1439. ILIHO GWINDA UMUMAGANIKO.

Alihoyi munhu uyo oliokwililwa maganiko umung’holo yakwe. Umunhu ng’wunuyo wiganikaga bhuli mhayo gwene ugubhona gudimu duhu ugugutimija umukikalile kakwe. Aliyo ulu wiganika chiza amana igiki alinabho ubhudula ubho gugahebha amaganiko geneyo. Hunagwene agayomba giki, “iliho gwinda umumaganiko.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga gwiganika chiza mpaga odula gugamala makoye gakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagamalaga amakoye gakwe bho gwiganika chiza mpaga ojipandika inzila ja gugamala wangu kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalelaga abhanhu bha ha kaya yakwe bho gwikala na wiyumilija bho gugamala amakoye gabho chiza, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agadebha igiki adulile ugugamala amakoye gakwe ulu wiganika chiza, kunguno nuweyi agiyumilijaga bho gwiganika chiza mpaga ojipandika inzila ja gugamala wangu amakoye gakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “iliho gwinda umumaganiko.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gwiganika chiza mpaga bhajipandika inzila ja gugamala wangu amakoye gabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 22:39-42.

Mathayo 26:36-41.

Mathayo 27:3-5.

 

KISWAHILI: KUNA NJAMA KATIKA MAFIKIRIO.

Alikuwepo mtu aliyejawa mawazo moyoni mwake. Mtu huyo, alikuwa akifikiria kila jambo anaona kuwa ni gumu kulitelekeza katika maisha yake. Lakini akifikiri vizuri anaelewa kuwa anao uwezo wa kuyamaliza mawazo yake hayo. Ndiyo maana alisema kwamba, “kuna njama katika mafikirio.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatatua matatizo mengi kwa kuvumilia katika maisha yake. Mtu huyo, huyamaliza matatizo yake kwa kufikiri vizuri mpaka anazipata njia za kuyatatulia matatizo hayo, kwa sababu ya umakini wake huo maishani mwake. Yeye huwalea watu wa familia yake kwa kuishi katika uvumilivu wa kuyamaliza vizuri matatizo hayo, kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeelewa kuwa unao uwezo ya kuyamaliza mawazo yake akifikiri vizuri, kwa sababu naye huvumilia kwa kufikiria vizuri mpaka anazipata njia za kuyamaliza kwa haraka matatizo yake maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “kuna njama katika mafikirio.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kufikiria vizuri mpaka wanazipata njia za kuyamaliza kwa haraka matatizo yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Luka 22:39-42.

Mathayo 26:36-41.

Mathayo 27:3-5.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.