Olihoyi munhu umo uyo olina bhupenzuku, umukikalile kakwe. Aliyo lulu umunhu ng’wunuyo oli na mmili ndoni. Bhanhu bhingi abho bhangenihaga ahakaya yake bhabhubhona ubhupenzuku bhokwe bhunubho, kunguno ya bhutengeke bhokwe. Abhangi obhalang’hanijaga ijikolo jabho ijo bhanhekelaga wikala najo mpaga bhagashoga na gujisanga jilimhola. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, “kamunhu kenaka kapenzuku.”
Ulusumo lunulo, lugalenganijiiyagwa kuli munhu uyo alina nholo ya wiza umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga na bhutengeke bho gubhagunana abhanhu abho bhali na makoye, umukikalile kabho. Uweyi agikalaga na bhanhu bhingi aha kaya yakwe, kunguno ya wiza bho nholo bhokwe bhunubho bhunubho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunyo, agikolaga nuyo ojilang’hanaga ijikolo ja bhanhu abho bhanekelaga mpaga bhajisanga jilichiza ulu bhashoka, kunguno nuweyi alina nholo ya wiza iyagubhambilija abhanhu abho bhali na makoye. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “kamunhu kenaka kapenzuku.”
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na nholo niza ja gwikala bho gwiyambilija chiza na bhichabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umukaya jabho.
Luka 1:26-28.
Yohana 4:7-12.
KISWAHILI: MTU HUYU MWADILIFU.
Alikuwepo mtu mmoja aliyekuwa na uadilifu katika maisha yake. Lakini mtu huyo alikuwa na mwili mdogo. Watu wengi waliomtembelea kwenye familia yake waliuona uadilifu wake huo. Wengi wao walimuachia mali zao wakaenda na kuzikuta ziko salama waliporudi. Ndiyo maana walisema kwamba, “mtu huyu mwadilifu.”
Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana roho yenye uadilifu, katika maisha yake. Mtu huyo, huishi katika ukweli kwa kuwasaidia watu walio na matatizo maishani mwao. Yeye huishi na watu wengi kwenye familiya yakwe, kwa sababu ya roho yake yenye uadilifu huo, maishani mwake.
Mtu huyo hufanana na yule aliyewatunzia mali zao watu waliomuachia wakazikuta ziko salama waliporudi, kwa sababu naye ana roho ya uadilifu wa kuwasaidia watu walio na matatizo maishani mwao. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtu huyu mwadilifu.”
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na mioyo ya kuishi kwa kusaidiana vizuri na wenzao, ili waweze kupata mafanikio mengi katika familia zao.
Luka 1:26-28.
Yohana 4:7-12.
ENGLISH: THIS PERSON IS A RIGHTEOUS ONE.
There was one man who had integrity in his life. But he had a small body. Many people who visited his family saw his integrity. Most of them left their belongings and went away and found them safe when they returned. That is why they said that, “This person is a righteous one.”
This proverb is likened to a person who has a righteous heart, in his life. That person lives in the truth by helping people who have problems in their lives. He stays with many people in his family, because of his hospitality in his life.
This person is like the one who took care of the belongings of people who left them to him found them safe when they returned, because he also had a righteous heart of integrity enough to help people who are in trouble in their lives. That is why people say to him that, “This person is a righteous one.”
This proverb teaches people on having good heart enough to live by helping each other, so that they can have more success in their families.
Luke 1: 26-28.
John 4: 7-12.