Olihoyi munhu uyo wikalaga na bhanaluganda bhiye. Umunhu ng’wunuyo, agakenya ukubhiye abho bhagandya guyunuta majilanga ga bhuli mbika, bhuli ng’wene ilo olinalyo kugiki bhantule. Aliyo lulu, yab’izaga giki bhuli ng’wene ulu oluta ilijalanga lyakwe lyagalola kungi duhu. Hunagwene bhagayomba giki, “ubhuka owangalaga ni ichimu lyakwe ogaliponya lyulola kungi.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalolaga bhuhub’i bho bhiye duhu ubhokwe yaya, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalamulaga bho bhukali abhiye abho b’agankenyaga lulu hadoo duhu, aliyo uwei agitaga yabhubhi mingi iyo adaibhonaga. Uweyi agabhonaga soni noyi abhanhu ulu bhayidebha imib’i yakwe iyo agayiitaga, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na abhanhu abho bhanutaga kugiki bhantule ung’wichabho uyo oliobhakenya, jalola kungi ijilanga jabho, kunguno nu weyi agalolaga bhuhub’i bho bhiye duhu, ubhokwe adabhub’onaga. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ubhuka owangalaga ni ichimu lyakwe ogaliponya lyulola kungi.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka gub’isa bhuhub’i bhobho bho gulola bhuhub’i bho bhichabho duhu, kugiki bhadule gwikala na nungwa jawiza ijagulekana nu bhub’i bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.
Yohane 8:1-11.
Mathayo 7:1-5.
KISWAHILI: ALIONDOKA AMEJIANDAA NA MKUKI WAKE ALIPO UTUPA ULIELEKEA KWINGINE.
Alikuwepo mtu aliyeishi na wana kikundi wenzake. Mtu huyo, aliwakosea wenzake hao ambao walianza kumrushia silaha za kila namna walizokuwa nazo kwa lengo la kumpiga. Lakini kila silaha waliyoirusha kwake ilipita kwingine tu. Ndiyo maana walisema kwamba, “aliondoka amejiandaa na mkuki wake alipoutupa ulielekea kwingine.”
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyaangalia makosa ya wenzake tu bila kuona maovu yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwahukumu kwa ukali wenzake wanaomkosea hata kidogo tu, wakati yeye hutenda maovu mengi ambayo hayaoni. Yeye hujisikia aibu sana pale wenzake wanapoufahamu uovu anaoutenda, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na wale waliokuwa wakimrushia silaha mwenzao aliyewakosea, silaha zao zikaenda kwingine, kwa sababu naye huyaangalia makosa ya wenzake tu bila kuyaona maovu yake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “aliondoka amejiandaa na mkuki wake alipoutupa ulielekea kwingine.”
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha kuficha maovu yao kwa kuyaangalia makosa ya wenzao tu, ili waweze kuishi katika maadili mema kwa kuachana na maovu yao hao, maishani mwao.
Yohane 8:1-11.
Mathayo 7:1-5.
ENGLISH: HE LEFT PREPARED WITH HIS SPEAR WHEN HE THREW IT PASSED ON A DIFFIRENT SIDE.
There was a man who lived with his fellow team members. He offended his associates who began throwing all kinds of weapons at him with the intention of beating him. But every weapon they threw at him passed to a different side. That is why they said that, “he left prepared for his spear when he threw it passed on a different side.”
This proverb is likened to a man who looks only at the faults of his fellows without seeing his evil, in his life. Such a man, in effect, condemns his fellow workers who do him no harm, while he commits many evils that he does not notice. He feels very ashamed when his coworkers are aware of the evil which he is doing, in his life.
This man resembles to those who were throwing weapons at his fellow offender whose weapons went elsewhere, because he too looks only at the faults of his fellows without seeing his evil. That is why people told him that, “he left prepared for his spear when he threw it passed on a different side.”
This proverb teaches people to stop hiding their wickedness by looking only at the faults of their fellows, so that they can live in good morals by abandoning their evil ones, in their lives.
John 8: 1-11.
Matthew 7: 1-5.