1360. NOLEJI KUBHIYE.

Loleji kubiye lililina ilo agitanilagwa munhu uyo agihayaga giki agabhonaga kule kulebha abhiye. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga ubhalomela abhiye imihayo yakwe kunguno ya gwigimba giki ayimanile pye weyi iyo bhadayilolelaga abhiye bhenabho. Uweyi ahayile adegelekwe weyi duhu bho nduhu ugubhadegeleka abhiye umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “noleji kubhiye.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitulaga bhumani bho sagala umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitulaga giki ali mani osagala bho gwiyitya gumana majile ga bhangi nulu mumakaya ga bhangi, ukunu agubhaduhilijaga abhiye bho gubhitana giki bhalemelwa, kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, ubho gwitula bhumani bho sagala, umuwikaji bhokwe. Uweyi agalemelagwa uguyibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya gwitula bhumani bhunubho ubho sagala, na gubhadalahija abhiye, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo witulaga bhuloleji bho kule kulebha abhiye, kunguno nuweyi agitulaga bhumani bho pye gukila abhiye bho gubhadalahija abhiye aliyo adumile uguyibheja ikaya yakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “noleji kubhiye.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka bhudoshi bho gwitula bhumani bho sagala, kugiki bhadule gwikala ni kujo lya gubhambilija ugujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 7:1-6.

Luka 6:37.

KISWAHILI: MJUAJI KWA WENZAKE.

Mjuaji kwa wenzake ni jina aloitwa mtu yule ambaye hujidai kwamba anaona mbali kuliko wenzake. Mtu huyo, huwa anawasimulia wenzake maneno yakwe kwa sababu ya kujiona kwamba anajua yote yeye yale ambayo wenzake hawayaoni. Yeye hutaka asikilizwe yeye tu bila ya kuwasikiliza wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “mjuaji kwa wenzake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujitia kujua hovyo kuliko wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujitia kujua hovyo kwa kuyajua maisha ya wengine na familia za wenzake huku akiwadharau wenzake kwa kuwafikirika kama watu walioshindwa maisha, kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kujitia ujuaji wa kuwadharau wenzake, maishani mwake. Yeye hushindwa kuilea vyema familia yake kwa sababu ya kujitia kujua kwakwe huko na kudharau wenzake hao, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejitia kujua kwa kujidai kuona mbali kuliko wenzake, kwa sababu naye hujitia kujua hovyo kwa kudharau wenanke hao wakati anashindwa kuilea familia yake. Ndiyo maana watu humuita jila la “mjuaji kwa wenzake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha majivuno ya kujitia kujua hovyo, ili waweze kuishi kwa kuheshima inayowasaidia katika kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mathayo 7:1-6.

Luka 6:37.

 

ENGLISH: A MUCH KNOWER TO LANDED GENTRY.

A much knower to landed gentry is a person who claims to be more knowledgeable than his earls. Such person often tells his nobles his own words because of thinking that he knows everything which others do not know. He wants to be heard only himself without listening to others in his life. That is why people call him “a much knower to landed gentry.”

This saying is paralleled to the one who thinks that he knows more than his companions in his life. This person speaks a lot without listening to others in his family. He despises others because of his pride of pretending to know everything in his life. He fails to rear his family members because of pretending to know everything and despising others in his life.

This person is like the one who had become self-conscious by claiming to be more knowledgeable than his companions, because he also becomes self-conscious by belittling others while he fails to provide his family with basic needs. That is why people call him “a much knower to landed gentry.”

This saying teaches people to do away with pride so that they can live with dignity that aids them in providing their families with basic needs in their lives.

Matthew 7:1-6.

Luke 6:37.

 

africa-1676116_1280

gambia-239849_1280

woman-5878348__480

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.