Bhalihoyi bhakima abho bhahoyaga umuchalo ja Ng’watuma. Umo obho agilembekejiwa na ng’wiye giki witaga ginhu jilebhe aliyo uweyi adajitile. Umayu ng’wunuyo agashosha giki, “nadajitile iginhu jinijo.” Ung’wiye aganhadikija bho guyomba, “ojiita ulilema duhu.” Hunagwene uyo wilembekejiyagwa agayomba giki, “mayu niholele.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agilembekijiyagwa mihayo ya bhulongo wiyumilija bho guyomba bhunhana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikomejaga guyomba bhunhana bhuli ikanza ulu wilembekejiwa mihayo iyo adayimanile, kunguno ya bhutungilija na wiyumilija bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga na bhanhu chiza aha kaya yakwe kunguno ya bhutungilija na wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’winuyo agikolaga nuyo agilembekeji limhaho ilo adalimanile wiyumilija bho guyomba bhunhana, kunguno nuweyi agilembekejiyagwa mihano iyo adayimanile wiyumiliga bho guyomba bhunhana, umukikalile kakwe. Hunagwene agayombaga giki, “mayu niholele.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhilembekeja bhichabho mihayo iyo bhadaitile, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
2Samweli 19:27-28.
Zaburi 15:3.
Warumi 1:30.
Yakobo 4:11.
KISWAHILI: MAMA KUMURADHI.
Walikuwepo wakinamama waliokuwa akiongea kwenye kijiji cha Mwatuma. Mmoja wao alisingiziwa na mwenzake jambo ambalo hakulitenda. Mama yule aliyesingiziwa, alielewa kuwa “sikulifanya na silijui.” Mwenzake huyo alilazimisha akisema, “ulilifanya unakataa tu.” Ndiyo maana yule aliyesingiziwa alisema kwamba, “mama kumuradhi.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia kwa kusema ukweli anaposingiziwa maneno ya uongo, katika maisha yake. Mtu huyo, huendelea kusema ukweli kila wakati anaposingiziwa jambo asilolifahamu, kwa sababu ya unyofu na uvumilivu wake huo. Yeye huishi na watu vizuri kwenye familia yake kwa sababu ya unyofu na uvumilivu wake huo, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyevumilia kwa kusema ukweli aliposingiziwa jambo na mwenzake, kwa sababu naye huvumilia kwa kusema ukweli anaposingiziwa maneno asiyo yafahamu, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mama kumuradhi.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwasingizia wenzao maneno ambayo hawakuyatenda, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.
2Samweli 19:27-28.
Zaburi 15:3.
Warumi 1:30.
Yakobo 4:11.
ENGLISH: PLEASE MOTHER.
There were women who were talking in the village of Mwatuma. One of them was hypnotized by the other, which she did not do. The mother who was accused, said, “I did not do it and I do not know.” The colleague forced her by saying, “You did it, you just refuse.” That is why the one who was insulted said that, “please mother.”
This saying is compared to a person who endures sufferings by telling the truth when he is accused of false words, in his life. Such person continues to tell the truth every time he is accused of something which he does not know, because of his honesty and patience. He lives well with people in his family because of his honesty and patience in life.
This person resembles the one who endured hardships by speaking the truth when she was slandered by her colleague, because he also endures sufferings by speaking the truth when he is slandered by deceitful words in his life. That is why he says that, “please mother.”
This saying imparts in people an idea of stopping gossiping about their people in their lives, so that they can develop their families well in their societies.
2 Samuel 19:27-28.
Psalm 15:3.
Romans 1:30.
James 4:11.
