Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile wisolelwa bho ng’wa munhu nhebhe. Umunhu ng’wunuyo, ocholagwa na ng’wiye uyo ojaga agumugilijaga kubhanhu bha mumachalo mingi mpaka nose ugampandikila muchalo ja kule. Hunagwene abhanhu abha ha kaya ya ng’wa munhu uyo oncholaga ng’wiye bhagayomba giki ukulincholwa ng’wunuyo, “wisolelelwa kule.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli ngosha uyo ocholaga nkima ogutola mpaga umpandika, umukikalile kakwe. Ungosha ng’winuyo, agiyangula kunchola unkima uyo antogilwe mpaga umpandika bho nduhu ugugwa nholo kunguno ya witegeleja bhokwe bhonubho umubhutoji bhokwe. Uweyi agikala chiza noyi nu nkima okwe aha kaya yabho kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gunchola mpaga umpandika unkima uokajile kawiza, umuwitoji bhobho.
Ungosha ung’wunuyo agikolaga nu munhu uyo aganchola ng’wiye uyo oliantogilwe mpaga ugampandikila kule, kunguno nuweyi aganchola unkima uyo antogilwe mpaga umpandika umuwikaji bhokwe bhonubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga unke okwe ng’wunuyo giki, “wisolelelwa kule.”
Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya gubhiza na witegeleja bho gunchola ng’witoji uyo alina nhungwa jawiza mpaga bhampandike, kugiki bhadule gwikala chiza umuwitoji bhobho bhunubho.
Waefeso 5:21-27.
KISWAHILI: AMEOKOTEWA MBALI.
Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya upatikanaji wa mtu fulani aliyekuwa akitafutwa na mwenzake. Mtu huyo, alikuwa akitafutwa na mwenzake ambaye alienda akiwauliza watu wa vijiji mbalimbali mpaka mwishowe akamumpatia kwenye kijiji cha mbali sana na kumchukuwa hadi kwake. Ndiyo maana watu wa kwenye familia ya mtu aliyekuwa akimtafuta mwenzake walimwambia yule aliyeletwa kwao kwamba, “ameokotewa mbali.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mwanamume yule aliyetafuta mke wa kuoa mpaka akampata, katika maisha yake. Mwanamume huyo aliamua kumtafuta mke mwenye tabia njema aliyempenda mpaka akampata bila ya kukata tamaa kwa sababu ya umakini wake huo katika kuishi maisha ya ndoa. Yeye aliishi vizuri sana na mke wake huo kwenye familia yao kwa sababu ya umakini wake huo wa kumtafuta mpaka akampata mke mwenye tabia njema aliyempenda, maishani mwake.
Mwanamume huyo, hufanana na yule mtu aliyemtafuta mwenzake aliyempenda mpaka akampata, kwa sababu naye alimtafuta mke aliye mpenda mpaka akampata, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia huyo mke wake kwamba, “ameokotewa mbali.”
Msemo huo, hufundisha wana ndoa watarajiwa juu ya kuwa na umakini wa kumtafuta mwana ndoa mwenzao mtarajiwa mwenye tabia njema mpaka wampate ili waweze kuishi vizuri katika maisha yao hayo ya ndoa.
Waefeso 5:21-27.
ENGLISH: SHE HAS BEEN PICKED UP FROM A DISTANCE.
The starting point of this saying speaks about finding of someone who was being sought by his companion. There was a man who sought his companion. He went on asking people in various villages until he finally found her in a so distant village. He took her to his place. That is why family members of such person who brought home his companion spoke about her that, “She has been picked up from a distance.”
This saying is related to a man who searched for a wife to marry until he found her in his life. This man decided to look for a decent-nurtured wife whom he loved until he found her without giving up because of his attention in living a married life. He nicely lived with his wife in their family because of his responsiveness of looking for her until he found a decent-nurtured wife whom he loved in his life.
This man is similar to the one who sought for his companion whom he loved until he found her, because he also sought for a wife whom he loved until he found her in his life. That is why people speak about his wife that, “she has been picked up from a distance.”
This saying instills in forthcoming spouses an idea of being diligent enough to search for a respectable-nurtured prospective spouse until they find him/her so that they can happily live in their married lives.
Ephesians 5:21-27.


