Akahayile kenako kahoyelile munhu uyo agakeleja gushiga aha jiliwa mpaka usanga abhiye bhajilyaga ijiliwa jinijo. Umunhu ng’wunuyo, ahosanga abhiye bhajilyaga ijiliwa jinijo kunguno ya bhukeleja bhokwe bhunubho abhazugi bhaganzugila jiliwa jingi. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “b’ob’itiwa mushiloko.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinawizanholo bho gubhagalila chiza abhanhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhagalilaga abhanhu bho gubhazugila jiliwa abhoyi pye na bhageni abhagashigaga aha kaya yakwe, kunguno ya wizanholo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga mbango ja gwikala na bhanhu bhingi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya wizanholo bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhaganzugila jiliwa umunhu uyo agasanga bhajilyaga ijiliwa jinijo abhiye, kunguno nuweyi alinawizanholo bho gubhazugila jiliwa abhanhu bhakwe pye na bhageni bha ha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agabhawilaga abho bhagasangaga jaliyagwa ijiliwa giki, “b’ob’itiwa mushiloko.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizanholo bho gubhitila yawiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala na bhuyegi bhutale umukaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.
Isaya 58:7a.
Luka 31:11.
Mathayo 24:45.
Mathayo 14:16.
KISWAHILI: UMEPITISHWA KOONI.
Msemo huo huongelea juu ya mtu aliyechelewa kufika kwenye chakula mpaga akakuta wenzake wamekula. Mtu huyo, alipokuta wenzake wamekwisha kula kwa sababu ya kuchelewa kwake wapishi waliamua kumpikia chakula kingine. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “umepitishwa kooni.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana ukarimu wa kuwatunza vizuri watu, katika maisha yake. Mtu huyo, huwatunza watu wake hao pamoja na wageni wake kwa kuwapikia chakula, kwa sababu ya ukarimu wake huo, maishani mwake. Yeye hupata baraka za kuishi na watu wengi kwa furaha katika familia yake hiyo, kwa sababu ya ukarimu wake huo, katika maisha yake hayo.
Mtu huyo, hufanana na wale wapishi waliompikia chakula mtu yule aliyechelewa kufika kwenye chakula mpaga akakuta wenzake wamemaliza kula, kwa sababu naye ana ukarimu wa kuwatunza kwa kuwapikia chakula watu wake pamoja na wageni wake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “umepitishwa kooni.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwatendea mema watu wao pamoja na wageni wao wote, ili waweze kupata baraka za kuishi kwa furana kubwa katika familia zao, maishani mwao.
Isaya 58:7a.
Luka 31:11.
Mathayo 24:45.
Mathayo 14:16.



ENGLISH: IT HAS BEEN PASSED THROUGH AN ESOPHAGUS.
This proverb talks about a person who arrived late to a meal and found that his companions had already eaten. When he found that his companions had already eaten because of his delay, the cooks decided to cook another meal for him. That is why people said to him that, “it has been passed through an esophagus.”
This proverb is matched to the one who is generous in taking decent care of people in his life. This person takes care of his people as well as guests by cooking food for them, because of his generosity. He gets blessings of living happily with several populaces in his family, because of his generosity in his life.
This person is like those cooks who cooked food for the one who arrived late to a meal and found that his companions had finished eating, because he also has kindness of taking care of his folks and guests by cooking food for them. That is why he says, “it has been passed through an esophagus.”
This proverb teaches people on how to be generous by doing decent deeds to their own societal members and all their strangers, so that they can receive blessings from God for living in great abundance in their families.
Isaiah 58:7a.
Luke 31:11.
Matthew 24:45.
Matthew 14:16.