Author: Sukuma legacy

903. KALAGU – KIZE. KASOLOGEJE KAHO KADINA SOLOB’O – NZWILI.

Ikalagu yiniyo, ilolile kasologeje ka wingi bho nzwili. Ubhusoloja ubho wingi bho nzwili bhunubho, bhugabhizaga bhudamu noyi kunguno ya wingi bhojo bhunubho. Kuyiniyo lulu, umunhu uyo agajibhalaga inzwili jinijo, agajimijaga ikanza lwakwe sagala. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, “kasologeje kaho kadina na solob’o – nzwili.”

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo iyo idina solob’o, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajimijaga makanza gakwe sagala, kunguno ya gutumama milimo iyo idang’wambilijaga. Uweyi agikalaga ukoya na makoye ga gugayiwa jiliwa aha kaya yakwe, kunguno ya gugayiwa solobho yoseyose umumilimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu mhaji o nzwili, kunguno nang’hwe  agatumamaga milimo iyo idina solob’o umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “kasologeje kaho kadina na solob’o – nzwili.”

Ikalaga iyiniyo, yalanga bhanhu higulya ya guitila bhukengeji imilimo yabho, haho bhatali ugwandya uguitumama, kugiki bhadule gupandika solob’o nhale umumilimo iyo bhagaitumamaga yiniyo, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 15:4-6.

Mathayo 10:30-31.

 

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

HESABU YAKE YAINA FAIDA – NYWELE.

Kitendawili hicho, chaangalia uhesabuji wa wingi wa nywele. Uhesabuji huo huwa ni mgumu kwa sababu ya wingi wake huo. Kwa hiyo basi, mtu ahezisabuye hizo nywele, hupoteza muda wake bure. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, “hesabu yake haina faida – nywele.”

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule afanyaye kazi ile ambayo haina faida, katika maisha yake. Mtu huyo, hupoteza muda wake bure kwa sababu ya kufanya kazi zisizoweza kumsaidia kwenye maisha yake. Yeye husumbuliwa na matatizo ya kukosa chakula kwenye familia yake, kwa sababu ya kukosa faida yoyote ya kutoka kwenye kazi zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mhesabuji wa nywele, kwa sababu naye hufanya kazi isiyo na faida, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “hesabu yake haina faida – nywele.”

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuzifanya tafiti za kina kwenye kazi zao, kabla ya kuzianza kuzitekeleza, ili waweze kupata faida kubwa kutoka kwenye kazi zao hizo wazitekelezazo, maishani mwao.

Mwanzo 15:4-6.

Mathayo 10:30-31.

ethiopia1-

african-woman-

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

ITS COUNTING HAS NO BENEFITS – HAIR.

This riddle looks at the counting of hair. This counting is difficult because of its big number. Therefore, a person who does such work wastes his time in vain. That is why people tell each other that, “its counting has no benefits – hair.”

This riddle is compared to the person who does useless work, in his life. This person, in turn, wastes his free time by doing work that will not help him in his life. He suffers from famine problem in his family, because of missing any benefit from his work.

This man resembles the one who wasted time by counting hairs because he also does a useless job, in his life. That is why people tell him that, “its counting has no benefits – hair.”

This riddle instills in people a clue on how to do deep research on their work, before they start implementing it, so that they can get the most out of what they do in their lives.

Genesis 15: 4-6.

Matthew 10: 30-31.

 

 

 

 

902. YANHANA IDALIHAGA.

Olihoyi munhu umo uyo wikalaga na bhanhu bhingi aha kaya yakwe. Umunhu `ng’wunuyo, oyombaga mihayo miguhu duhu, umumahoya gakwe. Abhanhu bhagamuja, “nibhuli uliyomba mihayo miguhi chiniko?” Uweyi agashosha, “naliyomba mihayo miguhu kunguno namanile igiki, imihayo iyanhana idalihaga.” Hunagwene abhanhu bhagandya guyuyombaga giki, “yanhana idalihaga.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga uyomba mihayo ya nhana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adabizaga na mihayo milihu, umumahoya gakwe, kunguno amanile igiki, imihayo iyanhana igitongelaga yoyi duhu. Uweyi agafunyaga ilange lya wiza ukubhanhu bhakwe bho gutumila ikanza liguhi duhu, kunguno ya gubhalanga bhunhana abhiye bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo oyombaga mihayo miguhi umumahoya gakwe, kunguno nu weyi agayombaga mihayo miguhi iyo ili yanhana duhu, umukikalile kakwe. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhakwe giki, “yanhana idalihaga.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guhoyela bhunhana umumahoya gabho, kugiki bhadule kubhalela chiza abhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Yoshua Bin Sira 8:3.

Yoshua Bin Sira 9:17-18.

KISWAHILI: MANENO YA KWELI HAYAREFUKI.

Alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa akiishi na watu wengi kwenye familia yake. Mtu huyo, alikuwa akiongea maneno mafupi tu katika maongezi yake. Watu walimuuliza, “kwa nini unaongea maneno mafupi hivyo?” Yeye alijibu, “naongea maneno mafupi kwa sababu naelewa kwamba, maneno ya kweli hayarefuki.” Ndiyo maana watu walianza kusema kwamba, “maneno ya kweli hayarefuki.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa anaongea maneno ya kweli katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hawi na maneno marefu kwenye maongezi yake, kwa sababu anaelewa kwamba, maneno ya kweli hujieleza yenyewe tu. Yeye huwapa malezi mema watu wake kwa kutumia muda mfupi tu, kwa sababu ya kuwafundisha ukweli wenzake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekuwa akiongea maneno mafupi katika maongezi yake, kwa sababu naye huongea maneno mafupi yenye ukweli tu, katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwambia watu wake kwamba, “maneno ya kweli hayarefuki.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuongea ukweli kwenye maongezi yao, ili waweze kuwapatia malezi mema watu wao, maishani mwao.

Yoshua Bin Sira 8:3.

Yoshua Bin Sira 9:17-18.

benna-

men-

child-----

ENGLISH: THE TRUE WORDS DO NOT LAST LONG.

There was one man who lived with many people in his family. He, however, only spoke briefly in his conversation with others. People asked him, “Why do you speak such short sentences?” He replied, “I speak short sentences because I understand that true words are not long.” That is why people began to say, “The true words do not last long.”

This proverb is compared to a person who speaks the truth in his life. This person does not have long sentences in his speech, because he understands that true words speak for themselves. He gives his people a good upbringing by spending only a short time in teaching the truth to them in life.

This person is like the man who used to speak short sentences in his speech, because he also speaks only short sentences which have the truth, in his life. That is why he tells his people that “the true words do not last long.”

This proverb imparts in people a clue on how to speak the truth in their conversations, so that they can give respectable education to their people, in their lives.

Joshua Bin Sirach 8: 3.

Joshua Bin Sirach 9: 17-18.

901. ULU WIB’ONA NGUKU YANAMHALA MANAGA YILIGA MASONGA MINGI.

Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile ndimu iyo igitanagwa nguku. Inguku ili ndimu iyo ilinhenaguji ya migunda ya bhanhu kunguno yigalwaga jiliwa jabho. Gigo lulu, ili kunguno yiniyo iyoyi igikalaga yulingwa na bhanhu bhenabho bhuli makanza kugiki bhayib’ulage. Kuyinilo lulu, igab’izaga jidamu inguku yiniyo ugwikala ili mhanga mpaga nose yuganamhala. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ulu wib’ona nguku yanamhala managa yiliga masonga mingi.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo wikala shigu nyingi umusi mpaga nose uganamhala. Umunhu ng’wunuo, ob’itilila midimu mingi umuwikaji bhokwe kunguno gufuma gubyalwa gokwe mpaga nose ugakula na gunamhala agabizaga ob’itila mingi imidimu iyaha welelo henaha. Uweyi ogab’itila makoye mingi aya ogamala na ayo ogiyumilija duhu, umukakilila kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nguku iyo iliga masonga mingi mpaga nose yuganamhala, kunguno nuweyi ogab’itila makoye mingi, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ulu wib’ona nguku yanamhala managa yiliga masonga mingi.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwiyambilija chiza ugugamala amakoye gabho, kugiki bhadule gwikala mhola mpaga ukubhukuji bhobho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 25:7-11.

Mwanzo 34: 27 – 29.

 Ayubu 42:16 – 17.

Mwanzo 24:1.

Mwanzo 7:1-4.

KISWAHILI: UKIMWONA NYANI AMEZEEKA ELEWA KAKWEPA MISHALE MINGI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia mnyama anayeitwa Nyani. Nyani ni mnyama ambaye ni mharibifu wa mashamba ya watu kwa kula mazao yao. Hivyo ni kwa sababu hiyo, mnyama huyo huwa anawindwa na watu hao kila wakati ili wamuue. Kwa hiyo basi, huwa ni vigumu kwa nyani huyo kuwa mzima mpaga kuzeeka. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ukumwona nyani amezeeka elewa kakwepa mishale mingi.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyeishi miaka mingi duniani mpaka akafikia umri wa uzee. Mtu huyo, huwa amepitia magumu mengi maishani mwake kwa sababu kutokea kuzaliwa kwake hadi kukua na kuufikia uzee, ni muda mrefu wa kukumbana na shida nyingi. Yeye huwa ameyatatua matatizo mengi na pia kuyavulimilia mengi, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule nyani aliyekwepa mishale mingi mpaka akafikia umri wa uzee, kwa sababu naye ameyapitia matatizo mengi, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “ukumwona nyani amezeeka elewa kakwepa mishale mingi.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kusaidiana vizuri katika kuyatatua matatizo yao, ili waweze kuishi salama mpaga waufikie umri wao wa uzee, maishani mwao.

