Imbuki ya lusumo lunulo ilolile kalugaka. Akalugaka kenako kali kajisunva kadoo giti kapalala ako kagalyaga jiliwa aliyo kadaginaga kunguno ya kikalile kako. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “kalugaka kagalyaga nugugina nduhu.”
Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitilagwa mihayo ya wiza aliyo adalumbaga, umukikalile kakwe. Abhanhu abho agikalaga nabho umunhu ng’wunuyo, bhagang’witilaga miito ga wiza bho gung’winha makijikolo mingi noyi aliyo weyi adalumbaga kunguno ya gugaiya bhulumbi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhanojaga nose abhanhu abho bhagang’wambilijaga bhenabho bho gung’winha majikolo mingi, kunguno ya bhujidalumba bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na kalugaka ako kagalyaga aliyo ugugina nduhu, kunguno nuweyi adalumbaga ulu winhiwa amajikolo na bhanhu abho agikalaga nabho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “kalugaka kagalyaga nugugina nduhu.”
Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kubhiza na moyo go gufunya bhulumbi uku bhichabho abho bhagabhitilaga mihayo ya wiza, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala chiza umubhulamu bhobho bhunubho.
Mwanzo 1:20-21.
Mwanzo 1:30.
KISWAHILI: JAMII YA KOMBA MWIKO HULA KUNENEPA HAKUNA.
Chanzo cha methali hiyo, huangalia Jamii ya komba mwiko. Jamii hiyo ya komba mwiko ni kiumbe kidogo kama takataka ambacho hula chakula lakini hakinenepi kwa sababu ya maisha yake hayo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “jamii ya komba mwiko hula kunenepa hakuna.”
Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutendewa wema lakini hashukuru, katika maisha yake. Watu waishio naye mtu huyo, humtendea wela kwa kumpatia vitu wingi lakini hashukuru kwa sababu ya kukosa shukrani kwake, maishani mwake. Yeye huwachosha watu hao wanaomsaidia kwa kumpatia vitu vingi, kwa sababu ya kutokushukuru kwake, katika maisha yake hayo.
Mtu huyo, hufanana na yule jamii ya komba mwiko alaye chakula bila kunenepa, kwa sababu naye watu humtendea wema kwa kumpatia vitu vingi lakini hatoi shukrani kwao, maishani mwake. Ndiyo maaana watu humwambia kwamba, “jamii ya komba mwiko hula kunenepa hakuna.”
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na moyo wa kutoa shukrani kwa wenzao wanaowatendea wema, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri, maishani mwako.
Mwanzo 1:20-21.
Mwanzo 1:30.
ENGLISH: COCKROACH EATS WITHOUT BECOMING FAT.
This proverb looks at a cockroach type of insects. This type of insects is a small creature which like garbage that eats food but does not get fat because of its life. That is why people say that, “cockroach eats without becoming fat.”
This proverb is paralleled to a person who is treated well but is not grateful, in his life. The people who live with that person treat him well by providing him with many basic needs but he is not grateful because of his lack of gratitude in his life. He wears out those people who help him by providing him with many things because of his ungratefulness in his life.
This person is similar to the cockroach that ate food without getting fat, because people also treat him well by giving him many things but he does not thank them, in his life. That is why people tell him that, “cockroach eats without becoming fat.”
This proverb teaches people about having being appreciative to their colleagues who treat them well, so that they can get blessings of living well in their lives.
Genesis 1:20-21.
Genesis 1:30.


