Akahayile kenako kandija kuli munhu uyo oyombaga mihayo ya bhulomolomo umukikalile kakwe. Abhanhu abho wikalaga nabho umunhu ng’wunuyo, bhang’wilaga giki aileke imihayo yiniyo iyabhulongo bho guyomba bhunhana, olema kunguno ya bhuhalali bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “umunhu uyo adimanile ing’hana udizung’wila ing’hana.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo ya bhubhi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alinsembo uyo adigwaga mihayo ya guwilwa na bhiye kunguno ya nhungwa jakwe ija bhuhalali jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uguilela chiza ikaya yakwe kunguno ya bhusembo bhokwe ubho gwita mihayo ya bhubhi bhunubho, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo owilagwa giki aleke guyomba mihayo ya bhulomolomo olema, kunguno nuweyi agawilagwa na bhiye giki, aleke gwita mihayo ya bhubhi, olema, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu abho agabhahalalikaga bhagiwilaga giki, “umunhu uyo adimanile ing’hana udizung’wila ing’hana.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja gwita mihayo ya bhubhi bho gwita mihayo ya wiza kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.
2Wakonritho 7:14.
Yohane 14:17.
KISWAHILI: MTU ASIYEUJUA UKWELI USIMWAMBIE UKWELI.
Msemo huo, ulianzia kwa mtu yule aliyekuwa alisema maneno ya uongo katika maisha yake. Watu waliokuwa wakiishi naye, walimwambia kwamba aache kusema uongo kwa kusema ukweli, akakataa kwa sababu ya ubishi wake huo. Ndiyo maana watu hao, walisema kwamba, “mtu asiyeujua ukweli usimwambie ukweli.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutenda maovu katika maisha yake. Mtu huyo hutenda maovu kwa wenzake na kukataa kuyaacha pale wenzake hao wanapomshauri kuayaacha, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya ya ubishi, maishani mwake. Yeye hushindwa kuilea vyema familia yake hiyo kwa sagabu ya kutenda maovu hayo, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyekataa kuacha kusema uongo aliposhauriwa na wenzake, kwa sababu naye hukataa kuacha kutenda maovu anaposhauriwa na wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana wenzake hao, huambiana kwamba, “mtu asiyeujua ukweli usimwambie ukweli.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutenda maovu kwa kufuata ushauri wa kutenda mema kwa wenzao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.
2Wakonritho 7:14.
Yohane 14:17.
ENGLISH: DO NOT TELL THE TRUTH TO A PERSON WHO DOES NOT KNOW IT.
This saying is originated from a person who had told lies in his life. The people who lived with him told him to stop lying by telling the truth, but he refused because of his argumentativeness. That is why those people said, “Do not tell the truth to a person who does not know it.”
This saying is equated to a person who commits evil deeds in his life. Such person commits evil deeds against his nobles and refuses to stop when those nobles advise him to stop, because of his wicked argumentative behavior in his life. He fails to nurture his family well because of committing those evil deeds in his life.
This person is similar to the one who refused to stop lying when advised by his fellows, because he also refuses to stop committing evil deeds when advised by his fellows in his life. That is why those fellows say to each other, “Do not tell the truth to a person who does not know it.”
This saying imparts in people an idea of stopping habits of doing evil deeds by following advice of doing good deeds to their fellows, so that they can nurture their families well, in their lives.
2 Corinthians 7:14.
John 14:17.


