Imbuki ya kahayile kenako ilolile mahoya ga bhanhu abho bhaholelaga bhuutuji bho malunde ga mbula. Ubhutuuji bho malunde genayo bholi bho magelegele ubho bhuli bho malunde matale gape. Abhanhu bhenabho bhalibhadebhile igiki amalunde genayo gagolechaga wandijo bho likanza lya jidiku. Abhoyi bhagandya gwibhegeleja gwandya gulima kunguno ilikanza ya jidiku bhagamana igiki yashigaga. Hunagwene bhagayomba giki, “yatuulaga magelegele.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alidebhile chiza ilikanza lya gwandya uguitumama imilimo yakwe, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agandyaga uguitumama imilimo yakwe yiniyo nulu lyashiga duhu ilikanza lyaho kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gulidebha chiza ilikanza linilo, ilya guandya uguitumama imilimo yakwe. Uweyi agaponaga majiliwa mingi noyi kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gulidebha chiza ilikanza ilyaguitumama chiza imilimo yakwe yiniyo umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nabho bhagandya gulima aho jingila duhu ijidiku, kunguno nuweyi agandyaga uguitumama imilimo yakwe nulu lyashiga duhu ilikanza ilya guitumamama imilimo yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “yatuulaga magelegele.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na witegeleja bho kulidebha chiza ilikanza ilyaguitumama imilimo yabho na gwandya uguitumama nulu lyashiga duhu ilikanza linilo, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umubhutumami bhobho bhunubho.
Mwanzo 8:22.
Luka 12:54.
KISWAHILI: IMEWEKA MAWINGU.
Chanzo cha msemo huo huangalia maongezi ya watu waliokuwa wakiongelea juu ya mvua kuweka mawingu. Uwekaji wa mawingu ya mvua hiyo uliokuwa wa mawingu meupe. Watu hao walielewa kuwa uwekaji wa mawingu hayo meupe ulionesha ishara ya kuanza kipindi cha masika. Wao walianza kujiandaa kuanza kulima kwa sababu wakati wa masika walijua kuwa umefika. Ndiyo maana walisema kwamba, “imeweka mawingu.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule anayeulewa vizuri muda wa kuzianza kazi zake, maishani mwake. Mtu huyo, huanza kuzifanya kazi zake hizo unapofika tu muda wa kuzitekeleza, kwa sababu ya umakini wake wa kuuelewa vizuri muda huo wa kufanya kazi zake hizo, maishani mwake. Yeye hufanikiwa kwa kupata mazao mengi katika familia yake kwa sababu ya kuuelewa vizuri muda wa kuzianza kazi zake, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na wale walioanza kulima kilipoingia tu kipindi cha masika, kwa sababu naye huzianza kazi zake unapofika tu muda wake, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “imeweka mawingu.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuueleza vizuri muda wa kuzianza kazi zao, na kuzitekeleza kazi hizo unapofika tu muda huo, ili waweze kupata mafanikio mengi katika kazi zao.
Mwanzo 8:22.
Luka 12:54.
ENGLISH: IT HAS PUT CLOUDS.
The starting point of overhead saying looks at the discussion of people who were talking about rain’s setting clouds. It came a time when the rain showed signs of raining by putting white clouds. People understood that such sign of those white clouds showed a beginning of the spring season. They started preparing their farms for farming because they knew that spring time had arrived. That is why they said that, “it has put clouds.”
This saying is compared to a person who understands well the time of starting his works in life. Such person starts doing his works when it is time to sort them out, because of his attentiveness of such time of doing his works, in his life. He succeeds by getting a lot of crops in his family because of knowing the time of starting his works.
This person resembles those who started farming when the spring season came, because he also starts his works when their time comes, in his life. That is why he says that, “it has put clouds.”
This saying teaches people about being careful enough to have knowledge on the starting time of their works to the point of carrying them out when such time comes, so that they can get a lot of success in their works.
Genesis 8:22.
Luke 12:54.



