Kwidikula ili gupimila ugweshema. Alihoyi nigini uyo wikalaga muchalo jilebhe. Unigini ng’wunuyo, agalila bho likanza lilihu gete mpaga nose uyupimila kunguno ya gugayiwa imimyuyi ya gweshemela. Hunagwene abhanhu abho bhagamona bhayomba giki, wandya “gwidikula.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhadililaga chiza abhanigini, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalekaga abhana bhaluha mpaga bho gulela likanza lilihu ilya gudula gubhapimija, kunguno ya gubhalekanija sagala abhana bhenabho, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalekaga abhana bhaluka mpaga bhakonda aha kaya yakwe bho nduhu ugubhadilila kunguno ya bhulekanija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.
Abhana bhenabho bhagikolaga nuyo agalila mpaga upimila, kunguno nabhoyi bhagalenijiyagwa bhaluha mpaga bhakonda bho nduhu ugwambilijiwa, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhabhonaga bhayomba giki, bhandyaga “gwidikula.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhalela chiza abhana bhabho bho gubhadilila chiza, kugiki bhadule gukula chiza, umuwikaji bhobho.
Kumbukumbu la Torati 22:27.
Kutoka 2:6.
KISWAHILI: KUHEMA KWA SHIDA.
Kuhema kwa shida ni kukosa pumzi ya kupumulia. Alikuwepo mtoto aliyekuwa akiishi katika kijiji fulani. Mtoto huyo, aliachwa na wazazi wake akalia mpaka akaanza kuhema kwa shida kwa kasabu ya kukosa pumzi. Ndiyo maana watu waliomuona walisema kwamba, ameanza “kuhema kwa shida.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa hawajali vizuri watoto katika maisha yake. Mtu huyo, huwaacha watoto wakateseka mpaka wanalia kwa muda mrefu wa kuweza kuwakosesha pumzi, kwa sababu ya kuwatelekeza hivyo, maishani mwake. Yeye huwaacha watoto wakiteseka hovyo mpaka wanakonda kwenye familia yake, kwa sababu ya kutowajali hivyo, maishani mwake.
Watoto hao, hufanana na yule mtoto aliyelia mpaka akakosa pumzi, kwa sababu nao hutelekezwa katika hali ya kuteseka mpaka wanakonda bila ya kusaidiwa, maishani mwao. Ndiyo maana watu wawaonao husema kwamba, wameanza “kuhema kwa shida.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwalea vyema watoto wao kwa kuwajali vizuri, ili waweze kukua vizuri, maishani mwao.
Kumbukumbu la Torati 22:27.
Kutoka 2:6.
ENGLISH: TO BREATHE WITH DIFFICULTY.
To breathe with difficulty is shortness of inhalation. There was a child who lived in a certain village. This child left by his parents, cried until he began to gasp for breath. That is why the people who saw him said that he had started to “to breathe with difficulty.”
This saying is equaled to the person who does not take good care of the children in his life. That person, leaves the children to suffer until they cry for a long time to be able to suffocate them, because of neglecting them in his life. He leaves the children to suffer carelessly until they are thin in his family, because of such indifference to them, in his life.
Those children are like the child who cried until he was out of breath, because they are also left in a state of suffering until they become thin without help, in their lives. That is why people who see them say that they have begun to “to breathe with difficulty.”
This saying teaches people about raising their children well by taking good care of them, so that they can grow well, in their lives.
Deuteronomy 22:27.
Exodus 2:6.
