Oho kale olihoyi munhu uyo odimaga mitugo gwingila diyu mpaka mhindi. Undimi ng’wunuyo, ajidimiga imitugo ijo janhililaga bho nduhu ugulwa uweyi mpaga ogwisha nzala. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ngoyeji ob’iye.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhagoyelaga chiza abhanhu bhakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gubhagoyela abhanhu bhakwe bho gubhalela na kubhachobheja jiliwa chiza kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho. Uweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe yiniyo kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho ubho gubhagoyela chiza abhanhu bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ndimi o mitugo uyo janhililaga bho nduhu ugulya uweyi mpaga ogwisha nzala, kunguno nuweyi agabhagoyelaga chiza abhanhu bhakwe bho gubhalela chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ngoyeji ob’iye.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gubhagoyelaga chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.
Yohana 10:11-18.
Ufunuo 7:17.
KISWAHILI: MTUNZAJI WA WENZAKE.
Hapo zamani alikiwepo mtu aliyekuwa akichunga mfugo kuanzia asubuhi mpaka jioni. Mchungaji huyo aliwachunga mifugo waliokuwa wakila bila ya yeye kula akishinda njaa kutwa nzima. Ndiyo maana watu humuita jina la “mtunzaji wa wenzake.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwajali vizuri watu wake katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kuwajali watu wake hao kwa kuwalea na kuwatafutia chakula vizuri kwa sababu ya uaminifu wake huo maishani mwake. Yeye huwalea vizuri watu wa kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kuwajali vizuri katika maisha yake hayo.
Mtu huyo hufanana na yule mchungaji wa mifugo aliyewalisha mifugo kutwa nzima bila ya yeye kula, kwa sababu naye huwajali vizuri watu wake hao kwa kuwalea vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “mtunzaji wa wenzake.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuwajali vizuri watu wao, ili waweze kuziendeleza vyema familia zao, maishani mwao.
Yohana 10:11-18.
Ufunuo 7:17.
ENGLISH: KEEPERS OF ASSOCIATES.
Once upon a time, there was a man who grazed livestock from morning to evening. The shepherd grazed the livestock that were eating without him eating, overcoming hunger all day long. That is why people call him the “keeper of his associates.”
This saying is equaled to a person who takes good care of his people in his life. This person, strives to take care of his people by raising them and finding decent food for them because of his loyalty in his life. He takes respectable care of the people in his family because of his loyalty in taking upright care of them in his life.
This person resembles the shepherd who grazed the livestock all day long without him eating, because he also takes virtuous care of his people by raising them well, in his life. That is why people call him the “keeper of his associates.”
This saying teaches people about having loyalty of taking respectable care of their people, so that they can develop their family lives.
John 10:11-18.
Revelation 7:17.


