Imbuki ya kahayile kenako yihoyelile munhu uyo olina sata iyo agikala nayo ku likanza liliihu. Umunhu ng’wunuyo, umanaga ukoya ni sata yiniyo bhuli makanza kunguno yaliidapilaga wangu. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “yiniyo ndwala.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo ya bhubhi bhuli makanza umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga miito gabhubhi ayo agalemaga ugugaleka ulu ohugulwa na bhiye, kunguno ya nhungwa jakwe ijabhubhi jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bha hakaya yakwe gwita miito gabhubhi, kunguno ya ng’wungwa jakwe ja bhubhi jinijo, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo olina sata iyo igankola kulikanza liliihu, kunguno nuweyi, agitaga miito gabhubhi bho nduhu ugugaleka uluohugulwa na bhiye, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganyombaga giki, “yiniyo ndwala.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya guleta nhungwa ja gwita miito ga bhubhi, bho gwiita miito ga wiza bhuli makanza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umukikalile kabho kenako.
Matendo 5:16.
Luka 6:17-19.
Yohane 5:1-12.
Mathayo 14:36.
KISWAHILI: HUU NI UGONJWA.
Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya mtu aliyekuwa na ugonjwa kwa muda mrefu. Ugonjwa huo ulikuwa ukimhangaisha kila wakati kwa sababu ya kutokupona kwake haraka. Ndiyo maana watu waliutambua kwa kusema kwamba “huu ni ugonjwa.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutenda matendo maovu katika maisha yake. Mtu huyo, hutendo matendo hayo maovu kwa makusudi na kukataa ushauri wa kuyaacha kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya, maishani mwake. Yeye huwafundisha watu walioko kwenye familia yake kutenda matendo maovu kwa njia ya matendo yake, kwa sababu ya tabia hiyo ya kuzoea kutenda maovu, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyesumbuliwa na ugonjwa mara kwa mara, kwa sababu naye hutenda matendo maovu mara kwa mara, maishani mwake. Ndiyo maana watu huitaja tabia yake hiyo kwa kusema kwamba, “huu ni ugonjwa.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kutenda matendo maovu kwa kutenda matendo mema kila wakati, ili waweze kuzilea vyema, familia zao, maishani mwao.
Matendo 5:16.
Luka 6:17-19.
Yohane 5:1-12.
Mathayo 14:36.
ENGLISH: THIS IS A DISEASE.
The cradle of the overhead saying talks about a person who had been sick for a long time. This disease was always worrying him because of its slow recovery. That is why people recognized it by saying that “this is a disease.”
This saying is equated to a person who commits evil deeds in his life. Such person does those evil deeds on purpose and refuses an advice of stopping them because of his wicked behavior, in his life. He teaches people in his family to do evil deeds through his actions, because of that habit of doing evil, in his life.
This person relates to the one who suffered from a disease for long time, because he also commits immoral deeds from time to time in his life. That is why people refer to his behavior by saying, that “this is a disease.”
This saying imparts in people an idea about giving up a habit of doing wicked deeds by always doing good deeds, so that they can raise their families well in their lives.
Acts 5:16.
Luke 6:17-19.
John 5:1-12.
Matthew 14:36.


