bhakwe inzila ja gujilang’hanila chiza ijikolo jabho. Hunagwene agabhawilaga abhiye bhenabho giki, “nhula magonji idab’onagwa kab’ili.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujilang’hana bho gujitumamila chiza isabho ijo bhagajipandikaga umubhutumami bhobho, kugiki jidule gubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho kulikanza lilihu, umuwikaji bhobho.

Ufunuo 21: 1-2.

Mathayo 25: 14 -30.

KISWAHILI: BAHATI HAIJIRUDII MARA MBILI.

Bahati ni kuona kitu au kiumbe chenye Baraka kama: kaka kuona au chatu. Viumbe kama hivyo, huwa havionekani hovyo katika makazi ya watu. Kwa hiyo, anayeviona huviangalia kwa umakini mkubwa ili visije vikampotea hovyo, kwa sababu akivipoteza ni vigumu kuviona mara ya pili. Ndiyo maana watu husema kwamba, “bahati haijirudii mara mbili.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule avitunzaye kwa uangalifu mali anazozipata, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi kwa bidii na kuzitumia kwa uangalifu mali zote azipatazo, kwa sababu anafahamu faida ya mali hizo, na ugumu wa kuzipata zikiisha. Yeye huwa na mali nyingi kwenye familia yake kwa sababu ya bidii yake ya kufanya kazi na kuwa na matumizi mzuri ya mali anazozipata, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeona viumbe vyenye Baraka agavitunza kwa uangalifu, kwa sababu naye huitumia kwa uangalifu mkubwa mali anayoipata katika shughuli zake. Yeye huwafundisha pia wenzake namna ya kuzitumia kwa uangalifu mali wanazozipata. Ndiyo maana huwaambia wenzake hao kwamba, “bahati haijirudii mara mbili.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzitunza kwa kuzitumia kwa uangalifu mali wanazozipata katika kazi zao, ili ziweze kuwasaidia katika kuziendeleza vizuri familia zao kwa kipindi kirefu, maishani mwao.

Ufunuo 21: 1-2.

Mathayo 25: 14 -30.

madagascar-

donkey-

drums2

ENGLISH: LUCK DOES NOT REPEAT TWICE.

Luck is to see an object or creature of a Blessing such as wild life or a python. Such creatures are rarely seen in human settlements. Therefore, the one who sees them looks at them very carefully so that they do not get lost, because if he/she loses them it is difficult to see them a second time. That is why people say that, “luck does not repeat twice.”

This proverb is compared to a man who carefully observes things which he finds in his life. Such person works hard and uses all his resources wisely, because he knows the benefits of them and the difficulty of finding them while they are lost. He has a lot of wealth in his family because of his hard working and good usage of the wealth which he earns in his life.

This person resembles to the one who saw the blessed creatures and took care of them, because he also uses his wealth very carefully. He also teaches his associates on how to use their resources wisely. That is why he tells them that, “luck does not repeat twice.”

This proverb instills in people an idea on how to take care of properties by carefully using the resources which they earn in their jobs, so that they can help them in taking care of their families for a long time, in their future lives.

Revelation 21: 1-2.

Matthew 25: 14-30.