1470. NANG’HO OPOMOKELA.

Olihoyi munhu uyo otumamaga nimo gokwe uyo goli na solobho nhale umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo ogutumamaga bhuligwa unimo gokwe gunuyo kunguno ya solobho yago yiniyo aha kaya yakwe. Uweyi wigulambijaga ugugutumama unimo gunuyo bho nduhu uguguleka nulu alifigilijiwa na bhiye. Hunagwene abhanbu bhenabho bhagang’wilaga giki, “nang’ho opomokela.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina wiyumilija bho gwigulambijaga gutumama milimo yakwe bho nduhu ugugwa ing’holo nulu alidahahijiwa na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yabho bho nduhu ugubhadegeleka abhanhu abho bhagaidalihijaga imilimo yakwe, kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo, aha kaya yakwe kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho ubho gutumama milimo yakwe yiniyo nulu bhalindalihija abhiye, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo otumamaga nimo gokwe bho nduhu uguguleka nulu bhalindalahija abhiye, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho nduhu ugoya nulu bhalimbyeda abhiye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, “nang’ho opomokela.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza bho nduhu uguileka nulu bhalidalahijiwa na bhichabho, kugiki bhadule kupandika sabho ja gubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhokwe.

Kumbukumbu 27:16.

2 Mambo ya Nyakati 36:16.

Isaya 53:3.

KISWAHILI: NAWE HAMNA.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akifanya kazi yake iliyokuwa na faida kubwa maishani mwake. Mtu huyo, aliifanya kazi yake hiyo kila siku kwa sababu ya faida kubwa ya kazi yake hiyo.  Yeye alijibidisha kuitekeleza kazi yake bila ya kukubali kukatishwa tamaa na watu wenzake waliomdharau. Ndiyo maana watu hao walimwambia kuwa, “nawe hamna.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana uvumilivu wa kujibidisha kufanya kazi yake bila ya kukata tamaa anapodharauliwa na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake bila ya kuwasikiliza wale wanaoidharau kazi yake kwa sababu ya uvumilivu wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya uvumilifu wake huo wa kuendelea kuyatekeleza majukumu yake hata pale anapodharauliwa na wenzake, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefanya kazi yake hiyo bila ya kuiaacha hata pale alipodharauliwa na wenzake, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake bila ya kuiacha hata pale anapodharauliwa na wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba, “nawe humna.”

Msemo huyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kujibidisha kuyatakelekeza vizuri majukumu yao bila ya kuyaacha hata kama baadhi ya watu watawadharau, ili waweze kupata mali za kuwasaidia katika kuzilea vyema familia zao hizo, maishani mwao.

Kumbukumbu 27:16.

2 Mambo ya Nyakati 36:16.

Isaya 53:3.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.