1356. OHUMUJA.

Bhalihoyi bhanhu bha kaya imo abho bhikalaga bhagwiyojaga ku likanza lilihu. Abhanhu bhenabho bhali bhipelanya kunguno ya mabala gabho ayo bhayogelaga.

Lushigu lumo agigela munhu uyo agabhenganija chiza mpaga bhuhumula kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho umunhu ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bha munzengo aho bhabhona chene bhagayomba giki, “ohumuja.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli ntongeji obhanhu bha muchalo uyo agabhatongelaga chiza abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Untongeji ng’wunuyo, alina bhutogwa bho gubhatongela chiza abhanhu mpaka bhang’wigwa chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhambilijaga abhanhu bha muchalo jakwe jinijo mpaka bhagamala amakoye gabho, kunguno ya bhutungilija chokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Untongeji ng’wunuyo agikolaga nuyo agabhayangula abhanhu abho bhalibhiduma mpaga nowe bhidebha chiza, kunguno nuweyi agabhatongelaga chiza abhanhu mkaga bhang’wigwa, umuchalo jakwe jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ohumuja.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gubhatongela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhuyegi bhutale umuchalo jabho.

Isaya 9:6.

Yeremia 10:10.

Zakaria 9:9.

KISWAHILI: AMENYAMAZISHA.

Walikuwepo watu wa kwenye familia moja waliokuwa wakizozana kwa muda mrefu. Watu hao walikasilikiana kwa sababu ya kugombania mashamba.

 Siku moja alipatikana mtu aliyewapatanisha vizuri mpaka wakanyamaza kwa sababu ya uaminifu wake wa kutenda haki mtu huyo. Ndiyo maana watu walipoona hivyo walisema kwamba, “amenyamazisha.”

Msemo huo hulinganishwa kwa kiongozi wa kijiji ambaye huwaongoza vizuri watu wake, katika maisha yake. Kiongozi huyo, ana upendo wa kuwaongoza vizuri watu wake mpaka wanamsikiliza vizuri, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani mwake. Yeye huwasaidia watu kwenye kijiji chake hicho mpaka anayamaliza matatizo yao kwa sababu ya uaminifu wake huo, katika maisha yake hayo.

Kiongozi huyo, hufanana na yule aliyewapatanisha watu waliokuwa wamekosana mpaka mwishowe wakaelewana vizuri, kwa sababu naye huwaongoza vizuri watu wake mpaka wanasikilizana, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amenyamazisha.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuwaongoza vizuri watu wao, ili waweze kuishi kwa amani na furaha kubwa, katika kijiji chao.

Isaya 9:6.

Yeremia 10:10.

Zakaria 9:9.

 

ENGLISH: HE HAS SILENCED THEM.

There were people in the same family who had been fighting for a long time. They were angry with each other because of fighting over land.

One day, a man was found who reconciled them well until they became silent because of that man’s honesty in doing justice. That is why when people saw that, they said, “He has silenced them.”

This saying is paralleled to a village leader who leads his people well in his life. This leader has an interest of leading his people well until they listen to him well because of that honesty in his life. He supports people who live in his village until he solves their glitches because of that honesty in his life.

This leader resembles the one who reconciled the people who had been fighting until they finally understood each other well, because he also leads his people well until they listen to each other in his life. That is why people say to him, “he has silenced them.”

This saying teaches people about being truthful enough to lead their people well, so that they can live in peace and great happiness in their village.

Isaiah 9:6.

Jeremiah 10:10.

Zechariah 9:9.

 

samburu-4434184_1280

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.