Aho kale olihoyi munhu uyo owilagwa aje gujutumama milimo yakwe ohaya giki, aguja ntondo. Umunhu ng’wunuyo, agikala adalimile ungunda mpaga nose jushila ijidiku, kunguno ya gumana wiganika giki aguja ntondo aliyo adaimanile intondo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “nduhu uyo wimanile intondo.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo ugutumama imilimo ya aha kaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agapangaga uguja ukumilimo bho mihayo duhu ulu lwashika ilikanza lya gutumama, okija, kunguno ya bhugokolo bhokwe, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga ukoya na nzala ya gugaiwa jiliwa aha kaya yakwe kunguno ya bhugokolo bhokwe ubho guleka gutumama milimo, umuwikaji bhokwe bhunubho.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo owilagwa aje agatumamile milimo yahaya giki aguja ntondo, mpaga nose jushila ijidiku, kunguno nuweyi agapangaga kuja kujutumama milimo okija, kunguno ya bhugokolo bhokwe, mpaga nose ogaiwa ijiliwa aha kaya yakwe, ukukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nduhu uyo wimanile intondo.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhugokolo bho gutumama milimo kugiki bhadule gwigulambija kuitumama chiza imilimo ya gubhapandikila sabho ja gutumila umukaya jabho.
Mathayo 6:32.
Yakobo 4:14.
Luka 12:29.
KISWAHILI: HAKUNA AIJUAYE KESHO.
Hapo zamani alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa akiambiwa na watu aende kufanya kazi, na kuwajibu watu hao kwamba, atatenda kesho. Mtu huyo, aliishi bila kulima shamba mpaka mwishowe kipindi cha masika kikapita, kwa sababu ya kufikiria kwamba ataenda kesho bila kuelewa kwamba, hiyo kesho haijui. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “hakuna aijuaye kesho.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu wa kufanya kazi kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hupanga kwenda kufanya kazi kwa maneno tu, ukifika huo wakati, huacha kutekeleza, kwa sababu ya uvivu wake wa kufanya kazi maishani mwake. Yeye huhangaishwa na tatizo la njaa ya kukosa chakula kwenye familia yake kwa sababu ya uvivu wake wa kutofanya kazi, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule alieambiwa kwenda kufanya kazi apapanga kwenda kesho, bila kutekeleza mwishowe kipindi cha masika kikaisha, kwa sababu naye hupanga kwenda kufanya kazi bila kutekeleza mpaka anakumbwa na tatizo la njaa ya kukosa chakula katika familia yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hakuna aijuaye kesho.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha uvivu wa kufanya kazi kwa kujibidisha kuyatekeleza majukumu ya kuwapatia mali za kutumia katika familia zao, ili waweze kujipatia maendeleo, maishani mwao.
Mathayo 6:32.
Yakobo 4:14.
Luka 12:29.
ENGLISH: NO ONE KNOWS TOMORROW.
Once upon a time there was a man who was being told by people to go to work, and he replied to them saying “I will go tomorrow.” Such person lived without cultivating the field until the spring period was over, because of thinking that he would go tomorrow without understanding that, there is no one who knows the tomorrow. That is why people told him that, “no one knows tomorrow.”
This saying is related to a person who is lazy to work on his family, in his life. Such person plans to go to work only in words, when the time comes, he stops implementing it, because of his laziness in his life. He was worried about the problem of hunger and lack of food in his family because of his laziness of not working, in his life.
This person is similar to the one who was told to go to work without going by planning that he would go tomorrow until the spring period was over, because he also plans to go to work without carrying out until he is faced with problems of hunger and lack of food in his family. That is why people tell him that, “no one knows tomorrow.”
This saying teaches people about stopping working lazily by forcing themselves to fulfill their responsibilities which can provide them with enough assets to use in their families, so that they can make progress in their lives.
Matthew 6:32.
James 4:14.
Luke 12:29.
