Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile ng’wana o Ntemi uyo aginhiwa ubhutemi bhunubho aho ozumalika untemi. Olihoyi munhu uyo oli mjibyalile ja mu b’utemi. Umunhu ng’wunuyo wilangaga nhungwa ja wiza kunguno oli amanile igiki adulile gwinhiwa bhutemi kwikanza lyoselyose. Uweyi agab’upandika ubhutemi bhunubho aho ozumalika untemi ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “bhudeji b’o b’ubyalanwa.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agilangaga nhungwa jawiza ijo jidulile gung’wambilija ugubhatongela chiza abhanhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalikalanaga ililange lya bha byaji bhakwe bho gubhambilija chiza abhanhu abho agikalaga nabho kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhatongelaga chiza abhanhu bha muchalo jakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho.
Umunhu ng’unuyo agikolaga nu ng’wana o Ntemi uyo wilangaga nhungwa ja wiza mpaga winhiwa bhutemi oho uzumalile ntemi o kwene, kunguno nuweyi agalikalanaga ililange lya bhabyaji bhakwe mpaga obhatongela chiza abhanhu bha muchalo jakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki alina “bhudeji b’o b’ubyalanwa.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujikalana inhungwa jawiza ijo bhagalangagwa na bhatale bhabho kugiki bhadule gubhatongela chiza abhanhu bhabho, umubhutumami bhobho.
Mathayo 3:13-17.
Yohana 1:33.
Matendo ya mitume 1:1.
KISWAHILI: UFALME WA KUZAWALIWA NAO.
Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya mwana wa Mfalme aliyerithishwa ufalme huo baada ya mfalme huyo kufariki. Alikuwepo mtu aliyezaliwa katika ukoo wa kifalme. Mtu huyo alijifunza tabia njema kwa kuishi na watu vizuri kwa sababu alifahamu kuwa, anaweza kupewa ufalme wakati wowote. Yeye alirithishwa ufalme huo baada ya kufariki mfalme huyo. Ndiyo maana watu walisema kwamba ana, “ufalme wa kuzaliwa nao.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujifunza tabia njema ambayo yaweza kumsaidia katika kuwaongoza vizuri watu wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huyaishi malezi mema ya wazazi wake kwa kuwasaidia watu anaoishi nao, kwa sababu ya tabia yake hiyo njema, maishani mwake. Yeye huwaongoza vizuri watu wa kijiji chake kwa sababu ya tabia yake hiyo njema, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule mwana wa mfalme aliyejifunza tabia njema mpaka akapewa ufalme alipofariki yule mfalme, kwa sababu naye huyaishi malezi mema ya wazazi wake mpaka anaweza kuwaongoza vizuri watu wa kijiji chake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba ana, “ufalme wa kuzaliwa nao.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyaishi malezi mema wanayofundishwa na wakubwa wao, ili waweze kuwaongoza vizuri watu wao, katika utumishi wao.
Mathayo 3:13-17.
Yohana 1:33.
Matendo ya mitume 1:1.

ENGLISH: KINGSHIP BY BIRTH.
The derivation of this saying is from a son of the king who inherited the kingdom after the king passed away. There was a man who was born into a royal family. Such man learned good manners by living well with people because he knew that he could inherit such kingdom at any time. He inherited the kingdom after passing away of the king. That is why people said that he had, “a kingship by birth.”
This saying is related to a person who learns good manners that can help him in leading his people in his life. Such person puts into place good upbringings of his parents by helping people whom he stay with, because of his good manners in his life. He soundly leads people in his village because of his good manners in his lifespan.
This person resembles the son of the king who learned good manners until he was given the kingdom when the king joined the ancestors, because he also puts into practice the good upbringings of his parents until he managed to healthily lead people of his village in his lifetime. That is why people tell him that he has, “a kingship by birth.”
This saying teaches people about being so careful enough to apply the good upbringings which they are taught by their elders, so that they can lead their people well in their service.
Matthew 3:13-17.
John 1:33.
Acts 1:1.