Olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo, otulaga bhupilipili umujiliwa jakwe mpaga bhaduma abhangi ujilya kunguno ya gukaliha guti bhalyaga bhupilili wenikili. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “abhinhaga abhanhu bhupilipili.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu nchilu uyo agabhakalihilaga sagala abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga ubhadukagula sagala abhanhu bhakwe ulu okenyiyagwa nulu hadoo duhu, kunguno ya bhukali bhokwe ubho sagala bhunubho. Uweyi obhadukagulaga abhanhu bha ha kaya yakwe mpaga bhasatya umu ng’holo jabho gitumumo bhugasatijaga ubhupilipili kunguno ya bhukali bho mihayo iyo abhawilaga yiniyo. Abhanhu bhakwe bhenabho bhangigaga aha ng’wakwe osaga bhung’wene kunguno ya bhukali bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agatuula bhupilipili umujiliwa jakwe mpaga bhuduma ugujilwa ijiliwa jinijo abhiye, kunguno nuweyi agabhawilaga mihayo mikali abhanhu bhakwe mpaga bhasatya umu ng’holo jabho guti bhalyaga bhupilipili. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “abhinhaga abhanhu bhupilipili.”
Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya guleka gubhawila mihayo ya gubhaminya abhanhu bhabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhokwe bhunubho.
Yoshua Bin Sira 7:8.
Yoshua Bin Sira 8:15.
KISWAHILI: AMEWAPA WATU PILIPILI.
Alikuwepo mtu aliyeishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo, alikuwa alikiweka pilipili kwenye chakula chake mpaka watu wengine wanashindwa kukila kwa sababu ya kuwaumiza kama wanakula pilipili wanapokila chakula hicho. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “amewapa watu pilipili.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule aliye na hasira ya kuwafokea watu hovyo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwatukana hovyo watu wake anakosewa kidogo kwa sababu ya hasira yake hiyo ya hovyo, maishani mwake. Yeye huwaumiza watu waishio kwenye familia yake kwa kuwakaripia kupitia maneno ambayo huwaumiza mpaga wanaondoka nyumbani kwake hapo na kumuacha pekee yake kwa sababu ya hasira zake hizo za hovyo, katika maisha yake.
Mtu huyo hufanana na yule aliyeweka pilipili kwenye chakula chake mpaka wengine wakashindwa kukila, kwa sababu naye huwatukana watu wake kwa kutumia maneno makali mpaka wanaondoka nyumbani kwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amewapa watu pilipili.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwaambia watu wao maneno ya kuumiza mioyo yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.
Yoshua Bin Sira 7:8.
Yoshua Bin Sira 8:15.
ENGLISH: HE GAVE PEOPLE PEPPER.
There was a man who lived in a certain village. Such man used to put pepper in his food until other people could not eat it because it hurt them if they ate pepper when eating that food. That is why people told him that, “he gave people pepper.”
This proverb is related to a person who is angry and shouts at people in his life. This man insults his people in this way when he is offended even a little because of his anger in his life. He hurts people who live in his family by scolding them through words that hurt them so much that they leave his house by letting him remain alone because of his anger in his life.
This man resembles the one who put pepper in his food until others could not eat it, because he also insults his people by using harsh words until they leave his house. That is why people told him that, “he gave people pepper.”
This proverb instills in people an idea of stopping habit of saying hurtful words to their family members, so that they can raise their families well in their lives.
Joshua 7:8.
Joshua 8:15.




esteemed! AI Helps Decode Dreams with High Accuracy 2025 astonishing
LikeLike
nice
LikeLike
LikeLike