1330. JISUJI JA NJINGO.

Ijisuji ja njingo jilisuji ja ng’wa munhu uyo agajaga ogalilila kunjingo. Umunhu ng’wunuyo, agajaga ukunjingo ogalila mpaga omala na oshoka ukubhiye kunguno ya gubhabhisa abhiye bhakije ugumana igiki agalilaga.

Aliyo lulu, abhanhu bhenabho nose bhagamana igiki agajaga ogalilila kunjingo kunguno amiso gakwe galalukaga ulu omala ugulila ukunjingo gunuko. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’witana giki, “jisuji ja njingo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina sada ya kupanza iyo agayibhisaga ukubhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agakoyiyaga ni sada yiniyo mpaga okonda kunguno ya guyibhisa ukubhiye na kukija guichala kusitali kujulagulwa wangu, umuwikaji bhokwe. Uweyi agakoyiyagwa ni sada yiniyo mpaga gobhipa umili gokwe kunguno ya gugaiwa witegeleja bho gwanguha gujulagulwa kusitali, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhisa jisuji bho gulilila kunjingo kunguno nuweyi agayibhisaga isada yakwe mpaga okonda, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jisuji ja njingo.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho kuleka kubhisa makoye gabho kugiki bhadule gwambilijiwa wangu, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 11:28-30.

Luka 4:40.

Yakobo 5:15-16.

KISWAHILI: MACHOZI YA UWIGONI.

Machozi ya uwigoni ni machozi ya mtu ambaye huenda hulilia kwenye uwigo wa nyumba. Mtu huyo, huenda kwenye uwigo huo ambako hulia mpaka anamaliza ndipo anaenda kwa wenzake kwa sababu ya kujificha kwa wenzake hao ili wasifahamu kuwa huwa analia.

Lakini basi, watu hao walifahamu mwishowe kuwa yeye huwa anaenda kulia uwigoni kwa sababu ya macho yake kuwa mekundu anapomaliza kulia kule uwigoni. Ndiyo maana watu hao walimuita jila la “machozi ya uwigoni.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana ugonjwa wa kuharisha ambao huufika kwa wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, huharisha mpaga anakonda kwa sababu ya kuufisha ugonjwa wake huo kwa wenzake ambao wangeweza kumpeleka hospitalini kutibiwa mapema, maishani mwake. Yeye husumbuliwa na ugonjwa huo mpaga anaishiwa nguvu mwilini mwake, kwa sababu ya kukosa umakini wa kuwahi kwenda kutibiwa hospitalini, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeficha machozi yake kwa kwenda kulilia uwigoni, kwa sababu naye huuficha ugonjwa wake mpaga anaishiwa nguvu, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “machozi ya uwigoni.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuacha kuficha matatizo yao, ili waweze kusaidiwa kuyatatua mapema, maishani mwao.

Mathayo 11:28-30.

Luka 4:40.

Yakobo 5:15-16.

 

ENGLISH: TEARS OF THE KITCHEN GARDEN.

Tears of kitchen garden are tears of a person who cries in the garden of the house. This person goes to the garden where he cries until he finishes doing so and then goes to his friends because of hiding from his friends so that they do not know that he is crying.

But then, those people finally realized that he always goes to the garden to cry because his eyes become red when he finishes crying in the garden. That is why those people called him “tears of the kitchen garden.”

This saying is paralleled to a man who has diarrhea disease which he hides from his friends in his life. This person suffers diarrhea sickness until he becomes thin because of hiding his illness to his friends who could have taken him to the hospital for treatment earlier, in his life. He is troubled by the disease to the point of losing strength in his body, because of lack of responsiveness of going to the hospital for treatment in his life.

This person is like the one who hid his tears by going to the kitchen garden because he also hides his illness until he is exhausted in his life. That is why people call him “tears of the kitchen garden.”

This saying teaches people to be cautious enough to stop hiding their problems, so that they can be helped by others enough to solve them early in their lives.

Matthew 11:28-30.

Luke 4:40.

James 5:15-16.

 

man-1465525_1280

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.