1485. NATUULE MUMHINDA.

Olihoyi munhu uyo otulaga ginhu munfuko gokwe. Umunhu ng’wunuyo, oyelaga na mfugo gokwe uyo ogutumilaga bho gutuula moyi ginhu ijo ujitogagwa kunguno ya kujilanhana chiza. Uweyi akajikwija noyi umunfugo gokwe gunuyo. Hunagwene oyombaga giki, “natuule mumhinda.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhutungilija bho gutuula mihayo ya wiza umunholo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agayituulaga imihayo iyawiza yiniyo umunholo yakwe bho gulidimila chiza ililange ilyawiza mpaga uyikala chiza nabhiye kunguno ya bhutungulija bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agayilelaga chiza ikaya yakwe kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho ubho guyituula munholo yakwe imihayo iyawiza yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo otuulaga mumhinda yakwe ginhu ijo ojitogagwa, kunguno nuweyi agayituulaga munholo yakwe imihayo ya wiza mpaga oyilela chiza ikaya yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “natuule mumhinda.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gulikalana chiza ililange ilyawiza kugiki bhadule gujilela chiza ikaya yabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Waefeso 1:18.

Waefeso 3:17.

Wakolosai 3:12.

Mwanzo 12:1-4.

 

KISWAHILI: NIWEKE MFUKONI.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akiweka kitu kwenye mfuko wake. Mtu huyo, alikuwa nao huo mfuko kokote alikokwenda huku akiendelea kuweka ndani yake kitu alichopenda kwa sababu ya kutoka kuvitunza vizuri. Yeye alikusanya vitu vingi kwenye mfuko wake huo. Ndiyo maana alisema kwamba, “naweka mfukoni.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana uaminifu wa kuyaweka moyoni mwake maneno mazuri, katika maisha yake. Mtu huyo huyaweka maneno hayo, kwa kuyaishi vizuri malezi mema anayopewa na walezi wake mpaka akaishi vizuri na wenzake kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani mwake. Yeye huilea vyema familia yake kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kuyaishi vyema malezi mema aliyepewa na walezi wake, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeweka kwenye mfuko wake vitu alivyovipenda, kwa sababu naye huyaweka moyoni mwake maneno mazuri mpaka anafanikiwa kuilea vyema familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana husema kwamba, “niweke mfukoni.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuyaishi vyema malezi mema waliyopewa ili waweze kuzilea vyema familia zao hizo, maishani mwao.

Waefeso 1:18.

Waefeso 3:17.

Wakolosai 3:12.

Mwanzo 12:1-4.

 

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.