Imbuki ya kahayile kenako ilolile katumamile ka lyochi. Ilyochi linilo ligazukaga nulu igutulaga mbula bho nduhu ugwima guti ngikulu uyo alinkamu gutumama milimo yakwe bhuli makanza. Hunagwene abhanhu bhagalitanaga giki, “ilyochi alingukulu nkamu uyo adimaga nulu ilitula mbula.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinkamu gutumama milimo ya ng’wa Mulungu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhutumilaga ubhudula ubho bhunhwa nu Mulungu bho gutumama milimo yake na gunamya Weyi chiza, kunguno ya bhukamu bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga mbango ja gusabha na gwikala na bhanhu chiza, kunguno ya bhukamu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni lyochi ilo ligazukaga nulu mbula igutulaga bho nduhu ugwima, kunguno nuweyi agatumamaga milimo yakwe na ya gunamya Mulungu bho bhukamu bhutale, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki, “ilyochi alingukulu nkamu uyo adimaga nulu ilitula mbula.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho na gunamya Mulungu bho bhukamu bhutale, kugiki bhadule kupandika mbango ya gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Ayubu 8:5.
Zaburi 78:34.
Yohana 6:67-68.
Wafilipi 2:28.
KISWAHILI: MOSHI NI BIBI KIZEE MWENYE BIDII ASIYESIMAMA HATA WAKATI INANYESHA MVUA.
Chanzo cha msemo huo, huangalia utendaji kazi wa Moshi. Moshi huo, hufuka hata wakati mvua inanyesha bila kukoma kwa sababu una bidii kama ya bibi kizee afanyaye kazi wakati wote. Ndiyo maana watu huuita kwamba, “moshi ni bibi kizee mwenye bidii asiyesimama hata wakati inanyesha mvua.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana bidii ya kufanya kazi ya Mungu, katika maisha yake. Mtu huyo, huutumia uwezo aliopewa na Mungu kwa kuyatekeleza majukumu yake na yale ya kumwabudu Mungu, kwa sababu ya bidii yake hiyo. Yeye hupata Baraka za kuwa na mali nyingi na kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya bidii yake hiyo, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na ule moshi unaofuka kwa bidii hata wakati wa kunyesha mvua, kwa sababu naye ana bidii ya kuyatekeleza vizuri majukumu yake, na yale ya kumwabudu Mungu, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuongelea kwamba, “moshi ni bibi kizee mwenye bidii asiyesimama hata wakati inanyesha mvua.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao na yale ya kumwabudu Mungu kwa bidii kubwa, ili waweze kupata Baraka za kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.
Ayubu 8:5.
Zaburi 78:34.
Yohana 6:67-68.
Wafilipi 2:28.
ENGLISH: THE SMOKE IS A DILIGENT OLD LADY WHO DOES NOT STOP EVEN WHEN IT IS RAINING.
This saying looks at a performance of smoke. Such smoke burns even when it rains non-stop because it is as diligent as an old lady who works all the time. That is why people say that, “the smoke is a diligent old lady who does not stop even when it is raining.”
This saying is compared to a person who is diligent enough to do God’s work in his life. Such person uses the power given to him by God for carrying out his duties and those of worshiping God, because of his diligence. He gets blessings of having a lot of wealth and living well with people, because of his hard working life.
This person resembles the smoke that burns diligently even when it rains, because he is also diligent enough to carry out his duties well, and those of worshiping God, in his life. That is why people say that, “the smoke is a diligent old lady who does not stop even when it is raining.”
This saying teaches people about using great enough effort to carry out their duties well and that of worshiping God, so that they can get blessings for nurturing their families well, in their lives.
Job 8:5.
Psalm 78:34.
John 6:67-68.


