Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile ligusha lya bhanigini. Abhanigini bhenabho bhagasolaga magobo bhagibhala kungongo kunguno bhagagagemanijaga na bhana bhabho. Abhoyi bhagabhizaga guti bhibhalaga bhana ukumigongo yabho aliyo gashinaga yaya bhadibhana. Hunagwene abhanhu bhagagitanaga giki “ng’wana wigobo.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aling’wigashi aha kaya iyo ading’wana ogubyalilwa hoyi, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agatumamaga imilimo ya hakaya yiniyo bho nduhu ubhukalalwa kunguno akomile gwinga hoyi ikanza lyoselyose aha kaya yiniyo iki adabyalilwe hoyi, umuwikaji bhokwe. Uweyi adapandikaga amatwajo amingi kunguno ya gutumama milimo yakwe hado hado osamila kungi, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana wigobo uyo adionhana, kunguno nuweyi agigashaga ahadoo osamila kungi umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ng’wana wigobo.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwikala chiza na bhana abho bhaligashi duhu umukaya jabho, kugiki bhadule gwiyambilijaga ugujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Yeremia 17:5.
KISWAHILI: MTOTO WA KOPO.
Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya mchezo wa watoto. Watoto hao huchukua makopo na kuyabeba mgongoni mwao kwa sababu ya kuyafananisha na watoto wao. Wao huonekana kama wamebeba watoto kwenye migongo yao hiyo wakati siyo watoto wa ukweli. Ndiyo maana watu huyaita makopo hayo kuwa ni “mtoto wa kopo.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mkaaji wa kwenye familia ambayo hakuzaliwa hapo, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi zake akiwa legelege kwa sababu ya kuelewa kwamba, anaweza kuondoka pale wakati wowote ule, maishani mwake. Yeye hushindwa kupata mafanikio mengi kwa sababu ya kufanya kazi bila ya kujituma sawasawa, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule mtoto wa kopo ambaye siyo mzaliwa wa kwenye kwenye familia anayoishi, kwa sababu naye huishi kwa kuhamahama hivyo katika maisha yake. Ndiyo maana watu humuita kuwa ni “mtoto wa kopo.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuishi vizuri na watoto wale wasiokuwa watoto wao, ili waweze kusaidiana katika kuendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.
Yeremia 17:5.
ENGLISH: CANISTER CHILD.
The origin of the overhead saying talks about a children’s game. These children take cans and carry them on their backs because they compare them to their children. They appear as if they are carrying children on their backs when they are not real children. That is why people call these cans “canister child.”
This saying is equated to a person who is a resident of a family that he was not born there, in his life. This person does his works lazily because he understands that he can leave there at any time, in his life. He fails to achieve much success because of working without putting in the same effort in his life.
This person resembles the can child who is not born in the family where he lives in, because he also lives by moving around like that in his life. That is why people call him a “canister child.”
This saying imparts in people an idea of living well with children who are not their own, so that they can help each other in developing their family lives.
Jeremiah 17:5.



