Imbuki ya kahayile kenako ilolile ningi uyo wikalaga mubhutemi bho Buduhe. Uningi ng’wunuyo olinkumuku noyi kunguno wimbaga chiza mpaga abhadegeleki bhakwe bhatogwa. Uweyi oliagutolilwe noyi unimo gokwe gunuyo. Hunagwene agayomba giki, “nadoya ugutula ig’uda.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli untumami omilimo uyo agaitumamaga chiza imilimo yakwe yiniyo umuwikaji bhokwe. Untumami ng’wunuyo, agandyaga uguitumama imilimo yakwe nulu lyashiga duhu ilikanza lyayo iyo agaitumamaga chiza mpaga lyashila ilikanza linilo bho nduhu ugwilendeja, kunguno oliaitogilwe noyi imilimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe kunguno ya bhukamu bhokwe bhunubho ubho guitumama chiza imilimo yakwe umukikalile kakwe kenako.
Untumami ng’wunuyo, agikolaga nu ningi uyo oliagutogilwe unimo gokwe mpaga ogutumamaga chiza, kunguno nuweyi aitogilwe imilimo yakwe iyo agaitumamaga mpaga oyimala chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “nadoya ugutula ig’uda.”
Akahayile kenako kalanga bhatumami higulya ya golecha bhutogwa ukumilimo yabho bho guitumama chiza imilimo yabho yiniyo mpaga bhaimala, kugiki bhadule gupandika sabho ningi umukaya jabho jinijo umuwikaji bhobho bhunubho.
Mathayo 10:22.
Yakobo 5:7- 8.
Ufunuo 8:3.
KISWAHILI: SITAACHA KUPIGA NGAO.
Chanzo cha msemo huo huangalia manju aliyeishi kwenye utawala wa Buduhe. Manju huyo alijulikana sana kwa sababu ya umaarufu wake wa kuimba vizuri mpaka wasikilizaji wake wanafurahi. Yeye aliipenda sana kazi yake hiyo ya kuimba. Ndiyo maana alisema kwamba, “sitaacha kupiga ngao.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mfanyakazi yule ambaye huzitekeleza vizuri kazi zake maishani mwake. Mfanyakazi huyo, huanza kuyatekeleza vizuri majukumu yake unapofika muda wa kazi hizo mpaka unaisha muda huo, kwa sababu anazipenda vizuri kazi zake hizo, katika maisha yake. Yeye hupata mali nyingi katika familia yake hiyo kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kuyatekeleza vizuri majukumu yake, maishani mwake.
Mfanyakazi huyo, hufanana na yule manju aliyeipenda kazi yake mpaka akaitekeleza vizuri, kwa sababu naye anazipenda kazi zake hizo ambazo huzitekeleza vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “sitaacha kupiga ngao.”
Msemo huo, hufundisha wafanyakazi juu ya kuonesha namna wanavyozipenda kazi zao kwa kuzitekeleza vizuri mpaka wanazimaliza, ili waweze kupata mali nyingi katika familia zao, maishani mwao.
Mathayo 10:22.
Yakobo 5:7- 8.
Ufunuo 8:3.
ENGLISH: I WILL NOT STOP BEATING THE SHIELD.
The origin of this saying is based on a traditional dance leader who lived during the supremacy of Buduhe. Such leader was very famous for his fame of singing well until his listeners were happy. He liked his singing very much. That is why he said, “I will not stop beating the shield.”
This saying is related to a worker who performs his duties well in his life. This worker begins to perform his duties well when the time for those duties arrives until the time is over, because he likes his duties well, in his life. He earns a lot of wealth in his family because of his diligence in performing his duties well, in his life.
This worker is similar to the traditional dance leader who liked his work until he performed it well, because he also likes his duties that he performs well, in his life. That is why he says, “I will not stop beating the shield.”
This saying imparts in people an idea of showing how much they like their jobs by doing them well until they finish them, so that they can gain many riches in their families.
Matthew 10:22.
James 5:7- 8.
Revelation 8:3.


