1147. SI IB’ELEKE.

Olihoyi munhu uyo agabhilingwa bhanhu gwiza hawinga bhokwe. Abhanhu bhenabho bhagaja ahawinga bhunubho bhugalya mpaga bhigota noyi kunguno galigazugwa majiliwa mingi gete aha kaya yiniyo iyo yalina winga. Hunagwene abhanhu aho bhigota chiniko, bhagayuyomba bho bhuyegi giki, “si ib’eleke.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhabokelaga bho gubhagalila chiza abhanhu aha kaya yakwe, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’winuyo agabhagalilaga bho gubhabhulagila ntugo abhanhu abho bhagajaga aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya wizang’holo bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga mbango ja gwikala na bhuyegi bhutale aha kaya yakwe nyiniyo, kunguno ya gubhabokela chiza abhageni bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhalisha jiliwa abhawinga mpaga bhiguta aha kaya yakwe yiniyo, kunguno nuweyi agabhagalilaga bho gubhabhulagila ntugo abhageni bhakwe aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhageni bhakwe bhenabho bhagayombaga bho bhuyegi giki, “si ib’eleke.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizang’holo bho gubhagalila chiza abhageni bhabho, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala na bhuyegi bhutale umu kaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Yohana 2:1 – 11.

Luka 9:12-17.

KISWAHILI: ARDHI IPASUKE.

Alikuwepo mtu aliyealika watu kwenye harusi yake. Mtu huyo aliwaandalia watu wake chakula cha kutosha kula na kusaza. Watu hao walienda kwenye sherehe hiyo wakala chakula mpaka wakashiba na kusaza kwa sababu kilikuwa kingi sana. Ndiyo maana watu hao walisema kwa furaha kwamba, “ardhi ipasuke.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwapokea watu kwenye familia yake kwa kuwatunza vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huwatunza kwa kuwachinjia mfugo wageni wake wanaomtembelea kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya ukarimu wake huo. Yeye hupata Baraka za kuishi kwa furaha kubwa kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya kuwakaribisha vizuri wageni wake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewalisha watu aliwaalika kwenye harusi yake mpaka wakashiba, kwa sababu naye huwatunza wageni wanaofika kwenye familia yake hiyo kwa kuwachinjia mfugo. Ndiyo maana wageni wake hao huseka kwa furaha kwamba, “ardhi ipasuke.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwakaribisha vizuri wageni wao, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa furaha kwenye familia zao hizo, maishani mwao.

Yohana 2:1 – 11.

Luka 9:12-17.

ENGLISH: LET THE EARTH SPLIT.

There was a man who invited people to his wedding. He prepared enough food for his people to eat and drink. The people went to the party and ate until they were full. They left the food because there was a lot. That is why they said with joy that, “let the Earth split.”

This saying is equated to a person who welcomes people into his family by taking good care of them, in his life. Such person takes care of his guests who visit his family by slaughtering livestock, because of his generosity. He gets blessings of living happily in his family because of welcoming his guests well in his family.

This person is like the one who fed the people he invited to his wedding until they were full, because he also takes good care of guests who come to his family by slaughtering goats. That is why his guests laugh with joy that “let the Earth split.”

This saying teaches people about being generous enough to welcome their guests well, so that they can get blessings of living happily in their families.

John 2:1 – 11.

Luke 9:12-17.

IMG_20200908_082056_8

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.