1376. IYINIYO NG’HANJO IZWALILAGE GUNTWE.

Alihoyi munhu uyo agangulila ng’hanjo ng’wana okwe. Aliyo lulu ung’wana okwe ng’wunuyo agaduma uguizwala aho winhiwa ing’hanjo yiniyo kunguno oliadaimanile. Hunagwene umyaji okwe ng’wunuyo agang’wila giki, “iyiniyo ng’hanjo izwalilage guntwe.”

Akahayike kenako kagalenganijiyagwa kubhatongezi abho bhagabhatongelaga chiza abhanhu bhabho umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagalitumilaga ilikanza lyabho bho gubhalanga abhanhu bhabho akatumamile ka jikolo jabho bho gwikala chiza na bhanhu, kunguno ya bhutungilija bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.  Abhoyi bhagikalaga na bhuyegi bhutale umuchalo jabho kunguno ya gubhatongela chiza abhanhu bhabho bhenabho umubhutongeji bhobho.

Abhatongeji bhenabho bhagikolaga nu myaji uyo agananga ng’wana okwe guzwala ng’hanjo chiza, kunguno nabhoyi bhagabhalangaga abhanhu bhabho ugujitumamila chiza ijikolo jabho bho gwikala chiza na bhanhu, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagabhawilaga abhanhu bhabho giki, “iyiniyo ng’hanjo izwalilage guntwe.”

Akahayile kenako kalanga bhatongeji higulya ya kubhalanga abhanhu bhabho nzila ja gujitumamila chiza isabho jabho bho gwikala chiza na bhabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhutale umubhutongeji bhobho bhunubho.

Walawi 16:4.

2 Samweli 13:18a.

Ufunuo 1:13.

KISWAHILI: HIYO NI KANZU IVALIE KICHWANI.

Alikuwepo mtu mmoja aliyemununulia mtoto wake kanzu. Lakini mtoto huyo alishindwa kuivaa hiyo kanzu kwa sababu alikuwa hajaifahamu. Ndiyo maana mzazi wake huyo alimfundisha namna ya kuivaa kwa kumwambia kwamba, “hiyo ni kanzu ivalie kichwani.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa viongozi wale ambao huwaongoza vizuri watu wao, katika maisha yao. Viongozi hayo, huutumia muda wao kwa kuwafundisha watu wao namna na kuvitumia vizuri mali zao kwa kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya uaminifu wao huo. Wao huishi kwa furaha kubwa katika nchi zao kwa sababu ya kuwafundisha watu wao namna ya kuzitumia mali zao kwa kuishi vizuri na watu wao, katika uongozi wao.

Viongozi hao hufanana na yule mzazi aliyemfundiswa mtoto wake namna ya kuivaa vizuri kanzu yake, kwa sababu nao huwafundisha watu wao namna ya kuvitumia vitu vyao kwa kuishi vizuri na watu wao, maishani mwao. Ndiyo maana wao huwaambia watu wao kwamba, “hiyo ni kanzu ivalie kichwani.”

Msemo huo hufundisha viongozi juu ya kuwafundisha wao namna ya kuzitumami mali zao kwa kuishi vizuri na watu wao, ili waweze kuwa na furaha kubwa katika uongozi wao.

Walawi 16:4.

2 Samweli 13:18a.

Ufunuo 1:13.

ENGLISH: THAT IS A COAT WEAR IT ON THE HEAD.

There was a man who bought his son a coat. But the son failed to wear the coat because he did not know it. That is why his parent taught him on how to wear it by telling him that, “that is a coat wear it on the head.”

This saying is matched to those leaders who lead their people well, in their lives. These leaders spend their time by teaching their people on how to use their wealth well to live well with the people, because of their loyalty. They live very happily in their countries because they teach their people on how to use their wealth well enough to live well with their people in their leadership.

These leaders are like the parent who taught his son on how to wear his coat well, because they also teach their people on how to use their possessions enough to live well with their people, in their lives. That is why they tell their people that, “that is a coat wear it on the head.”

This proverb imparts in leaders an idea on how to manage their resources by living well with their people, so that they can have great joy in their leadership.

Leviticus 16:4.

2 Samuel 13:18a.

Revelation 1:13.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.