1256. BHUTONGI IPOLU NI NUMA IPOLU.

Aho kale olihoyi munhu uyo ali na makoye mingi umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, ojizukaga ishuku yakwe ijo jabhita osunduhala umu moyo gokwe kunguno ya makoye mingi ayo agabhitila. Uweyi agayugiganika amakoye genayo gabhiza guti obhitilaga ng’wipolu mpaga nose ni shiku jakwe ja bhutongi oyujibhona jili na makoye guti ajile ng’wipolu, kunguno ya mayange ayo ogiyumilijaga genayo umukikalille kakwe. Hunagwene agayomba giki, “bhutongi ipolu ni numa ipolu.”

Akahahile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga gugamala makoye mingi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga ukoya na makoye mingi ayo agagamala chiza bhuli makanza ulu gigela kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho. Uweyi agailelaga chiza ikaya yakwe bho gwigunana ugugamala amakoye kihamo kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo okoyiyagwa na makoye mingi wiyumilija mpaga ogamala chiza, kunguno nuweyi agapandika makoye wiyumilija oguginja mpaka gashila chiza, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “bhutongi ipolu ni numa ipolu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhumo bho gwiyambilija na gwiyumilija kihamo ugugamala amakoye gabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1Petro 5:8-9.

Yeremia 10:19.

Yakobo 5:7.

2Timotheo 1:8.

KISWAHILI: MBELE PORI NA NYUMA PORI.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyekuwa na matatizo mengi maishani mwake. Mtu huyo, alikuwa akizikumbuka siku zake zilizopita anahuzunika moyoni mwake kwa sababu ya matatizo mengi aliyoyapitia. Yeye aliyafikiria matatizo hayo yakawa kama alipitia kwenye pori mpaka mwishowe na siku za mbele zinakuwa za matatizo kama anaenda kwenye pori, kwa sababu ya mahangaiko hayo aliyoyavumilia, katika maisha yake. Ndiyo maana alisema kwamba, “mbele pori na nyuma pori.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia matatizo mengi katika maisha yake. Mtu huyo, huhangaika katika kuyatatua matatizo yanayompata mpaka anayamalia vizuri, kwa sababu ya uvumilivu wake huo. Yeye huilea vizuri familia yake kwa kusaidiana katika kuyatatua kwa pamoja matatizo yanayowakumba, kwa sababu ya uvumilivu wake huo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeyatatua kwa uvumilivu matatizo yaliyokuwa yakimsumbua, kwa sababu naye huyamaliza kwa uvumilivu matatizo yanayomkumba katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mbele pori na nyuma pori.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ushirikiano wa kuyatatua kwa uvumilivu matatizo yanayowakumba katika maisha yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

1Petro 5:8-9.

Yeremia 10:19.

Yakobo 5:7.

2Timotheo 1:8.

ENGLISH: FRONT WILD AND BACK WILD

Once upon a time there was a man who had numerous problems in his life. Such person used to remember his past days until he became sad in his heart because of a number of problems which he went through. He thought of these problems as if he went through the forest until the end and the days ahead become difficult as if he goes to the forest, because of worries he endured in his life. That is why he said that, “front wild and back wild.”

This saying is equaled to a person who endures many problems in his life. Such person struggles to solve problems that happen to him until he finishes them well, because of his patience. He takes care of his family well by helping each other to solve together problems which they face, because of his patience in life.

This person relates to the one who patiently solved the problems that were bothering him, because he also patiently solves the problems that plague him in his life. That is why he says that, “front wild and back wild.”

This saying imparts in people an idea of having strong cooperation enough to solve with patience the problems which they face in their lives, so that they can bring progress to their families, in their lives.

1 Peter 5:8-9.

Jeremiah 10:19.

James 5:7.

2 Timothy 1:8.

male-4673194_1280

africa-209332_1280

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.