1414. UGENIHA B’UGENI UGULONJIWA NDUHU.

Akahayile kenako kahoyelile jisumva ijo jigingilaga mukaya bho nduhu ugulongiwa na bhinikili kaya yiniyo.  Ijisumva jinijo jili guti jilungu mifa, danga, nole, nulu jigona ijijigingilaga umukaya ijo jidalongiyagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ugeniha b’ugeni ugulonjiwa nduhu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhadililaga abhageni ulu bhizaga aha kaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adabhadililaga abhageni abho bhagangenihaga bho nduhu agubhazugila ijiliwa aha kaya yakwe, kunguno ya wiminholo bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe, kunguno ya gukija ugubhalonja abhageni abho bhangenihaga, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo adajilonjaga ijisumva ijo jingilaga umukaya yakwe, kunguno nuweyi adabhalonjaga abhageni abho bhagangenihaga aha kaya yakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhageni bhenabho bhagayombaga giki, “ugeniha b’ugeni ugulonjiwa nduhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizanholo bho gubhalonja abhageni abho abha bhagabhagenihaga, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala na bhuyegi umukaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:35-41.

Matendo 10:28.

Warumi 12:13.

1Thimotheo 5:10.

KISWAHILI: UMEENDA UGENINI LAKINI HAWAKUJALI.

Msemo huo huongelea viumbe wanaoingia nyumbani bila mwenye nyumba kuwajali. Viumbe hayo ni kama vile kilungu yeye, chura, mijusi, na wengine ambayo ni jamii ya hao ambao huingia kwenye nyumba ya mtu bila ya yeye kuwajali. Ndiyo maana watu husema kwamba, “umeenda ugenini lakini hawakujali.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hawajali wageni wanaomtembelea kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hawajali bhageni ambao humtembelea kuwaacha bila kuwapikia chakula kwenye familia yake, kwa sababu ya uchoyo wake huo maishani mwake. Yeye hukosa baraka za kuishi kwa furaha kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya uchoyo wake huo wa kutowajali wageni wanaomtembelea, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule ambaye hakuwajali viumbe walioingia nyumbani kwake, kwa sababu naye hawajali wageni wanaomtembelea kwenye familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana wageni hao husema kwamba, “umeenda ugenini lakini hawakujali.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwajali wageni wanaowatembelea nyumbani mwao, ili waweze kupata baraka za kuishi kwa furaha katika familia zao, maishani mwao.

Mathayo 25:35-41.

Matendo 10:28.

Warumi 12:13.

1Thimotheo 5:10.

 

ENGLISH: YOU HAVE BEEN A STRANGER BUT THEY DO NOT CARE YOU.

This saying refers to creatures which enter a house without the owner paying attention to them. These creatures are like deer, frogs, lizards, and others which are a type of those that enter a person’s house without him paying attention to them. That is why people say that, “you have been a stranger but they do not care you.”

This saying is equated to a person who does not care about guests who visit his family, in his life. Such person does not take care about visitors who visit him by leaving them without cooking food for them, because of his greed in his life. He misses blessings of living happily in his family because of his greed of not taking care about visitants who visit him in his life.

This person is like the one who did not care about the creatures that entered his house, because he also does not take care about guests who visit his family, in his life. That is why those guests say that, “you have been a stranger but they do not care you.”

This saying imparts in people an idea of being hospitable and considerate of strangers who visit their homes, so that they can experience blessings of living happily in their family lives.

Matthew 25:35-41.

Acts 10:28.

Romans 12:13.

1 Timothy 5:10.

 

 

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.