1319. LIGALUCHAGE DUHU.

Akahahile kenako kandija kubhanhu abho bhazengaga numba. Abhazengi bhenabho bhazengelaga madafali ayo gadikomile gwibheja nulu gwigalucha goyi minikili kunguno ya kabhumbilwe kago. Abhoyi bhamanagabhugagalucha ayo gadidebhile kugiki gadule gusulula bho gujilanija chiza. Hunagwene uumo ong’wilaga ung’wiye giki, “ligaluchage duhu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa ku bhabyaji abho bhagabhelelaga bho gwiyambilija chiza abhana bhabho umukikalile kabho. Abhabyaji bhenabho bhagabhalelaga abhana bhabho bho gubhalanga gutumama milimo bho gwiyambilija kihamo na gwikala na bhanhu chiza, kunguno ya wigetegeleja bho gulikalana ilange lya nhung’wa jawiza umuwikaji bhokwe bhunubho. Abhoyi bhagabhakujaga mu nhungwa jawiza pye abhana bhabho aha kaya yabho, kunguno ya witegeleja bhobho bhunubho ubho gubhalela bho gwiyambilija chiza chiniko, umukikalile kabho.

Abhabyaji bhenabho bhagikolaga na bhazengi bha numba abho bhiyambilijaga guzenga chiza inumba yabho, kunguno na bhoyi bhagiyambilijaga ugubhalela chiza abhana bhabho, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene bhagiwilaga giki, “ligaluchage duhu.”

Akahayile kenako kalanga bhabyaji higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwiyambilija gubhalela mu nhungwa jawila abhana bhabho, kugiki bhadule gwikala ni lange lya wiza, umuwikaji bhobho.

Mithali 22:6.

Waefeso 6:4.

1Timotheo 5:10.

KISWAHILI: LIGEUZE TU.

Msemo huo ulianzia kwa watu waliokuwa wakijenga nyumba. Wajenzi hao walitumia matofali ambayo hayawezi kujipanga wala kujigeuza yenyewe kwa sababu ya namna yalivyofyatuliwa. Wao walikuwa wakiyageuza yale yasiyoendana ili yaweze kunyooka kwa kuendana vizuri. Ndiyo maana mmoja alimwambia mwenzake kwamba, “ligeuze tu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa wazazi wale ambao hushirikiana katika kuwalea vyema watoto wao, maishani mwao. Wazazi hao hushirikiana katika kuwalea watoto kwa kuwafundisha kufanya kazi kwa kusaidia na kuishi na watu vyema, kwa sababu ya umakini wao huo wa kuyaishi malezi yenye maadii mema, katika maisha yao. Wao hufanikiwa kuwakuza watoto wao katika maadili mema kwa sababu ya umakini wao huo wa kusadiana vyema katika kutunza maadili mema, maishani mwao.

Wazazi hao hufanana na wale wajenzi wa nyumba waliosaidiana kuijenga vizuri nyumba yao, kwa sababu nao husaidiana katika kuwalea vyema watoto wao, maishani mwao. Ndiyo  maana wao huambiana kwamba, “ligeuze tu.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kusaidiana katika kuwalea vyema watoto wao ili waweze kukua katiaka maadili mema, maishani mwao.

Mithali 22:6.

Waefeso 6:4.

1Timotheo 5:10.

ENGLISH: JUST TURN IT.

This saying originated from people who were building houses. These builders used bricks which did not fit together so that they could be straightened out and fit together properly. That is why one said to the other that, “just turn it.”

This saying is equated to parents who cooperate in nurturing their children well, in their lives. These parents cooperate in raising their children by giving education to them on how to work by helping and living well with people, because of their emphasis on living a good upbringing in their lives. They succeed in educating their children in good morals because of their emphasis on cooperating well in maintaining good morals in their lives.

These parents are like those house builders who helped each other in building their house, because they also help each other in nurturing their children well in their lives. That is why they say to each other that, “just turn it.”

This saying educates people on how  to be careful enough to help each other in nurturing their children so that they can grow up with good morals in their lives.

Proverbs 22:6.

Ephesians 6:4.

1 Timothy 5:10.

 

construction-4896063_1280

worker-5204739_1280

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.