Akahayile kenako kalolile nzobe iyo yabhuchaga miligo. Inzobe yiniyo, ili ndimu iyi abhanhu bhagaitumilaga bho gubhucha milimo yabho kunguno ya wivumilija bhoyo na nguzu jayo jiniyo. Iyoyi igabhambilija abhanhu bhenabho uguyibhucha imiligo yabho bhasiminza mpaga bhashiga uko bhajile umulugendo lobho lunulo. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayitanaga giki “mbucha miligo.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilija gubhambilija bhanhu gubhucha milimo yabho chiza, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, alina nguzu ningi na wiyumilija bhutale ubho gubhabhukija bhanhu miligo yao kunguno ya bhutogwa bhokwe bhunubho ukubhiye, umuwikaji bhokwe. Uweyi agayilalega chiza ikaya yakwe bhogubhalanga abhanhu bhakwe gutumama milimo yabho bho gwiyambilija chiza, kunguno ya wiyumilija na bhutungilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzobe iyo yabhambilijaga bhanhu gubhucha milimo yabho chiza, kunguno nuweyi agabhambilija abhanhu bhakwe ukubhucha chiza imiligo yabho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanga giki, “mbucha miligo.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gubhambilija bhichabho gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.
Mwanzo 44:13.
Marko 11:1-4.
Mathayo 21:1-7.
Yohana 12:12-16.
KISWAHILI: MBEBA MIZIGO.
Msemo huo humuongelea punda. Punda huyo ni myama ambaye watu humtumia kuwabebea mizigo yao kwa sababu ya nguvu alizonazo na uvumilivu wake huo. Mwenyewe huwasaidia watu hao katika kubeba mizigo yao wanaposafiri kutoka sehemu moja hadi nyingine. Ndiyo maana watu humuita jina la “mbeba mizigo.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia katika kuwasaidia watu kubeba mizigo yao vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, ana nguvu na uvumilifu wa kutosha kuwasaidia watu kutatua shida zao zikiwemo zile za kuwabebea mizigo yao, kwa sababu ya upendo na uvumilivu wake huo, maishani mwake. Yeye huilea vyema familia yake hiyo kwa kuwafundisha watu wake juu ya kuyatekeleza majukumu yao kwa kusaidiana vizuri, katika maisha yao.
Mtu huyo, hufanana na yule punda aliyewasaidia watu kubeba mizigo yao kutoka sehemu moja hadi nyingine, kwa sababu naye huwasaidia watu wake kwa kuwabebea mizigo yao, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jila la “mbeba mizigo.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kutosha kusaidiana vizuri katika kuyatekeleza vyema majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, katika familia zao, maishani mwao.
Mwanzo 44:13.
Marko 11:1-4.
Mathayo 21:1-7.
Yohana 12:12-16.
ENGLISH: LOAD CARRIER
This saying refers to a donkey. A donkey is a strong and enduring animal that people use to carry luggage. It helps people transport their belongings when traveling from one place to another. Because of its strength and patience, people call it a “load carrier.”
This saying is also used to describe a person who is patient and willing to help others carry their burdens in life. Such a person has the strength, endurance, and love needed to help people solve their problems, including difficult responsibilities. He supports others willingly and faithfully, just as a donkey carries heavy loads without complaint.
This person also raises his family well by teaching them to fulfill their responsibilities and to help one another in their daily lives. Like the donkey that carries luggage from place to place, he carries burdens of his people and supports them through life’s journeys. That is why he is called a “load carrier.”
This saying teaches people to be patient and supportive by helping one another to fulfill responsibilities faithfully. By doing so, families and communities can achieve great success in life.
Genesis 44:13.
Mark 11:1–4.
Matthew 21:1–7.
John 12:12–16.


