1450. ALI NIBALE.

Akahayile kenako kahoyelile munhu uyo oligugilaga ilibale lyakwe. Umunhu ulinibale ilo olibhisaga ukubhalagu bha libale linilo kunguno ya kubhona soni jakwe jinijo. Uweyi agalikuja nose ililonda lyakwe mpaka abhanhu bhumonija ilibale linilo. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki “alinibale.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agapandika makoye ugabhisa mpaga ganemela, umuwikaji bhokwe bhunubho. Umunhu ng’wunuyo, apandikaga makoye giti sata wikala nayo bho nduhu uguyichala ugubhugota kunguno ya gubhona soni, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agaminyiyagwa na makoye genayo aga sata mpaga yanemela uguipicha, umukikalile kakwe.

Munhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo obhisaga libhale lyakwe mpaka nose lyukula, kunguno nuweyi agabhisaga amakoye gakwe gakula mpaka bhagabhona abhiye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhiye bhenabho bhagang’wilaga giki, “ali nibale.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya gujichala kubhugota wangu isata jabho, kugiki bhadule gugamala wangu amakoye genayo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Kutoka 23:25.

Kumbukumbu la Torati 7:15.

Mathayo 8:17.

Kumbukumbu la Torati 28:59.

KISWAHILI: ANA KIDONDA.

Msemo huo huongelea mtu aliye kuwa na kidonda chake. Mtu huyo alikuwa na kidonda alichokificha kwa watu kidonda hicho kwa sababu ya kuona aibu kwake huko. Mwishowe yeye alikikikuza kidonda chake mpaka watu wakaelewa kuwa ana kidonda hicho. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “ana kidonda.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupata matatizo akayaficha mpaka yanamzidi uwezo wa kuyatatua, katika maisha yake. Mtu huyo hupata matatizo yakiwemo yale ya ugonjwa anakaa nayo bila ya kuyapelekea hositalini kwa sababu ya kuona aibu kwakwe huo, maishani mwake. Yeye huumizwa na matayo hayo ya magonjwa mpaga yanashindikana kupona kwa sababu ya aibu yake hiyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeficha kidonda chake mpaka kikawa kikubwa, kwa sababu naye huyaficha matatizo yake ya ugonjwa mpaka wanayaona wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana wenzake hao husema kwamba, “ana kidonda.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwahi kuyapeleka magonjwa yao hositalini wanapougua, ili waweze kuyatatua haraka matatizo hayo, maishani mwao.

Kutoka 23:25.

Kumbukumbu la Torati 7:15.

Mathayo 8:17.

Kumbukumbu la Torati 28:59.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.