Aho kale bhalihoyi bhanhu bhadatu abho bhali kihamo umulugendo lobho. Umo obho oliotuula jikolo umumhinda yakwe ukunu nabhiye bhadebhile igiki alinajo. Umunhu ng’wunuyo, agajiguma ijikolo jinijo bho nduhu ugumana uweyi kunguno ya bhulekanija bhokwe bhunubho. Uweyi aho ojilola umuoliojitulila agajigaiwa. Hunagwene abhiye bhagang’wila giki “ogumaga.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingunanija ojikolo jakwe umukikalile kenako. Umunhu ng’wunuyo, agajilekanijaga sagala isabho jakwe mpaga nose jajimila, kunguno ya bhugumanija bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga ukoya na nzala aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya gujilekanija sagala isabho jakwe mpaka nose jajimila, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agajituula sagala ijikolo jakwe mpaga nose jujimila, kunguno nuweyi agajilekanijaga sagala isabho jakwe mpaga nose jajimila, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ogumaga.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilabhila chiza isabho jabho, kugiki jidule gubhambilija chiza ugujibheja ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.
Ukubhazunya akahayile kenako kalanga bhabhatijiwa higulya ya guilanhana chiza inema ya wejiwa iyo igolechiwaga na ng’wenda gope uyo bhagawilagwa giki bhagushishe mpaga kuli Mulungu guligope chiniko.
Kutoka 12:17.
Hesabu 3:8.
Yohana 21:15-17.
KISWAHILI: AMEDONDOSHA.
Hapo zamani walikuwepo watu watatu waliokuwa pamoja katika safari yao. Mmoja wao aliweka kitu mfukoni mwake na wenzake wakafahamu kuwa na kitu kicho. Mtu huyo, alikidondosha kitu hicho bila ya yeye kufahamu kwa sababu ya kutokujali kwake vitu vyake. Yeye alipokiangalia mfukoni mwake alikikosa mpaka akaanza kukitafuta. Ndiyo maana wenzake hayo, walimwambia kwamba, “amedondosha.”
Masemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvitelekeza hovyo vitu vyake, katika maisha yake. Mtu huyo, huzitelekeza hovyo mali zake mpaka mwishowe zinapotea kwa sababu ya kutokujali kwake huko maishani mwake. Yeye husumbuliwa na tatizo la njaa, yaani tatizo la kukosa chakula, katika familia yake kwa sababu ya kutokuzijali vizuri mali zake hizo, katika maisha yake hayo.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyeweka hovyo kitu chake mpaka akakipoteza, kwa sababu naye huzitelekeza hovyo mali zake mpaka mwishowe zinapotea, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amedondosha.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzitunza vizuri mali zao, ili ziweze kuwasaidia katika kuziendeleza vyema familia zao, maishani mwao.
Msemo huo pia huwafundisha wabatizwa juu ya kuitunza neema ya utakaso inaoneshwa na nguo nyeupe ambayo huambiwa, na mbatizaji, kuwa, waifikishe kwa Mungu ikiwa nyeupe hivyo.
Kutoka 12:17.
Hesabu 3:8.
Yohana 21:15-17.