Aho kale olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo olina mito mab’i gagwiyoja na bhiye kunguno ya nhungwa jakwe ijabhub’i jinijo. Uweyi agapandika jilipilo ng’wa welelo, Ng’wa mudimi kunguno ya gwita mito mab’i genayo umuwikaji bhokwe. Hungwene abhanhu bhayomba giki, “lyub’a lyang’olota.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adadililaga amalagilo ga ng’wa Mulungu bho gwita mito masoga umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agagabhinzaga amalagilo ga ng’wa Mulungu bho gubhikolosha abhiye kunguno ya nhinda jakwe ijagulema kudilila gwita mito masoga umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agadumaga ugwikala chiza na bhanhu bha aha kaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijabhub’i jinijo, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo witaga mito mab’i mpaga upandika jilipilo kuli Mudimi, kunguno nuweyi agabhikoloshoga abhiye mpaga oduma ugwikala chiza na bhanhu bha ha kaya yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “Lyub’a lyang’olota.”
Akahayile kenako kalanga bhazunya higulya ya gubhiza na witegeleja bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Mulungu kugiki bhadule kupandika mbango ja gujilela chiza ikaya jabho mpaga bhashige ng’wigulu.
Kutoka 20:1-12.
KISWAHILI: MUNGU KAMUNYOSHEA KIDOLE.
Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo alikuwa na matendo maovu ya kuzozana na wenzake kwa sababu ya tabia yake mbaya. Yeye alipata adhabu kutoka kwa Mungu. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “Mungu kamunyoshea kidole.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hajali maagizo ya Mungu kwa kutenda matendo mema katika maisha yake. Mtu huyo, huyavunja maagizo ya Mungu kwa kuwachokoza wenzake kwa sababu ya kiburi chake cha kukataa kutenda mema, maishani mwake. Yeye hushindwa kuishi vizuri na watu wa kwenye familia yake kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kutenda maovu, katika maisha yake hayo.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyetenda maovu mpaka akaadhibiwa na Mungu, kwa sababu naye huwachokoza wenzake mpaka anashindwa kuishi vizuri na watu wa kwenye familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “Mungu kamunyoshea kidole.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyaishi maagizo ya Mungu ili waweze kupata baraka za kuzilea vyema familia zao mpaka wafike mbinguni.
Kutoka 20:1-12.
ENGLISH: GOD HAS POINTED HIS FINGER AT HIM.
Once upon a time, there was a man who lived in a certain village. Such man had evil deeds of quarreling with his companions because of his wicked behavior. He received punishment from God. That is why people said about him that, “God has pointed his finger at him.”
This saying is related to a person who does not care about God’s instructions in his life. This person breaks God’s instructions by provoking his companions because of his pride in refusing to do good deeds in his life. He fails to live well with his family members because of his behavior of doing evils in his life.
This person is like the one who did evils until he was punished by God, because he also provokes his companions until he fails to live well with his family members in his life. That is why people say about him that, “God has pointed his finger at him.”
This saying teaches people about being careful enough to live according to God’s commandments so that they can receive blessings of raising their families well until they reach heaven.
Exodus 20:1-12.



