1444. B’UH’I NA B’UH’I.

Akahayile kenako kaholelile wingi bho bhanhu abho bhalikuminga hali ntale obho. Abhanhu bhenabho bhanumbilijaga untale obho ng’wunuyo kunguno ya gubhalanhana chiza umuchalo jabho jinijo. Hunagwene bhanhu bhagawitana uwingi bho bhanhu bhenabho giki “b’uh’i na b’uh’i.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhazunya abho bhagikumingaga kunamya na gumnumbilija Mulungu unanhani obho, umuwikaji bhobho. Abhazunya bhenabho, bhagisumbyaga gunyanya Mungu, gudegeleka mhayo gokwe bho gusoma shandikwa shela, na kunumbilija kuwiza bhokwe ubho gubhalanhana chiza umuwikaji bhobho bhunubho. Abhoyi bhagapandikaga nema na mbango ja gwikala na bhuyegi umukaya jabho kunguno ya guwikalanga chiza ubhuzunya bhobho bhunubho, umukikalile kabho.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhalibhikuminga kunumbilija untale obho uyo agabhalanhana chiza, kunguno nabho bhagikumingaga kunamya na gunumbilija Mulungu uyo agabhalanhanaga chiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagawitanaga uwikumingi bhobho giki, “b’uh’i na b’uh’i.”

Akahayile kenako kalanga bhazunya higulya ya guwikalana chiza ubhuzunya bhobho bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Mulungu, kugiki bhadule gupandika mbango ja gujilela chiza ikaya jabho mpaga bhashige Ng’wigulu.

Ufunuo 7:9.

Mwanzo 1:28-31.

Mwanzo 15:4-6.

KISWAHILI: UMATI NA UMATI.

Msemo huo, huongelea wingi wa watu waliokusanyika kwa kiongozi wao. Watu hao, walikusanyika kwa lengo la kumshukuru kiongozi wao huo kwa kuwaongoza na kuwalinda vizuri katika kijiji chao hicho. Ndiyo maana watu waliuita wingi wa watu hao jina la “umati na umati.”

Msemo huo hulinganishwa kwa wakristo wale ambao hukusanyika kumuabudu na kumshukuru Mungu awalindaye, maishani mwao. Wakristo hao, hukusanyika, kumwabudu Mungu, kumsikiliza kwa kusoma Biblia, na kumshukuru kwa wema na ulinzi wake anaowajalia, katika maisha yao. Wao hufanikiwa kupata nema na baraka za kuishi kwa furaha katika familia zao, kwa sababu ya kuuishi vyema ukristo wao huo, maishani mwao.

Watu hao, hufanana na wale waliokusanyika kumshukuru kiongozi wao aliyewalinda vyema, kwa sababu nao hukusanyika kumwabudu na kumshukuru Mungu kwa wema na ulinzi wake anaowajalia, maishani mwao. Ndiyo maana watu huuita mkusanyika wao huo jina la “umati na umati.”

Msemo huo, hufundisha wakristo juu ya kuuishi vyema ukristo wao kwa kuyaishi vizuri maagizo ya Mungu, ili waweze kupata baraka za kuzilea vyema familia zao, na kufika Mbinguni.

Ufunuo 7:9.

Mwanzo 1:28-31.

Mwanzo 15:4-6.

 

ENGLISH: CROWD AND CROWD.

This saying refers to a large gathering of people assembled around their leader. The people come together to thank their leader for guiding them well and protecting their village. Because of the great number of people gathered in unity, this assembly is called “crowd and crowd.”

This saying is compared to Christians who gather together to worship and thank God, who protects them in their lives. These Christians come together to praise God, and listen to Him through reading the Bible, as well as giving thanks for His goodness and protection. By living their Christian faith faithfully, they receive blessings and graces that enable them to live happily and peacefully in their families.

Just as the people gathered to thank their leader for his care and protection, Christians also gather to worship and thank God for His constant goodness and protection in their lives. For this reason, their gathering is also called “crowd and crowd.”

This saying teaches Christians the importance of living their faith well by obeying God’s commandments. By doing so, they receive blessings in their family life and are guided on the path that leads to Heaven.

Revelation 7:9.

Genesis 1:28–31.

Genesis 15:4–6.

 

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.