Akahayile kenako kahoyelile kalambile kwa gwibhona na munhu nhebhe uyo olidabhayelelaga abhiye umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo oliolamba giti luyilo lwa shi, kunguno ishi igikalaga muminzi umodijinogu uguila. Hunagwene umunhu ng’wunuyo aho bhamona abhiye bhagang’wila giki “olambile giti luyiyo lwa shi (ndilo).”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adagishaga bhaduguye umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga aha kaya yakwe agutumamaga milimo yakwe duhu bho nduhu ugubhagisha abhadugu bhakwe lunu bhapandikaga makoye, kunguno ya bhudidalonja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga mayange aha kaya yakwe ogayiwa abhadugu abhagwiza gungisha kunguno ya bhujidalonja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo wikalaga miaka mingi bho nduhu ugubhagisha abhadugu bhakwe kunguno nuweyi agikalaga ha kaya yakwe bho nduhu ubhudiliji bho gubhagisha abhadugu bhakwe umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhadugu bhakwe bhenabho bhagang’wilaga giki, “olambile giti luyiyo lwa shi (ndilo).”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhudiliji bho gwigisha na bhadugu bhabho ulu bhikumbulaga kugiki bhadule gwiyambilija chiza, umukaya jabho.
Waebrania 12:14.
KISWAHILI: UMEADIMIKA KAMA JASHO LA SAMAKI (KITOWEO).
Msemo huo huongelea juu ya kuadimika kwa mtu yule ambaye alikuwa hawatembelei wenzake maishani mwake. Mtu huyo, aliadimika kama jasho la samaki kwa sababu, samaki huiishi majini kwenye hali ambayo hawezi kutoka jabho. Ndiyo maana watu walipomuona mtu huyo walimwambia kwamba, “umeadimika kama jasho la samaki (kitoweo).”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hasalimii ndugu zake katika maisha yake. Mtu huyo, hukaa nyumbani kwake akiendelea na kazi zake bila ya kwenda kuwasalimia ndugu zake kwa sababu ya kutokujali kwake, maishani mwake. Yeye hupata shida ya kukosa ndugu wa kumsalimia anapokumbwa na matatizo kwa sababu ya kutokujali kwake huko katika maisha yake hayo.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyeishi kwa miaka mingi bila kuwasalimia ndugu zake, kwa sababu naye hukaa nyumbani kwake bila kujali umuhimu wa kuwasalimia ndugu zake, maishani mwake. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba, “umeadimika kama jasho la samaki (kitoweo).”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na hali ya kujali umuhimu wa kuwasalimia ndugu zao wanapokumbukana, ili waweze kusaidiana vizuri, katika familia zao.
Waebrania 12:14.
ENGLISH: YOU HAVE BECOME EXPENSIVE LIKE SWEAT OF A FISH.
This saying talks about a person who did not visit his friends for a long time in his life. Such person, became costly like fish’s sweat because, fish live in water in a state where they cannot get out of the water enough to sweat. That is why when people saw that person, they told him that, “You have become expensive like sweat of a fish.”
This saying is equated to a person who does not greet his relatives in his life. Such person, stays at home continuing with his works without going to greet his associates because of his indifference, in his life. He experiences difficult of not having relative to greet him when he has difficulties because of his indifference in his life.
This person, resembles the one who lived for many years without greeting his associates, because he also stays at home without considering an importance of greeting them, in his life. That is why the people tell him that, “You have become expensive like sweat of a fish.”
This saying teaches people about meaning of greeting their relatives when they remember each other, so that they can help each other well, in their families.
Hebrews 12:14.


