Abhakamba bhali bhanhu abho bhadimalaga kajile kabho chiza kihamo na bhaloha. Abhakamba bhenabho bhalibha kulyandi abho bhatumamaga milimo yabho bho ng’wigwano gutale kunguno ya gugadimila chiza amalagilo gabho umuwikaji bhobho. Abhoyi umubhutumami bhobho galigadikumwaga amagembe gabho ulu bhalilima, ulu gikumwa bhugodoka guja kaya mumho bhalemaga abhakamba kunguno ya gugadimila chiza amalagilo gabho genayo. Hunagwene ulu gikumwaga amagembe gabho bhiwilaga kushoka kaya bho guyomba giki, “bhalemaga abhakamba.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhagagadimilaga chiza amalagilo ga bhatale bhabho, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagatumamaga milimo yabho bho ng’wigwano go gugadimila chiza amalagilo ga bhatale bhabho kunguno ya witegeleja bhobho bhunubho umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga na bhuyegi bhutale umukaya jabho kunguno ya witegeleja bhobho ubho gugadimila chiza amalagilo ga bhatale bhabho, umukikalile kabho kenako.
Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhakamba abho bhagadimilaga chiza amalagilo ga bhatale bhabho mpaga bhabhiza na ng’wigwano gutale, kunguno nabhoyi bhagagadimilaga chiza amalagilo ga bhatale bhabho mpaga bhikala na bhugegi umukaya jabho. Hunagwene abhagayombaga giki, “bhalemaga abhakamba.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gugadimila chiza amalagilo ga bhatale bhabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi umukaya jabho.
1Wakorintho 10:16.
2Wakorintho 13:14.
Wafilipi 1:5.
Wafilipi 2:1.
1 Yohane 1:3-4.
KISWAHILI: WAKAMBA WAMEKATAA.
Wakamba ni watu walioshika desturi zao vizuri pamoja na Baloha. Wakamba hao wa kulyandi pamoja na baloha walifanya kazi zao kwa ushirikiano mkubwa kwa sababu ya kuyashikiria vizuri maagizo yao, maishani mwao. Wao wanapofanya kazi ya kulima majembe yalikuwa hayagusani, yakigusana walirudi nyumbani maana yake wamekataa wakamba kwa sababu ya kuyashikilia vizuri maagizo yao. Ndiyo maana yalipogusana majembe yao waliambiana kurudi nyumbani kwa kusema kwamba, “Wakamba wamekataa.”
Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale wanaoyashikiria vizuri maagizo ya viongozi wao katika maisha yao. Watu hao, huyatekeleza majukumu yao kwa ushirikiano wa kuyashikiria maagizo ya viongozi wao kwa sababu ya umakini wao huo maishani mwao. Wao huishi kwa furaha kubwa katika familia zao kwa sababu ya kuyashikiria vizuri maagizo ya viongozi wao, katika maisha yao hayo.
Watu hao hufanana na wakamba walioyashikiria vizuri maagizo yao mpaka wakawa na ushirikiano mkubwa katika kazi zao, kwa sababu nao huyashikiria vizuri maagizo ya viongozi wao mpaka wanapata furaha kubwa katika familia zao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “wakamba wamekataa.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyashikiria vizuri maagizo ya viongozi wao, ili waweze kuwa na furaha kubwa katika maisha yao.
1Wakorintho 10:16.
2Wakorintho 13:14.
Wafilipi 1:5.
Wafilipi 2:1.
1 Yohane 1:3-4.
ENGLISH: THE KAMBA HAVE REFUSED.
The Kamba are a people who have kept their traditions well together with the Baloha. The Kamba of ridge and the Baloha did their works in great cooperation because they followed their instructions well, in their lives. When they were working by cultivating their land using hand hoes, they did not allow their hoes to touch each other, if they touched each other they returned home, meaning that the Kamba had rejected because of following their instructions well. That is why when their hoes touched each other, they told each other to return home by saying that, “The Kamba have refused.”
This saying is compared to people who follow instructions of their leaders well in their lives. These people carry out their duties in cooperation by following instructions of their leaders because of their paying attention to their lives. They live very happily in their families because of following instructions of their leaders, in their lives.
These people are like those who have followed their leaders’ instructions well until they have great cooperation in their works, because they also follow instructions of their leaders well until they find great happiness in their families. That is why they say that, “the Kamba have refused.”
This saying teaches people about being watchful enough to follow the instructions of their leaders well, so that they can have great happiness in their lives.
1 Corinthians 10:16.
2 Corinthians 13:14.
Philippians 1:5.
Philippians 2:1.
1 John 1:3-4.


