Aho kale olihoyi nhimi uyo olimilaga ligembe lya makono. Unhimi ng’wunuyo olialisanije iligembe lyakwe linilo kunguno olilimilaga chiza mpaga lyang’wenhela jiliwa aha kaya yakwe. Uweyi olidimilaga china iligembe linilo guti numo agabhukikaja ng’wana ng’welele, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayomba giki, “igembe nagema ng’welele.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhutungilija bho gwihanda gutumama chiza nimo uyo gugang’wenhelaga jiliwa, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agihandaga gugudumama unimo gokwe bho gubhalanga abhanhu bhakwe higulya ya gwigulambija kugugutumama chiza mpaga gobhapandikila jiliwa, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga jiliwa ja gulya chiza bhuli ng’waka aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho ubho gwigulambija gugutumama chiza unimo gokwe gunuyo, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu nhimi uyo olilimilaga chiza iligembe lyakwe mpaga lya ng’wenhela jiliwa aha kaya yakwe, kunguno nuweyi agagudimilaga chiza unimo gokwe gunuyo bho gwigulambija gugutumama chiza mpaga opandika jiliwa ja gulya chiza aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “igembe nagema ng’welele.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gwigulambija guyitumama chiza imilimo yabho iyo igabhenhelaga jiliwa, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumamila chiza umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.
Mwanzo 3:19.
Mithali 24:27.
KISWAHILI: JEMBE NIMEJARIBU MTOTO MCHANGA
Hapo zamani alikuwepo mkulima aliyelimia jembe la mkono. Mkuliwa huyo alilitegemea jembe lake hilo kwa sababu ya kulilimia vizuri mpaka linamletea chakula kwenye familia yake. Yeye alilishikilia vizuri jembe hilo kama anavyobeba mtoto mchanga, maishani mwake. Ndiyo maana alisema kwamba, “jembe nimejaribu mtoto mchanga.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujikaza kuifanya vizuri kazi ile ambayo humletea chakula, katika maisha yake. Mtu huyo, huishikilia kazi yake hiyo kwa kuwafundisha watu juu ya kujibidisha kuitekeleza vizuri mpaka inawapatia chakula, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani mwake. Yeye hupata chakula cha kula vizuri kila mwaka kwenye familia yake kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kujibidisha kuitekeleza vizuri kazi yake hiyo, katika maisha yake hayo.
Mtu huyo hufanana na yule mkulima aliyelilimia vizuri jembe lake mpaka likamletea chakula kwenye familia yake, kwa sababu naye hujibidisha kuitekeleza vizuri kazi yake hiyo mpaka inamletea chakula cha kula kila mwaka kwenye familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “jembe nimejaribu mtoto mchanga.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kujibidisha kuzitekeleza vizuri kazi zao zinazowaletea chakula, ili waweze kupata mali za kutumia vizuri katika familia zao, maishani mwao.
Mwanzo 3:19.
Mithali 24:27.
ENGLISH: A HOE HAS TESTED A BABY.
Once upon a time, there was a farmer who cultivated farms by using a hand hoe. This farmer relied on his hoe because it worked well until it brought food to his family. He held the hoe tightly like he was carrying a baby, in his life. That is why he said that, “a hoe has tested a baby.”
This saying is equaled to a person who strives to do well the work that brings him food, in his life. Such person holds on to his work by teaching people about working hard enough to do it well until it provides them with food, because of his loyalty, in his life. He gets good food to eat every year for his family because of his loyalty to work hard enough to finish well his work in his life.
This person resembles the farmer who cultivated his farm until it brought food to his family, because he also strives to carry out his work well until it brings food to his family every year, in his life. That is why he says that, “a hoe has tested a baby.”
This proverb teaches people about being honest enough to carry out their work well that brings them food, so that they can obtain wealth for using well in their families, in their lives.
Genesis 3:19.
Proverbs 24:27.