Mwanzo 25:7-11.

Mwanzo 34: 27 – 29.

 Ayubu 42:16 – 17.

stump-tailed-macaque-

monkey-3

monkey-4

ENGLISH: IF YOU SEE AN OLD MONKEY UNDERSTAND HE ESCAPED MANY ARROWS.

This proverb looks at an animal which is called Monkey. Monkeys are animals which destroy people’s farms by eating their produce. That is why they are always hunted by people who want to kill them. Therefore, it is difficult for them to reach old age. That is why people say that, “if you see an old monkey understand he escaped many arrows.”

This proverb is equated to a man who lived many years on earth until he reached old age. This person, has experienced many hardships in his life because from birth to adulthood, is a long way to go. He has solved many problems and also endured many of them, in his life.

This man is like the monkey that avoided many arrows until he reached old age, because he too has gone through many hardships, in his life. That is why people say to him that, “if you see an old monkey understand he escaped many arrows.”

This proverb teaches people on how to help each other better in solving their problems, so that they can live safely until they reach their old age, in their lifetime.

Genesis 25: 7-11

Genesis 34: 27-29.

 Job 42: 16-17.

900. ULU UB’ONA GUTU GWA MH’UGE MANAGA IMH’UGE ILIHO UKUNUMA.

Ulusumo lunulo, lulolile ndimu iyo igitanagwa mh’uge. Imh’uge yiniyo ili na matu gimilile ayo gagabhizaga gagandya ugugabhona umunhu uyo alikutongi yago. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ulu ub’ona gutu gwa mh’uge managa imh’uge iliho ukunuma.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhambilijaga abhiye ugugamala wangu amakoye gabho, umukikalille kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumilaga nzila ndogu ija gubhahugula abhanhu bhakwe ijo jigabhalumanyaga kihamo umubhutumami bhokwe mpaka bhagadebha amakoye gabho na gugamala wangu, umuwikaji bhobho.

Uweyi agadulaga ugubhambilija chiza abhanhu bhakwe umumakoye gabho kunguno ya bhutogwa ubho alinabho ukubhiye bhenabho. Hunagwene abhanhu agabhahugulaga bho gubhawila giki, “ulu ub’ona gutu gwa mh’uge managa imh’uge iliho ukunuma.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gwiyambilija chiza ugugamala wangu amakoye gabho kugiki bhadule gwilang’hana chiza, umuwikaji bhobho.

Mathayo 3: 11-17.

Mathayo 21:1-3.

Yohana 1:15-16.

Yohana 1: 29-34.

KISWAHILI: UKIONA SIKIO LA MBWA MWITU FAHAMU MBWA MWITU YUKO NYUMA.

Methali hiyo, huangalia mnyama anayeitwa mbwa mwitu. Mbwa mwitu huyo ana masikio yaliyosimama kiasi kwamba anapotembea yenyewe huwa ni ya kwanza kwa mtu kuyaona. Ndiyo maana watu husema kwamba, “ukiona sikio la mbwa mwitu fahamu mbwa mwitu yuko nyuma.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwasaidia wenzake kutatua matatizo yao kwa haraka, katika maisha yake. Mtu huyo, hutumia njia rahisi za kuwashitua wenzake hao ambazo huwawezesha kuyaelewa matatizo yao na kuyatatua kwa haraka, maishani mwao.

Mtu huyo, huweza kuwasaidia vizuri watu wake katika kuyatatua matatizo yao, na kuyamaliza kwa haraka kwa sababu ya upendo alio nayo kwa watu wake hao. Ndiyo huwa ana washitua kwa kuwaambia kwamba, “ukiona sikio la mbwa mwitu fahamu mbwa mwitu yuko nyuma.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kusaidiana vizuri katika kuyatatua matatizo yao kwa haraka, ili waweze kulindana vizuri, maishani mwao.

Mathayo 3: 11-17.

Mathayo 21:1-3.

Yohana 1:15-16.

Yohana 1: 29-34.

wolf-2

wolf-4

ENGLISH: IF YOU SEE A WOLF’S EAR, KNOW THE WOLF IS IN THE BACK.

This proverb looks at an animal which is called wolf. This wolf has standing forward ears that when it walks they become the first to appear to a  person. That is why people say, “If you see a wolf’s ear, know that the wolf is in the back.”

This proverb is compared to a man who helps his contemporaries to solve their problems quickly, in his life. This person, in turn, uses simple methods to shock his fellows, for enabling them to understand their problems enough to solve them quickly, in their lives.

