Olihoyi munhu uyo agasoma chiza mpaga ukinda umumasomo gakwe. Unsomi ng’wunuyo, agapandika nimo kulwa bhusomi bhokwe bhunubho umo agayupandikila mhiya gubhitila mu nimo gokwe gunuyo. Uweyi agayulila mu mbeho kunguno ya kupandika mhiya ja gugulila jiliwa bho nduhu ugupya ilimi. Hunagwene agayomba giki, “nagulilaga ha numbaga.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina masala ga gwigugulambija gutumama milimo yakwe chiza mpaga opandika sabho ja gutumamila umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagatumamilaga amasala gakwe bho guchola milimo miza na gwigulambija guitumama chiza mpaga opandika jiliwa oyulya chiza aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya masala gakwe genayo, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga sabho ja gulya chiza aha kaya yakwe kunguno ya masala gakwe genayo, agatumama milimo yakwe chiza chiniko, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agasoma mpaga upandika nimo gogupandikila mhiya ja gulila mu mbeho, kunguno nuweyi alina masala gagwigulambija gutumama milimo chiza mpaga opandika jiliwe ja gulya chiza aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “nagulilaga ha numbaga.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na masala gagwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ja gulya chiza umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.
Yeremia 52:33-34.
Mhubiri 5:10-15.
KISWAHILI: NINAKULA NIKIWA KIVULINI.
Alikuwepo mtu aliyesoma vizuri mpaka akashinda vizuri katika masomo yake. Msomi huyo, alipata kazi iliyompatia hela kwa sababu ya usomi wake huo. Yeye alianza kula akiwa kivulini kwa sababu ya pesa alizozipata kwenye mshahara wakutoka kwenye kazi yake hiyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “ninakula nikiwa kivulini.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana akili za kujibidisha kufanya kazi zake vizuri mpaka anapata mali nyingi, katika maisha yake. Mtu huyo huitumia vizuri akili yake kwa kujibidisha kufanya kazi vizuri mpaka anapata chakula cha kula vizuri katika familia yake, kwa sababu ya akili zake hizo, maishani mwake. Yeye hupata mali za kula vizuri katika familia yake kwa sababu ya akili zake hizo, za kujibidisha kufanya kazi vizuri hivyo, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyesoma vizuri mpaka akapata kazi ya kumpatia pesa za kumwezesha kula akiwa kivulini, kwa sababu naye ana akili za kujibidisha kufanya kazi zake vizuri mpaka akapata chakula cha kula vizuri kwenye familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo husema kwamba, “ninakula nikiwa kivulini.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na akili za kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mali za kula vizuri katika familia zao, maishani mwao.
Yeremia 52:33-34.
Mhubiri 5:10-15.