1431. MUMO MUGINENEJA SUNZU.

Aho kale olihoyi munhu uyo olina masunzu malihu ukuntwe gokwe. Umunhu ng’wunuyo agayundalaha unhamla nu ngikulu uyo alina myaka mingi kunguno ya gulihya masunzu gakwe genayo. Uweyi agaduma ugwitegeleja chiza igiki abhanhu bhenabho bhabhona miito mingi amiza na mab’i umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wila giki, “mumo mugineneja sunzu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhitilaga libhengwe abhatale bhakwe umukikalile kakwe. Umunhu ung’wunuyo, agitulaga bhumani bho guleka gubhadegeleka chiza abhatale bhakwe ulu bhalinanga kajile kawiza kunguno ya libhengwe yakwe linilo umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa ililange ilya guyilanhanila chiza ikaya yakwe kunguno ya libhengwe lwakwe linilo, ukubhatale bhakwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalihya masunzu uyubhadalaha unamhala nu ngikulu okwe, kunguno nuweyi agabhadalahaga abhatale bhakwe bho guleka gubhadegeleka chiza umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene bhagang’wilaga giki, “mumo mugineneja sunzu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleta gubhitila libhengwe abhatale bhabho bho gulikalana chiza ililange lyabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yoshua Bin Sira 8:6.

KISWAHILI: HATA MUREFUSHE SINGA.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyerefusha singa kichwani mwake. Mtu huyo alimdharau mzee na bibi aliyeishi miaka mingi kwa sababu ya kurefusha singa zake hizo. Yeye alikosa umakini wa kuelewa mwamba wazee hao wameona matendo mengi mema na mabaya katika maisha yao. Ndiyo maana wazee hao walimwambia kwamba, “hata murefushe singa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwafanyia dharau wakubwa wake katika maisha yake. Mtu huyo, hujidhania kujua zaidi kwa kuacha kuwasikiliza vizuri wakubwa wake wanapompatia malezi mema ya kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya dharau zake hizo, maishani mwake. Yeye hukosa malezi ya kuitunza vizuri familia yake kwa sababu ya dharau zake hizo kwa wakubwa wake hao, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyerefusha singa akawadharau wazee wake, kwa sababu naye huwadharau wakubwa wake wa kuacha kuyasikiliza vizuri malezi yao, maishani mwake. Ndiyo maana wakubwa wake hao humwambia kwamba, “hata murefushe singa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwadharau wakubwa wao kwa kuyasikiliza vizuri malezi yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Yoshua Bin Sira 8:6.

ENGLISH: EVEN THOUGH YOU GROW LONG HAIR.

Once upon a time there was a man who grew long hair on his head. Such man despised an old man and a woman who had lived for many years because of his long hairs. He lacked an attention to understand that elders had seen many decent and evil deeds in their lives. That is why the elders told him that, “even though you grow long hair.”

This saying is equaled to a person who despises his elders in his life. This person thinks that he knows more by not listening to his elders when they give him good upbringing to live well with people, because of his contempt, in his life. He lacks an upbringing to take decent care of his family because of his contempt for his elders, in his life.

This person is like the one who grew long hair and despised his elders, because he also despises his elders for not listening to their upbringing, in his life. That is why his elders tell him that, “even though you grow long hair.”

This saying imparts in people an idea of stopping to despise their elders by listening carefully to their upbringing, so that they can raise their families well, throughout their lives.

Joshua Bin Sira 8:6.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.