1327. NAGULEKA MUMANGAILA.

Aho kale olihoyi munhu uyo ohayaga na bhiye bho gutumila mihayo ya mbisila iyo bhadumaga abhiye bhenabho uguyelelwa chiza kunguno ya gubhisa ginhu jilebhe ukubhoyi. Umunhu ng’wunuyo, obhalekaga abhiye bhadadebhile ubhulingisilo bho mihayo iyo abhalomelaga yiniyo, kunguno ya gutumila mihayo ya mbisila yiniyo, umuwikaji bhokwe bhonubho. Hunagwene agayomba giki, “aguleka mumangaila.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aling’wimi nholo umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhabhisaga abhiye ijikolo jakwe bho gutumila bhushirimu kugiki akije ugubhinha abho bhalinomba kunguno ya wiminholo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa ulubhango ulo gwikala na bhuyeji aha kaya yakwe kunguno ya wiminholo bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agabhabhisa abhiye kinhu jilebhe bho guyomba mihayo ya mbisila mpaga bhuduma uguyelelwa chiza imihayo yakwe yiniyo, kunguno nuweyi agabhimaga abhiye ijikolo jakwe bho gutumila bhushirimu bho gung’wambilija gukija ugubhinha abhiye abho bhalinomba, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “naguleka mumangaila.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka wiminholo bho gubhambilija chiza abhichabho abho bhali na makoye, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala na bhuyeji umu kaya jabho.

Mathayo 13:24-30.

Mathayo 25: 36-43.

Zaburi 119:130.

KISWAHILI: NIMEKUACHA BILA UFAFANUZI.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeongea na wenzake kwa kutumia maneno ya mafumbo. Maneno hayo yalisababisha kwa wenzake hao kushindwa kuuelewa vizuri ujumbe wake kwa sababu alikuwa na lengo la kuwaficha kitu fulani wenzake hao. Mtu huyo aliwaacha wenzake hao katika hali ya kukosa ufafanuzi wa maneno yake hayo yenye mafumbo. Ndiyo maana yeye alisema kwamba, “nimekuacha bila ufafanuzi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mchoyo wa kutowashirikisha wenzake mali zake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaficha wenzake mali zake hizo kwa kutumia ujanja wa kumwezesha kuacha kuwapatia wenzake hao wanaomuomba mali zake hizo, kwa sababu ya uchoyo wake huo, maishani mwake. Yeye hukosa Baraka za kumwezesha kuishi kwa furaha katika familia yake, kwa sababu ya uchoyo wake huo wa kutowashirikisha wenzake mali zake hizo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewaficha wenzake kitu fulani kwa kutumia maneno yenye mafumbo mpaga akawacha bila ufafanuzi, kwa sababu naye huwanyima wenzake mali zake kwa kutumia ujanja wa kumwezesha kutowapa mali zake hizo, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimekuacha bila ufafanuzi.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha uchoyo kwa kuwasaidia wenzao walioko kwenye matatizo ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa furaha katika familia zao.

Mathayo 13:24-30.

Mathayo 25: 36-43.

Zaburi 119:130.

ENGLISH: I HAVE LEFT YOU WITHOUT EXPLANATION.

Once upon a time, there was a man who spoke to his companions by using cryptic words. These words prevented his companions from understanding his message properly because he intended to hide something from them. Such man left his acquaintances in a state of lacking explanation for his cryptic words. That is why he said, “I have left you without explanation.”

This saying is equaled to a person who is greedy in not sharing his possessions with his companions, in his life. Such person hides his possessions from his companions by using cunning deeds which can enable him to stop giving his companions who ask for his possessions, because of his greed in his life. He lacks blessings that can enable him to live happily in his family, because of his greed of not sharing his possessions with his companions in life.

This person is like someone who hid something from his friends by using cryptic words which left them without explanation, because he also deprives his friends of his possessions by using cunning deeds which enables him not to give them his possessions in his life. That is why he says, “I have left you without explanation.”

This saying imparts in people a clue of giving up greed by helping their friends who are in trouble so that they can receive blessings of living happily in their families.

Matthew 13:24-30.

Matthew 25: 36-43.

Psalm 119:130.

portrait-3157821_1280

girl-429380_1280

man-792821_1280

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.