This person is capable of helping his people to solve their problems, enough to get rid of them quickly because of the love he has for them. Yes, he is shocked when he tells them, “If you see a wolf’s ear, know that the wolf is in the back.”

This proverb instills in people an idea on how to love each other better enough to help one another in solving their problems quickly, so that they can better protect each other, in their lives.

Matthew 3: 11-17.

Matthew 21: 1-3.

John 1: 15-16.

John 1: 29-34.

899. JILANGA B’ADUMA.

Olihoyi namhala umo na kana kakwe uyo odimaga ng’ome.  Umubhudimi bhokwe bhunubho, lushigu lumo ng’ombe igabyala wandya guitula bho guyihadikija guja kaya. Ing’ombe yiniyo, igalema ugutongela uguja ikaya bho gunuka kunuma ung’wana oyo. Nose akanigini kung’wila, “b’ab’ba kabhuchage akana kayo utongele guja kaya uninago agugulondeja duhu ahanuma.”

Unamhala ng’wunuyo, aho okab’ucha akana kayo utongela uguja ikaya, uninago agalondeja ahanuma mpaga bhushika kaya chiza. Abhanhu bhudeb’a igiki unamhala ng’unuyo olangagwa na kanigini kakwe kenako. Hunagwene akanigiki kenako kagitanwa giki, “jilanga b’aduma.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu wilika idoo uyo agayombaga mihayo ya nyatale, umukikalile kakwe. Umunhu ng’unuyo, nulu agisanja na bhanhu bhatale bhagumanishogeja nang’hwe nyatale chiza duhu. Uweyi agabhambilijaga abhanhu bhenabho nulu gufuma bhulamuji bho ng’hana, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na kanigini ako kagananga unamhala ogo ugwichala kaya ing’ombe nu ng’wana oyo, kunguno nuweyi agabhambilijaga abhatale ugufunya ubhulamuji ubho ng’hana, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jilanga b’aduma.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza na kihamo, kugiki bhadule kujib’eja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Kutoka 19: 7-10.

Mathayo 5: 19.

Luka 2: 41 – 52.

 

KISWAHILI: MFUNDISHA WAKUBWA.

Alikuwepo mzee mmoja na mtoto wake aliyekuwa akichunga ng’ombe.  Siku moja ng’ome mmoja alizaa, katika uchungaji wake huo, akaanza kumsuaga ili aende nyumbani. Ng’ombe huyo, alitakaa kutangulia kwenda nyumbani kwa kuamuacha nyumba mtoto wake.  Mwishowe yule mtoto akamwambia, “baba mbebe mtoto wake utangulie kwenda nyumbani yule mama yake atakufuata tu kwa nyuma.”

Mzee yule, alipombeba mtoto wa yule ng’ombe mama yake alifuata kwenda nyumbani mpaka wakafika vizuri. Watu wakaelewa kwamba yule mzee amefundishwa na mtoto wake huyo kumpeleka nyumbani yule ng’ombe. Ndiyo maana walimuita yule mtoto kuwa ni “mfundisha wakubwa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyeko kwenye lika la ujana aongeaye maneno ya kikubwa, katika maisha yake. Mtu huyo, hata akichangamana na watu wakubwa, watakuwa wakijibizana naye kikubwa vizuri. Yeye huwasaidia watu hao hata kutoa maamuzi ya kweli, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtoto aliyemfundisha mzee wake kumpeleka mpaka nyumbani ng’ombe aliyezaa, kwa sababu naye huwasaidia watu wakubwa katika kutoa maamuzi ya kweli, katika maisha yake. Ndiyo maana watu huwa wanamuita mtoto huyo kuwa ni “mfundisha wakubwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri na kwa pamoja majukumu yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Kutoka 19: 7-10.

Mathayo 5: 19.

Luka 2: 41 – 52.

cow-milking-

ENGLISH: THE ONE WHO TEACHES THE GREAT ONES.

There was an old man with his son who was taking care of cattle. One day one of the cows gave birth, and in his pasture. He began to take the cow home. The cow, however, refused to go home first by leaving behind her calf. Finally the child said to him, “Father, carry her calf first and go home the mother will just follow you in the back.”

The old man carried the calf and its mother followed him to his home until they arrived safely. People understood that the old man had been taught by his son to take the cow home. That is why they called that child “the one who teaches the great ones.”

This saying is compared to a young man who speaks important words in his life. He even associates with the older ones by talking with them because of his useful ideas in his mind. He helps those people in making good decisions in life.

This young man is like the child who taught his father on how to take the cow home, because he also helps adults in making good decisions, in his life. That is why people often call that child “the one who teaches the great ones.”

This saying teaches people on how to be humble enough to help each other in fulfilling their responsibilities in their communities, so that they can quickly develop their families, in their lives.

Exodus 19: 7-10.

Matthew 5:19.