Untuji omadomolo ali munhu uyo agang’waga walwa mpaga olewa noyi. Umunhu ng’wunuyo agang’waga walwa bho bhuli mbika hikanza limo kunguno ya guduma gwilemeja gokwe gunuyo umuwikaji bhokwe. Uweyi agang’waga mpaga oduma ugusiminza ubho weyi ng’winikili. Abhanhu bhagamuchaga bhanchala mpaga kukaya yakwe kunguno ya bhung’wi bhokwe bhonubho. Hunagwene abhanhu bha bhagang’witanaga giki, “ntuji omadomolo.”
Akahahile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga sagala isabho jakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajigulilaga isabho jakwe jinijo ginhu ijo jigang’wenhelaga makoye guti mamihayo ga gwikenya na bhanhu kunguno ya nhungwa jakwe ijabhubhi jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agajimalilaga mumamihayo isabho ja ha kaya yakwe jinijo kunguno ya gwita miito gabhubhi genayo, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo ojing’welaga walwa isabho jakwe mpaga oduma ugusiminza, kunguno nuweyi agajikenagulaga sagala isabho bho gujigulila majikolo ayo gagang’welaga makoye umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ntuji omadomolo.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa jawiza ijagubhambilija ugujitumila chiza isabho jabho kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Isaya 24:20.
1Samweli 25:36.
Waefeso 5:1-18.
KISWAHILI: MPIGA POMBE.
Mpiga pombe ni mtu anayekunywa pombe mpaga analewa sana. Mtu huyo hunywa kila anina ya pombe kwa wakati mmoja kwa sababu ya kushindwa kujizuia kwakwe huko, maishani mwake. Yeye hunywa mpaga anashindwa kutembea kwa yeye mwenyewe. Watu humpeleka mpaka nyumbani kwake kwa kumbeba. Ndiyo maana watu humwita jina la “mpiga pombe.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia hovyo mali zake, katika maisha yake. Mtu huyo, huzitumia mali zake hizo kwa kuzinunulia vitu ambavyo humletea matatizo yakiwemo yale ya kugombana na watu kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya, maishani mwake. Yeye huzimalizia mali za kwenye familia yake katika kutatua matatizo hayo kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyezinywea pombe mali zake mpaga akashindwa kutembea, kwa sababu naye huzitumia hovyo mali zake kwa kuzinunulia vitu ambavyo humletea matatizo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “mpiga pombe.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwasaidia katika kuzitumia vizuri mali zao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.
Isaya 24:20.
1Samweli 25:36.
Waefeso 5:1-18.

ENGLISH: AN ALCOHOLIC BEATER.
An alcoholic one is a person who drinks too much alcohol to the point of getting very drunk. This person drinks all kinds of alcohol at the same time because of his lack of self-control in life. He drinks until he loses strength for walking on his own. People take him to his house by carrying him. That is why people call him the name an “an alcoholic beater.”
This saying is related to a man who spends his wealth carelessly in his life. Such person uses his possessions for buying things that cause him hitches, including those of arguing with people because of his evil deeds in his life. He spends his family’s riches for solving these hitches because of his wicked deeds in his life.
This person is similar to the one who drank his prosperity and became unable to walk, because he uses his fortune carelessly to buy things that cause him difficulties in his life. That is why people call him the name “an alcoholic beater.”
This saying imparts in people an idea of of having a good attitude enough to help them in using their resources suitably, so that they can nurture their families in their lives.
Isaiah 24:20.
1 Samuel 25:36.
Ephesians 5:1-18.